Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,584
Nyepesi nilizopenyezewa sekunde chache zilizopita zinadokeza kuwa mmiliki wa ZeUtamu yuko karibu kuwekwa chini ya ulinzi bongo.....stay tuned...more to come
Last edited by a moderator:
PLEASE,april fools day passed two months ago.
Niliwaonya juu ya namna wanayotumia katika kumuandama huyu jamaa.Nyepesi nilizopenyezewa sekunde chache zilizopita zinadokeza kuwa mmiliki wa ZeUtamu yuko karibu kuwekwa chini ya ulinzi bongo.....stay tuned...more to come
katoka lini wichita,texas kuelekea bongoDue diligence before you completely dismiss...please
Niliwaonya juu ya namna wanayotumia katika kumuandama huyu jamaa.
Naona bado wanaendelea tu, impact yake nadhani wako tayari kukabiliana nayo.
Walinywea baada ya kujua ni mtoto wa 'mwenzao' leo wameamua kumbana na kumrudisha Tz?
Ngoja tusikie ni mashtaka gani atafunguliwa. Family yake itakubali?
Hivi wamemfuata UK au kajileta mwenyewe? Si ana uraia wa Uingereza pia?Yeah...ni kido wa mwenzao.....hehehehe bongo ndogo sana
Hivi wamemfuata UK au kajileta mwenyewe? Si ana uraia wa Uingereza pia?
Yani hata ISP wake UK alikuwa anamfuatilia, nadhani hakujua hiloNahisi kajileta mwenyewe kichwa kichwa bila kudhani chochote...
Yani hata ISP wake UK alikuwa anamfuatilia, nadhani hakujua hilo
....maskini Yo Yo... daah!!
yani nipo nje ya loop kabisa,kwa hisani yenu mnitajie ni nani twende pamoja wakuu
Ila watam charge na sheria ipi?