Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,298
Cheki join date....
...ni watu watatu tu wanaopenda kutumia jina hilo!!
Cheki join date....
Pole sana ndugu yangu. Hayo yalikuwa maoni yangu mimi Chokambaya..heri wewe vumbi sio kali huku ulikokania uraia wako ukapokelewa au tuseme ukolewa....mmmh Sikonge vumbi lilikuwa kali sana hasa vumbi la tumbaku ukaamua kupakacha ukaenda hukoooo walipopatengeneza pakawa pazuri...hata hivyo mtu kukana uraia wake ili apate wa nchi nyingine kwa bado ni tatizo na si wivu maana siwezi kumuonea mtu wivu kwa kufanya kitu nisichopenda mimi......mmmh hii ya Mkapa kusema wtz tuna wivu wa kijinga...nakubaliana nawe kabisa....kujiuzia mgodi kwa millioni 700 tu halafu unalipa milioni 70 nakuanza kuvuna...lazima hao watu uwaite wajinga....Mkapa the national traitor......haya bwana Sikonge.
...ni watu watatu tu wanaopenda kutumia jina hilo!!
Haya Mkulu,mimi simo, mnajuana nyie, warabu wa pemba......ahhh akishasoma ndio iweje?
miguu hana halafu anataka kushindana na wanaokimbia
wapiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!
Kaswaiba Zeutamu is gone,kalikuwa kanafunza adabu mafuska,kosa pekee tu ni la kugusa Mkuu wa Nchi.Wanaolalamika waulizwe walikuwa wapi hadi wapigwe picha za utupu?
ulishajitoa lini kwenye system mkuu???I wish I could be on system
na ambao picha zao hazikuwa za utupu?ama hata na ambao zilikuwa za utupu umejua vipi ni za kweli?sababu hata ya mkuu ilikuwa ya utupu....acha pumba
Sio tatizo kumwambia, na maelezo yako yamekamilika.. next time ataukuwa na subira wakati wa kuanzisha mada..!....lakini nadhani kama angekuwa na subira kidogo wakati anaanzisha thread angeona chini pale inamwambie threads nyingine zenye mfanano na nachotaka kukianzisha.
Anyway imeshatokea tumvumilie mwenzetu.
ninacholia na sirikali ni kwamba walisubiri hadi 'mchawi wa IT' amshike pabaya prezidaa ndio wakaamua kuwa sirias na hii blog,WHICH IZ NOT FAIR
lakini........POA TU!YENDE TU HIVYOHIVYO
YeahWe should be more serious on serious issues maana thread ambayo iko more than active jana na leo ni ile by Nyani Ngabu on this very same issue.
Naweza kuelewa kuwa ndugu yetu huyu anaweza kuwa ameshindwa kuvumilia kutuvunjia hii habari..lakini nadhani kama angekuwa na subira kidogo wakati anaanzisha thread angeona chini pale inamwambie threads nyingine zenye mfanano na nachotaka kukianzisha.
Anyway imeshatokea tumvumilie mwenzetu.
Good......!Yeah
mimi kabla sijaanzisha thread huwa nafanya search kujua kama ipo au la ndipo nachukua hatua
Lakini sasa mbona hamuwataji majina ya hao washirika wawili wa huko Marekani? Kama bw. Male ameshatajwa, kwa nini hao wangine wawili hawatajwi?