Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 891
So far,chanzo pekee cha habari hii ni Chemi Chemponda na Blogu yake ya Swahilitime.Na sasa ame-update tetesi hizo kwa maneno yafuatayo:
Na kwa jinsi watu wanavyopenda breaking news,TETESI ZINAZOJIFICHA KWENYE JINA LA BREAKING NEWS zimekuwa bonge la ishu.I hope huyo Mr Lusinde,kama hajakamatwa,atatoa fundisho kwa the Chemis wanaohangaika na breaking news.
Na kwa kuweka rekodi sahihi: Uingereza kama nchi haiwezi kukurupuka kumpeleka huyo mtu Tanzania akashtakiwe hadi pale itakaporidhika kuwa atatendewa haki.Na kwa asiyefahamu sheria za uhamiaji za nchi hii,hiyo ni process inayoweza kuchukua hata miaka miwili na ushee.Kama watuhumiwa wa ugaidi hawarejeshwi makwao KIHOLELA kwa vile nchi hizo zina rekodi chafu ya haki za binadamu,kwanini huyu "aliyepitiliza tu uhuru wake wa kutoa mawazo" arejeshwe TZ?
Let's be realistic,hivi tofauti kati ya zeutamu na magazeti ya Shigongo ni ipi?Au kwa vile Shigongo ameamua ku-institutionalize uchafu wake in the form of magazeti pendwa as he calls them?Na zaidi ya hapo,while two wrongs do not make a right,kwanini hizi resources za kumtafuta zeutamu kwa vile tu aliweka picha ya mtu anayefanana na JK (na wakitia timu mahakamani jamaa anaweza kushinda kwa utetezi kuwa hakuna mahala palipoandikwa jina la JK) zisielekezwe pia kumsaka yule jamaa aliyetuuzia rada feki au wamiliki wa Kagoda?
Wadau, nitarudisha ile posti ya Ze Utambu Blogger kudakwa, mara ikithibitishwa kuwa ni kweli. Kama nilivyosema, nilitumiwa hiyo habari kwenye e-mail. Baada ya kuitazama vizuri zikuona 'accredited source'. Kwa sasa hebu ona macho yalivyo kwetu na hiyo suala ya Ze Utamu.
Ila kama ni kweli kuwa jamaa wa Ze Utamu wamekamatwa basi lazima niseme, serikali wamefanya kazi.
Na kwa jinsi watu wanavyopenda breaking news,TETESI ZINAZOJIFICHA KWENYE JINA LA BREAKING NEWS zimekuwa bonge la ishu.I hope huyo Mr Lusinde,kama hajakamatwa,atatoa fundisho kwa the Chemis wanaohangaika na breaking news.
Na kwa kuweka rekodi sahihi: Uingereza kama nchi haiwezi kukurupuka kumpeleka huyo mtu Tanzania akashtakiwe hadi pale itakaporidhika kuwa atatendewa haki.Na kwa asiyefahamu sheria za uhamiaji za nchi hii,hiyo ni process inayoweza kuchukua hata miaka miwili na ushee.Kama watuhumiwa wa ugaidi hawarejeshwi makwao KIHOLELA kwa vile nchi hizo zina rekodi chafu ya haki za binadamu,kwanini huyu "aliyepitiliza tu uhuru wake wa kutoa mawazo" arejeshwe TZ?
Let's be realistic,hivi tofauti kati ya zeutamu na magazeti ya Shigongo ni ipi?Au kwa vile Shigongo ameamua ku-institutionalize uchafu wake in the form of magazeti pendwa as he calls them?Na zaidi ya hapo,while two wrongs do not make a right,kwanini hizi resources za kumtafuta zeutamu kwa vile tu aliweka picha ya mtu anayefanana na JK (na wakitia timu mahakamani jamaa anaweza kushinda kwa utetezi kuwa hakuna mahala palipoandikwa jina la JK) zisielekezwe pia kumsaka yule jamaa aliyetuuzia rada feki au wamiliki wa Kagoda?