Ze Utamu blogger under arrest?

Ze Utamu blogger under arrest?

Status
Not open for further replies.
- Heshima kwa wakuu wote JF,in another few hours nitatoa tamko langu binafsi na rasmi on this ishu. For the last Four days nimekua na majadiliano mazito sana between forces close tothis ishu, na hasa founder wa JF Mkulu Max, ninaamini leo ni wakati muafaka nikasema something, nitarudi soon.

Ahsanteni.

William - Community Organizer (CO)

Du samahani kama nitakuwa nimetaharuki,mzee haukutakiwa kuja kutuambia tukusubiri utarudi kutoa tamko,ungekuja ukiwa kamili japo sioni sababu za wewe kufanya hivyo.Upuuzi wa mpwa wako hauwezi kukuweka wewe hatiani.Nakusihi mkuu achana na Male abebeshwe mzigo wake,kwani ni nani anaweza kusema familia yao ipo perfect?Kama kila mtu humu akitakiwa ajibu madhambi ya ndugu zake tutaweza kujadili mambo mengine.Kwa wengine tafadhari tumuache willy apumzike kwani mkasa huu umeitikisa familia yao kitu cha mwisho ni kumuomba atoe tamko,tuwe na huruma atleast for this matter.
 
Aliwaweka UTAMU hata kina NAFUE NYANGE MALECELA......mna roho ngumu.

Masha, Rostam, Ray watamla nyma kudadadeki walahiiii Malecela Lusinde...

nakuapia nilikuwa nafikiria kama wewe,Nafue si ni dada ake sasa japo wa kufikia fikia jamaa?na mamake Nafue bibie Anne Kilango(ambaye kwa mila zetu ni mamake pia) alikuwa akitusiwa mno mle...dah,...'wa-tu wengine wana tabia mbaya,watu wengine wana tabia mbaya SANA'..kudadeki
 
Jamani mbona mwanakijiji hajaonekana toka habari hi ya ze utamu ianze kusambaa kuna nini kinachoendelea nyuma ya pazia

Shy soma hapa:


Huu ni uhuni wa kisiasa; ni wazimu wa kiuongozi! - MwanaKijiji.COM


Huu ni uhuni wa kisiasa; ni wazimu wa kiuongozi!

--------------------------------------------------------------------------------

Jinsi Rais Kikwete alivyozungumzia jinsi uchumi wetu unavyokabiliwa na tishio la hali mbaya kufuatia msukosuko wa kiuchumi duniani, nisingetarajia kuona kwenye bajeti mipango au matumizi ya kijinga (na hapa namaanisha hivyo) kama ambayo tumeyasoma siku chache hizi.

Kwa vile niko kijijini sijapata nafasi ya kusoma threads zote na kwa kina gani haya yamejadiliwa. Kwamba, wanaokuja na kuomba omba fedha kwa ajili ya kunusuru uchumi wetu wanapanga kutumia karibu bilioni 60 kwa safari za viongozi na pia chai na vitumbua naweza kuelezea kwa maneno mawili tu; ni "uhuni" na ni "wazimu".

Ni uhuni, kwa sababu ni mtu mhuni ndiye ambaye anaweza akajaribu kufanya kitu ambacho anajua kabisa ni cha kijinga, cha kibabe na ambacho kitamnufaisha yeye zaidi kuliko mtu mwingine.

Ni wazimu, kwa sababu mtu mwenye akili timamu hawezi kwa upande mmoja kulia misaada, na upande mwingine kutumia utadhani fedha zinadondoka kama mvua!

Unrelated:

- Natumaini Salva atatuliza roho maana alitaka kunibebesha mzigo wa "ze utamu". Bahati nzuri wamegundua ni "mtoto" wao wenyewe. Ingekuwa ni sisi wengine nina uhakika wangepiga vigelegele.

- Ka nzi kalioko Uswisi kamefuatilia kwa karibu safari ya jamaa yetu na mama yake na mkewe. Ila kanzi wamekabana sana, naona kanataka kurudi kijijini.

- Kumbe Al-Awadi ana mahusiano ya kindoa na kina Zayed; yule wa Loliondo? Well.. ndege wanaofanana, huruka pamoja. Sasa kwanini wasiseme tu kuwa ni "wale wale".. maana mwana wa mfalme alikuja tena juzi na maombi mengine. Nadhani JK atamridhia.



MM
 
tusiwe na haraka kwanza ngoja tusubiri kauli ya nduguye ndio itakayotupa mwanga juu ya jambo hili.


Tumngoje William hapa aje atoe ufafanuzi na uelewa....Kwa sababu kifamilia watakuwa wanafahamu issue hii,kwa sababu hawa watu ni brothers.

wait a minute, William (ndugu wa Male) atakuja kutoa tamko.

Tuamke ndugu zangu, tufunguke macho, huwezi kusema tumsubiri mtoto wa Malecela atueleze ukweli/ atoe tamko kuhusu shutuma za mtoto wa mdogo wake.

Isitoshe William ana profile hapa, ana rekodi ndefu ya kufinyanga ukweli, unless umejiunga JF jana usiku, na hujui William ni nani na integrity yake ikoje.

Unadhani William anaweza kusema kitu ku hurt his family kuwafaidisha nyinyi Nziku na Kicheche na Mwawado na Uwiano, some strange members wa Jamiiforums? William anatujali sisi anatujua? Analipwa na JF?
 
Warioba alisema rais is more than a person, ni symbol ya taifa kama bendera na currency.Kwa hiyo wanaweza ku invoke some bureaucratic statism kama hiyo kujustify hii kama attack on the reputation of a nation, not merely the person of the president.

Si unajua muendesha mashitaka akitaka sifa kosa moja linanyumbulishwa kuwa na mashtaka 60.

It is only in Tz where such insidious and ridiculous assertions can be made blatantly and with such moral impunity it borders on the absurd. Presidents come and go - it all depends on the mood and temperament of the electorate leave alone the manipulations and machinations that accompany such exercise - dubbed election. I totally disagree that an attack on Kikwete as a person can justifiably be construed to be an attack on the reputation of our nation. To CCM fanatics however, this preposterous and ludicrous asseveration, I am afraid, may not register at all.
Kwao CCM ndio baba, ndio mama.

 

Tuamke ndugu zangu, tufunguke macho, huwezi kusema tumsubiri mtoto wa Malecela atueleze ukweli/ atoe tamko kuhusu shutuma za mtoto wa mdogo wake.

Isitoshe William ana profile hapa, ana rekodi ndefu ya kufinyanga ukweli, unless umejiunga JF jana usiku, na hujui William ni nani na integrity yake ikoje.

Unadhani William anaweza kusema kitu ku hurt his family kuwafaidisha nyinyi Nziku na Kicheche na Mwawado na Uwiano, some strange members wa Jamiiforums? William anatujali sisi anatujua? Analipwa na JF?

nitasema baada ya kumsoma, i remain optimist.
 
Ndio maana nasema, hii habari hapo juu kwamba ni Malecela Lusinde, imetoka wapi?

Mtoto wa kaka yake ex-Waziri Mkuu Malecela, yaani ex-balozi Job Lusinde angewawekaje Utamu watoto wa mke wa baba mdogo (Mama Kilango), yani kina Nyange, dada zake?


Hebu turudi square one. Nani kasema Utamu ni Malecela Lusinde na kakamatwa?

Kama FMES kaweza kuiweka hapa hii habari, hilo litashindikanaje?
 
Uwiano Maalum,sisi watu wa pwani,husema 'SUBIRA YAVUTA HERI' hivyo basi ningeomba tumsubiri huyo william kuliko kurushana stimu hapa
 
- Heshima kwa wakuu wote JF,in another few hours nitatoa tamko langu binafsi na rasmi on this ishu. For the last Four days nimekua na majadiliano mazito sana between forces close tothis ishu, na hasa founder wa JF Mkulu Max, ninaamini leo ni wakati muafaka nikasema something, nitarudi soon.

Ahsanteni.

