Invisible
JF Admin
- Feb 26, 2006
- 16,286
- 8,447
Ninapokwambia kitu si lazima ukiamini, unaweza kuchukulia vyovyote lakini at the end of the day (endapo atakamatwa mhusika mwenyewe) nitakuonyesha alivyofanya malipo kwa kadi yake na alivyokosea kwa kuamini kuwa uraia alio nao wa UK ndiyo kinga. Endapo hawajam-identify basi ni bahati yake, anatakiwa kujua kuwa alichemka sana hapo!Ni vizuri umeelewa kwamba taarifa ikibebwa na jina lako inachukua uzito wa jamvi zima. Umewajibika kwa kukaa kwanza pembeni, ni vema.
Tungoje ukweli na udaku ujitenge, sidhani kama huyu Utamu ni jinga la kutumia credit card yenye jina lake kuposti picha za caricuture za matusi za rais Kikwete .
Mistake nyingine alilkuwa kwenye shared hosting ya HostGator ambapo waliposumbuliwa kidogo tu walitoa details zake...