Saikosisi
JF-Expert Member
- May 4, 2007
- 528
- 31
I miss you Saikosisi. HRU SIR?
Nimetoka kuongea na 'baba mwenye nyumba' saa hii, sio kweli jamaa hawajam-arrest wala nini.
I miss you Saikosisi. HRU SIR?
Duh, wakuu mbona mnatuacha solemba...Haya ngoja nasi tujikite ktk kutafuta huyu dudu baya..Kifupi hakuna cha sheria wala mjomba wa sheria huyu jamaa anatakiwa kulala Keko week moja tu, akitoka na mimba tayari..For the world record ataingizwa kitabu cha Guiness..Tena basi vijana wa Livingston wanamtafuta kichizi!
Malipo ya server alikuwa anafanya kwa credit card yake ya ukweli! Kaazi kwelikweli...
NN, mi sitaki kuongea zaidi... The guy wasn't smart to the extent I expected him to be. Pamoja na kuwa ni mtaalam wa IT lakini alipuuza wengi waliomwambia amechemsha kwa blogging style yake.
Anyway, najua akipata wakili mzuri anashinda kesi (endapo watamfungulia kesi). Ninachojua wataongea na 'mzee wao' amkanye kijana wake ili asichafue jina la familia yao 'kubwa'
Mimi huwa na pita pita humu kupata habari nyeti lakini si mchangia mada. Lakini sijapendezewa na huu mtindo wa kuto taja majina especially kwa watu kama Zeutamu walio umiza watu wengi kwa kutumia mtandao vibaya. SASA MIMI NINAWEKA JINA LAKE HAPA KUMALIZA MZIZI WA FITINA. JAMAA ALIYEKAMATWA NI:
MALE LUSINDE YES I SAID IT!!!!!!!!!!!!!
next time lets just do what we do yaani "where we dare to talk Openly"
MALE LUSINDE YES I SAID IT!!!!!!!!!!!!!
...
NN, GT na Invincible - kazi sasa imerahisishwa, nyie sasa ni ku-confirm tu ama ku-refute kama kweli ndio huyu jamaa (itakuwa sio ubaya wenu, ni mizani!)
Can you dare?
I'm not commenting any further....
NN out, kazi kwako GT na Invincible... CAN YOU DARE?
Nimetoka kuongea na 'baba mwenye nyumba' saa hii, sio kweli jamaa hawajam-arrest wala nini.
I'm not commenting any further....
Nyani Ngabu
Source yako ni ipi mkuu?
Kumbe unachonga na "baba mwenye nyumba"? Hongera mwanawane!
https://www.jamiiforums.com/488002-post37.html- Aliyeitengenza ile picha na kui-post nasikia ni mtoto wa kigogo mmoja wa CCM na serikali, ambaye serikali imeshindwa cha kumfanya kutokana na heshima ya baba yake kwa taifa letu, nasikia walimjua ni nani baada ya kusaidiwa na wazungu huko majuu, anaishi majuu walimfuatilia for a week na kujua kwamba ni fundi bingwa sana wa computer na kila siku hutumia masaa mengi sana kwenye internent, maana ilifikia mahali alikuwa kila akiingia mtandaoni jamaa wanam-monitor bila ya yeye kujua, ninaamini mpaka leo wanaendelea.
Respect.
FMEs!