William - Community Organizer (CO)


Please don`t be 2 late
 
...kuna watu wametega tu kusubiria tamko rasmi 😀,
Currently Active Users Viewing This Thread: 218 (47 members and 171 guests)
hamjui Commercial break nyie? ...haya, burudikeni na zilipendwa mkiendelea kumsubiri...;

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=nFR-ETZ6Kic"]YouTube - Swahili Zilipendwa[/ame]​
 
...kuna watu wametega tu kusubiria tamko rasmi 😀,
hamjui Commercial break nyie? ...haya, burudikeni na zilipendwa mkiendelea kumsubiri...;

Ahsante mkuu na kibao chako murua.Nimemsubiri nimechoka ngoja nikalale,labda nikiwa kwenye ndoto nitapata majibu yake.
 
Tuangalie hii ishu kwa mapana zaidi.Okay,jamaa alikuwa anawindwa kwa tuhuma za ku-photshop picha ya JK (wengine wanasema yule sio JK bali ni kufanana sura tu because the picture in question was not accompanied with a caption or a name).Whether alichofanya ni kosa au ni sahihi,depends na mtizamo wa mtu kuhusu freedom of speech/expression especially wapi inapoanzia na kuishia.

Tunachoelekea kukipuuza hapa ni kuwa zeutamu ilikuwa chapisho la mtandaoni kama ilivyo JF.Japo contents za sites hizi mbili ni mithili ya usiku na mchana (wa kitropiki),zote essentially ni sehemu ya ushirikishaji umma katika mtandao.Lakini la muhimu zaidi ni ukweli kwamba sites zote mbili,zeutamu na JF ni WAWINDWA.Wakati zeutamu ilikuwa inawindwa na victims wake,JF ni target muhimu ya mafisadi.

Kwahiyo wakati baadhi ya wenzetu wanafurahi kiama kilichomfikia zeutamu (which is fine kwa vile kila mtu ana uhuru wa kufurahi au kukasirika),ni muhimu tuangalie hatma ya JF in the context ya kilichoikumba zeutamu.

Ikumbukwe kuwa zeutamu became "an extremely dangerous site" ONLY WHEN ILIPOWEKA HIZO PHOTOSHOPPED PICS.Na hapo ndipo tunapaswa kutafakari.JF imeendelea kuwa mwiba mchungu kwa mafisadi day in day out,come rain come sunshine.For that matter,kama ni makosa basi la zeutamu lilikuwa moja tu (touching the untouchables) while sie hapa tunafanya hivyo kila siku.

JE TUKO SALAMA KIASI GANI? Ili kutafakari ipasavyo,ni muhimu kuchora mstari unaolinganisha na kutofautisha tovuti hizi mbili.
 
Last edited:
Wewe unayesema ushirikiano wa shigongo na huyu kijana fikiria jambo lifuatalo kamanda kova wiki iliyopita alienda kwa shigongo kufanya nini kama sio kukubaliana kuhusu kijana huyu au wale wote wanaohusika nae jambo lingine angalia upande wa technologia niliwahi kubandika kitu fulani kuhusu the utamu address yake ( mmoja wa watu anayetumia email ya utamu ) alituma email fulani tokea san diego hivi vyote vinaweza kutumika kama ushahidi
Ahhh Shy....unataka ku-steal credits za Interpol?Au mzee na wewe ni Interpol?🙂
 
Tuangalie hii ishu kwa mapana zaidi.Okay,jamaa alikuwa anawindwa kwa tuhuma za ku-photshop picha ya JK (wengine wanasema yule sio JK bali ni kufanana sura tu because the picture in question was accompanied with a caption or a name).Whether alichofanya ni kosa au ni sahihi,depends na mtizamo wa mtu kuhusu freedom of speech/expression especially wapi inapoanzia na kuishia.

Tunachoelekea kukipuuza hapa ni kuwa zeutamu ilikuwa chapisho la mtandaoni kama ilivyo JF.Japo contents za sites hizi mbili ni mithili ya usiku na mchana (wa kitropiki),zote essentially ni sehemu ya ushirikishaji umma katika mtandao.Lakini la muhimu zaidi ni ukweli kwamba sites zote mbili,zeutamu na JF ni WAWINDWA.Wakati zeutamu ilikuwa inawindwa na victims wake,JF ni target muhimu ya mafisadi.

Kwahiyo wakati baadhi ya wenzetu wanafurahi kiama kilichomfikia zeutamu (which is fine kwa vile kila mtu ana uhuru wa kufurahi au kukasirika),ni muhimu tuangalie hatma ya JF in the context ya kilichoikumba zeutamu.

Ikumbukwe kuwa zeutamu became "an extremely dangerous site" ONLY WHEN ILIPOWEKA HIZO PHOTOSHOPPED PICS.Na hapo ndipo tunapaswa kutafakari.JF imeendelea kuwa mwiba mchungu kwa mafisadi day in day out,come rain come sunshine.For that matter,kama ni makosa basi la zeutamu lilikuwa moja tu (touching the untouchables) while sie hapa tunafanya hivyo kila siku.

JE TUKO SALAMA KIASI GANI? Ili kutafakari ipasavyo,ni muhimu kuchora mstari unaolinganisha na kutofautisha tovuti hizi mbili.

Si walishatu beep Mkulu wa kaya akawapiga stop. As long as hatuingizi habari za kipuuzi kama hizi za ze utamu, cost ya kuifunga JF kwa maguvu ni kubwa kwa serikali kuliko hasara ya kuiacha JF iwe hewani.

Mkulu yuko na Makamba, ambaye ana uzoefu sana na ma online forum alikuwa mchangiaji mzuri sana YA na hata humu anakuja sana, si ajabu anamwambia waachie waseme tu, ukiwashughulikia itakugharimu ki image sana mpaka kimataifa.

Tayari walivyotubeep tu vi communique vilishaanza kutoka viofisi vya haki za binadamu New York na Geneva.

Hatujawa tishio bado, not to that extent ama sivyo Invisible angekiona cha mtema kuni.
 
Wana JF,

Hii sio mara ya kwanza kuelezwa hapa kwamba Ze utamu kapatikana. Last time lilitajwa jina na picha ikawekwa ya kijana mmoja anaitwa Gerald Kigisi. Baadae ikaonekana habari hiyo haikuwa ya ukweli. Nitabaki kutokuamini yanayosemwa hapa mpaka iwe proved otherwise.

Halafu eti tunamsubiri William aje afanye confirmation kwamba ndugu yake ndiye ze Utamu!!! Itakuwa ajabu endapo William atajitokeza na kusema ni kweli ndugu yake ndiye alikuwa anaendesha ze utamu.

Swali la msingi la kujiuliza ni gharama kiasi imetumiwa na serikali ya Tanzania kumsaka huyu Ze utamu? Si ajabu ukaambiwa zimetumika shs. bilioni 10. Nimelazimika kusema hivi kwani nina amini serikali ya TZ haina uwezo hata kidogo wa kuweza kusimama yenyewe na kumtafuta huyu mtu. Kwa vyovyote walifanya out sourcing ya wataalamu la sivyo hiyo website ingefungiwa kwanza isionekane Tanzania wakati wakiendelea kumsaka. Nina imani siku wakawa na huo uwezo wa kuzuia website kadhaa zisiweze kufunguka ndani ya Tanzania, basi website ya kwanza kufungiwa itakuwa JF.

Tiba
 
- Wakuu kumekuwa na tetesi ya hii habari kwa muda sasa, na hasa wiki iliyopita toka Jumapili nimejaribu sana kufuatilia kwa makini sana hii ishu kwa kujadiliana na wananchi mbali mbali wanaoifahamu, na ni muda mfupi tu uliopita nimeongea na mwenyewe mhusika akiwa akiwa anaendesha gari barabarani akitokea Birmingham kwenda nyumbani kwake,

- Na as a man na pia kama ndugu, nikamuuliza swali moja tu is it true or not, akanijibu kwamba he has absolutely nothing to do with it, na kwamba never katika anytime kuna yoyote kutoka kwenye authorities either ya Tanzania au ya UK amewahi kumuuliza anything on the ishu, sasa kama ndugu I take him at his word kwamba he is telling the truth and nothing but the whole truth.

- Nimeamua kuongea kama bina-adam, tena against ushauri wa wengi sana kwamba I should stay out of this mess, my heart goes kwa the victims wa hiyo kitu ambayo kwangu hata kuitaja nasikia chills mwilini kutokana na habari nyingi mbaya sana nilizowahi kuzisikia, binafsi nimewahi kuichungulia mara mbili tu, kwanza walipodhalilishwa marafiki wa karibu sana na familia yangu, na pili alipodhalilishwa Mheshimiwa rais, na ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuweza kufanikisha kuondolewa kabisa kwa hiyo kitu ambayo ninaiita mkono wa shetani.

- Lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja, ni matumaini yangu kwamba authorities yetu wako on the top of this ishu, ni kukamatwa tu kwa owner ndiyo njia pekee ya kuelekea kwenye healing na recovery kwa victims ambao nasikia ni wengi sana wa hiyo kitu, ninawaombea Mungu awape baraka na spirit of quick recovery ingawa pia with the presha toka kwa pilato na this ishu in the last few weeks, baada ya hii topic nitajiweka kando rasmi na mitandao in general mpaka huko mbele ya safari ambako sijui itakuwaje na ni lini.

Ahsante Sana Wakuu.

William. - Community Organizer (CO)
 
Wana JF,

Hii sio mara ya kwanza kuelezwa hapa kwamba Ze utamu kapatikana. Last time lilitajwa jina na picha ikawekwa ya kijana mmoja anaitwa Gerald Kigisi. Baadae ikaonekana habari hiyo haikuwa ya ukweli. Nitabaki kutokuamini yanayosemwa hapa mpaka iwe proved otherwise.

Halafu eti tunamsubiri William aje afanye confirmation kwamba ndugu yake ndiye ze Utamu!!! Itakuwa ajabu endapo William atajitokeza na kusema ni kweli ndugu yake ndiye alikuwa anaendesha ze utamu.

Swali la msingi la kujiuliza ni gharama kiasi imetumiwa na serikali ya Tanzania kumsaka huyu Ze utamu? Si ajabu ukaambiwa zimetumika shs. bilioni 10. Nimelazimika kusema hivi kwani nina amini serikali ya TZ haina uwezo hata kidogo wa kuweza kusimama yenyewe na kumtafuta huyu mtu. Kwa vyovyote walifanya out sourcing ya wataalamu la sivyo hiyo website ingefungiwa kwanza isionekane Tanzania wakati wakiendelea kumsaka. Nina imani siku wakawa na huo uwezo wa kuzuia website kadhaa zisiweze kufunguka ndani ya Tanzania, basi website ya kwanza kufungiwa itakuwa JF.

Tiba

1.William anaweza kusema ukweli, usim "misunderestimate"

2.I suspect serikali ya Tanzania iliiomba tu serikali ya Uingereza kuisaidia kumtafuta huyu bwana.Kwa vile sasa hivi with terrorism and all serikali za magharibi zinakuwa very eager ku cooperate, hasa kwa kesi kama hizi, hapa serikali ya Uingereza imeshaifanyia favor serikali ya Tanzania basically kwa kum order ISP tu afanye tracking na kuangalia malipo ya credit card, ambayo huyu bwana alikuwa majununi kalagabaho kiasi cha kutumia credit card zake mwenyewe na kuacha a paper trail that is longer than the Nile.Kwa hiyo inawezekana kwamba kuna ki effort cha ufuatiliaji kimetumiwa lakini sioni kama kumfuatilia mtu kwa ISP na kutrack credit card kutatumia hela nyingi.

Bottom line, tusitake kutumia kesi kubwa za mafisadi ku excuse hizi tabia chafu.Ningependa kuona watu wakiipa pressure serikali kwamba kumbe ikiamua kufuatilia vitu inaweza, kwa nini isifuatilie maswala ya EPA na ubadhirifu mkubwa mwingine?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom