Ze Utamu blogger under arrest?

Ze Utamu blogger under arrest?

Status
Not open for further replies.
Tangu mwanzo nilisema huyu owner wa hii blog atakuwa ni toto la dosi lililosomeshwa wajela jela academia na kugombezwa hujamaliza mayai hakuna kwenda kucheza. Halijui shida na hivyo halikujua hata implication ya linalofanya. Gademu, tena huko huko Keko kuna watu wamefungwa kwa sababu ya blog hiyo kwa maana ya boyfriend/girlfriend kukuta picha jamvini, extra naked na mazengo yake, kisha shambulio la aibu, kesi then keko. Sasa lazima wamrekebishe tabia huyu jamaa. Kilio changu ni apelekwe keko tu ili afunzwe na ulimwengu kwani wazazi wake walijifanya kumwacha kwa kumpenda sanaaa! Baya hutokea kwa baya. I am very sorry for being so optimistic BUT no way.
 
Huyu Peter kachemsha sana lakini na wale watu waliokuwa wanaposti picha za wenzao kwa sababu zao binafsi hasa za kichuki tunawaweka kundi gani? Manake sio picha zote zilikuwa zinawekwa na Peter. Hawa nao pia wamechangia sana Zeutamu kuwepo. Watanzania imefika mahali elimu yetu isiishie madarasani tu, tu-apply pia kwenye maisha ya kidunia! Lets be civilized!


Invi ....!! Shauri yako...Peter akijua utakoma wewe..!!!
 
Tangu mwanzo nilisema huyu owner wa hii blog atakuwa ni toto la dosi lililosomeshwa wajela jela academia na kugombezwa hujamaliza mayai hakuna kwenda kucheza. Halijui shida na hivyo halikujua hata implication ya linalofanya. Gademu, tena huko huko Keko kuna watu wamefungwa kwa sababu ya blog hiyo kwa maana ya boyfriend/girlfriend kukuta picha jamvini, extra naked na mazengo yake, kisha shambulio la aibu, kesi then keko. Sasa lazima wamrekebishe tabia huyu jamaa. Kilio changu ni apelekwe keko tu ili afunzwe na ulimwengu kwani wazazi wake walijifanya kumwacha kwa kumpenda sanaaa! Baya hutokea kwa baya. I am very sorry for being so optimistic BUT no way.

Asante kwa ukweli mkuu.
 
Kaswaiba Zeutamu is gone,kalikuwa kanafunza adabu mafuska,kosa pekee tu ni la kugusa Mkuu wa Nchi.Wanaolalamika waulizwe walikuwa wapi hadi wapigwe picha za utupu?

Kwa hiyo na wewe demu aki ku setup na mikamera sehemu sehemu poa tu, au mtalibani weye?
 
wakuu,shughuli si imeshakwisha hii??mnasita nini kutuwekea majina ya washirika wake tuwajue nao??
 
Ili waonekane walikuwa wanawajua toka mwanzo pengine kushirikiana nao au ? Si yule anasema alishakuwa anamjua peter na alimuonya mara kibao kuhusu blogu yake muulize huyo huyo sasa akuambie alimuonya wapi walikutana wapi ili ujue uhusiano wao
 
Ili waonekane walikuwa wanawajua toka mwanzo pengine kushirikiana nao au ? Si yule anasema alishakuwa anamjua peter na alimuonya mara kibao kuhusu blogu yake muulize huyo huyo sasa akuambie alimuonya wapi walikutana wapi ili ujue uhusiano wao

alisema alimuonya hapahapa..anyway,anayejua atudondoshee tu barazani!
 
swala hapa sio charges gani atafunguliwa , la msingi ni kua mtu mzima wa miaka 39 unakuja kujizalilisha kiasi hiki, ni adhabu poa sijui atatembea mtaa gani huyu jamaa maana amesha kua na maaadui wengi wanaweza kujaaa treni ya kati
 
i am touched, ingawa siamini kama kweli huyo dogo ndio mwenyewe, i have a hunch kuwa dogo anafanywa scapegoat kutokana na ile picha ya kumdhalilisha rais. somebody has to be held responsible and this is what I think is happening
 
i am touched, ingawa siamini kama kweli huyo dogo ndio mwenyewe, i have a hunch kuwa dogo anafanywa scapegoat kutokana na ile picha ya kumdhalilisha rais. somebody has to be held responsible and this is what I think is happening

Is a 39 year old man a dogo jamani?what will his children be?
 
i am touched, ingawa siamini kama kweli huyo dogo ndio mwenyewe, i have a hunch kuwa dogo anafanywa scapegoat kutokana na ile picha ya kumdhalilisha rais. somebody has to be held responsible and this is what I think is happening

hawezi mtu akaacha awe scapegoat kwenye ujinga wa kiwango hiki,plus scapegoat mtoto wa kigogo,tena mwenye uraia wa uingereza..come on!nakukatalia...
 
this guy ni smooth operator,mkimya mkimya fulani hivi,tuliisi he has lost it pale relationship yake ilipovunjika on the rebound akamvamia a close relative mdundiko type man eater by the name of mboka(ex air tanzania employee).related they were and lovers they were-as such nothing about him surprises us anymore.
 
...na wale waliokuwa wakituma picha, (hasa yule alotuma photoshop pic ya prezidaa) wakae mkao wa kula ...haijalishi hata kama ilitumwa internet cafe.
 
This country bana......yaani kwa sababu tu mkuu wa kaya kaguswa, wamefanya juu chini mpaka wamemdaka huyu kijana? Where were they siku zote hizo watu wanalalamika?
 
FMES alikuwa mtoa dataz huko, anajua watu waliokuwa wametundikwa utamu wao na dada zao. Kazi ipo.
 
ahhh akishasoma ndio iweje?

miguu hana halafu anataka kushindana na wanaokimbia

wapiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!

Kumbe jamaa walikuwa serious na zile trips zao, vipi walioutsource au walikwenda wao wenyewe front?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom