Ze Utamu blogger under arrest?

Ze Utamu blogger under arrest?

Status
Not open for further replies.
BUT this as to be seen both sided; inapaswa serikali kufanya hivyo pindi hata sukununu akidhalilishwa kwani huu ni ulinzi wake kikatiba na siyo tu pale Nyangumi wanapoguswa ndio inaonekana kumbe ni fedheha! Alaaa! Sasa watanitambua! Tusiwe wabinafsi. ZE-UTAMU scandle iwe ni fundisho la jinsi gani mambo ya namna hiyo yawe dealt yanapotokea na ikiwa sivyo basi wanyonge watakapo- kumaliza ishu yeyote watai-connect na mkulu yeyote ili i-dissolve. A school of thought anyway!
 
Blog zoooote za wabongo habari hiyo hiyo, tena copy paste, nyingine bila hata kutoa credit.

Ajabu sana.
 
Naona hii habari imevunja record, any way waswahili wanasema, waweza kula mahindi ya bwana shamba, lakini si mke wa bwana shamba.
Huyu jamaa alipitiliza mpaka chumbani...!
 
William Malecela ya kweli haya? Nduguyo alikosa adabu hivyo au vipi? Mimi nilifikiri "nobility" yetu ingefanya better than this, especially the Lusinde-Malecelas ambao largely wame stay scandal free.Kama ni kweli nini kinamsibu mpaka kujihusisha na hii enterprise ya aibu? Alikosa shughuli ya kufanya au uhayawani tu?

Au anakuwa set up tu? Maana watu wanaweza kumzushia mtu kitu tu, kama kazushiwa tunategemea maelezo ya kumsafisha yatolewe, hasa kwa sababu kuna nduguye ni prominent member humu.Kutotoa ufafanuzi kutakuwa ni sawa na kukubali kwamba anahusika.

Katika disappointment zote za "wakubwa" wetu sikutegemea kituko kama hiki, hata kwenye debauchery haiko ni sheer lunacy.

Whither "Noblesse Oblige" ?

- Heshima kwa wakuu wote JF,in another few hours nitatoa tamko langu binafsi na rasmi on this ishu. For the last Four days nimekua na majadiliano mazito sana between forces close tothis ishu, na hasa founder wa JF Mkulu Max, ninaamini leo ni wakati muafaka nikasema something, nitarudi soon.

Ahsanteni.

William - Community Organizer (CO)
 
duh hiyo itakuwa kali ya karne. sheria ya magazeti inatumika hadi kwenye mitandao?
Wakitaka hata ya "babu seya" yaweza tumika.....kijana anavuta ndevu za mkulu alijua amelala!!!!Hii ni bongo bwana.Afanaleki.......
 
Jamani mbona mwanakijiji hajaonekana toka habari hi ya ze utamu ianze kusambaa kuna nini kinachoendelea nyuma ya pazia
 
Chemi Che-Mponda aliyekuwa accredited by some kuwa source ya original article.

Kwenye site ya Chemi Che Mponda, kama ndio yenyewe hapa yeye mwenyewe anasema "nimepokea hii habari kwenye email."

Sasa bwana Blueray, hii habari hii, ambayo imekamata dunia ya mitandao ya Watanzania, kwamba Utamu the elusive desperado amekamatwa, imetokea wapi?

Unasema watoe credit, watoe kwa nani, habari imetokea kwa nani, ZeUtamu mwenyewe?
 
- Heshima kwa wakuu wote JF,in another few hours nitatoa tamko langu binafsi na rasmi on this ishu. For the last Four days nimekua na majadiliano mazito sana between forces close tothis ishu, na hasa founder wa JF Mkulu Max, ninaamini leo ni wakati muafaka nikasema something, nitarudi soon.

Ahsanteni.

William - Community Organizer (CO)


Aliwaweka UTAMU hata kina NAFUE NYANGE MALECELA......mna roho ngumu.

Masha, Rostam, Ray watamla nyma kudadadeki walahiiii Malecela Lusinde...
 
- Heshima kwa wakuu wote JF,in another few hours nitatoa tamko langu binafsi na rasmi on this ishu. For the last Four days nimekua na majadiliano mazito sana between forces close tothis ishu, na hasa founder wa JF Mkulu Max, ninaamini leo ni wakati muafaka nikasema something, nitarudi soon.

Ahsanteni.

William - Community Organizer (CO)

tusiwe na haraka kwanza ngoja tusubiri kauli ya nduguye ndio itakayotupa mwanga juu ya jambo hili.
 
wait a minute,jamaa ni scapegoat nini!!!!!!!!!!!!!

Ndio maana nasema, hii habari hapo juu kwamba ni Malecela Lusinde, imetoka wapi?

Mtoto wa kaka yake ex-Waziri Mkuu Malecela, yaani ex-balozi Job Lusinde angewawekaje Utamu watoto wa mke wa baba mdogo (Mama Kilango), yani kina Nyange, dada zake?


Hebu turudi square one. Nani kasema Utamu ni Malecela Lusinde na kakamatwa?
 
Ndio maana nasema, hii habari hapo juu kwamba ni Malecela Lusinde, imetoka wapi?

Mtoto wa kaka yake ex-Waziri Mkuu Malecela, yaani ex-balozi Job Lusinde angewawekaje Utamu watoto wa mke wa baba mdogo (Mama Kilango), yani kina Nyange, dada zake?


Hebu turudi square one. Nani kasema Utamu ni Malecela Lusinde na kakamatwa?

wait a minute, William (ndugu wa Male) atakuja kutoa tamko. Kwasasa soma maelezo yake kwamba amekuwa ktk mahojiano na 'forces' kwa siku kadhaa juu ya hii issue.

- Heshima kwa wakuu wote JF,in another few hours nitatoa tamko langu binafsi na rasmi on this ishu. For the last Four days nimekua na majadiliano mazito sana between forces close tothis ishu, na hasa founder wa JF Mkulu Max, ninaamini leo ni wakati muafaka nikasema something, nitarudi soon.

Ahsanteni.

William - Community Organizer (CO)
 
Kwenye site ya Chemi Che Mponda, kama ndio yenyewe hapa yeye mwenyewe anasema "nimepokea hii habari kwenye email."

Sasa bwana Blueray, hii habari hii, ambayo imekamata dunia ya mitandao ya Watanzania, kwamba Utamu the elusive desperado amekamatwa, imetokea wapi?

Unasema watoe credit, watoe kwa nani, habari imetokea kwa nani, ZeUtamu mwenyewe?

Mkuu Uwiano...Hili swali ulilouliza ndio swali la Msingi..."Wapi chanzo cha habari?".Kule kwa Che Mponda ameiondoa post ile inayomtaja Malecela kuwa ndiye mmiliki wa Ile Blogu...Na watu wa Ubalozi wetu huko London wanasema hawajui lolote kuhusu kuhusika kwa Malecela na Ile Blogu!Sasa kuna forces ambazo zinataka habari hii imalizwe kimya kimya...au Malecela kasingiziwa? Ni nani kaitengeneza habari hii!..kwa sababu nijuavyo Mimi habari ya kutafutwa kwa Mmiliki wa Blogu hii bado ni siri kubwa kwa vyombo vya dola.

Tumngoje William hapa aje atoe ufafanuzi na uelewa wake kuhusu jambo hili.Kwa sababu kifamilia watakuwa wanafahamu issue hii,kwa sababu hawa watu ni brothers.
 
Kweli hii habari haidhibidishwa badi na vyombo husika naona hata hivyo kuna watu kama mwanakijiji hawaonekani toka taarifa hii ianze kusambaa sijui kun anini kinachoendelea wakuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom