Yusuf Makamba: Mokiwa muombee January aote nywele

Yusuf Makamba: Mokiwa muombee January aote nywele

Kama wewe nikiongozi Wa Ccm bhasi ndio wale voongozi mizigo.Zuma ananyoa mini Na nchi yake ipo wap?hatutauza nchi yet Kwa walanguzi Na mafisadi

wewe ni tahira ni wakati wa mkristo kupewa nafasi ya awamu ya tano,lowasa anapokea kijiti mwakani,nipe mambo ambayo january ameyatumikia hii kwa damu kama lowassa,yeye amekuta nchi imekaa vizuri kimaendeleo halafu anataka kupata urais kirahisi, wewe ni pimbi kweli unataka kusema nini hapa ngedere wewe
 
Kwani Nywele za January zimenyonyoka zenyewe hadi aombewe ili ziote ? Kama kanyoa saloon basi aache ziote Maana inaelekea baba yake anadhani mwanae atakuwa Rais ndio Maana ameanza kukomaa mapema.
yaani hajaridhika na kilichopatikana katika ngwe hii na anataka achume zaidi!?
 
Makamba atakuwa bize na tunguli ili mwanawe apate Urais...ni hivi nchi hii haitaongozwa na muislamu tena na hasa kama anayoa upara ndo kabisaaaa
By the way. yusuph Makamba ni muislamu lakini January Makamba sio Mwislamu.
 
By the way. yusuph Makamba ni muislamu lakini January Makamba sio Mwislamu.

Mkuu unasema si mwislam je ni dini gani? maana nasikia ktk familia ya makamba mtu pekee ambaye si meslam ni mkewe tu wengine wote ni waislam labda kama kuna kitu ambacho sikijui hapa.

BACK TANGANYIKA
 
wewe ni tahira ni wakati wa mkristo kupewa nafasi ya awamu ya tano,lowasa anapokea kijiti mwakani,nipe mambo ambayo january ameyatumikia hii kwa damu kama lowassa,yeye amekuta nchi imekaa vizuri kimaendeleo halafu anataka kupata urais kirahisi, wewe ni pimbi kweli unataka kusema nini hapa ngedere wewe

Kama wewe ni miongoni mwa wapambe Wa lowasa bhasi Lowasa hana watu.Unatunisha misuli ya nini sasa.Narudia tena hatuwezi kumpa nchi hii mtu mwenye uzoefu Wa kuiba Mali za uma kama huyo Mzee wako lowasa.
 
Hiyo ni mojawapo ya sehemu za legacy ya Mr Dhaifu. Historia ya Tanganyika itamkumbuka kwa kutuachia huyu mdudu.

Wazee mbona mnasapoti sana udini hata acheni kuchanganya mitazamo ya kisiasa na dini.

Ndo maana tunawaambia january anafaa kuwa rais na atamudu kuondoa iyo mentality ya udini mlokuwanayo coz yeye amezaliwa kwa baba muislam na mama mkatoliki, ukiacha ivyo yeye mwenyewe ni muislam lakini mke wake ni mlutheri.

Udini si sehemu ya january makamba
 
Kati ya muislamu mzalendo na mkristo fisadi nani apewe nchi? Mbulula wewe hatutafuti rais wa kanisa tunatafuta rais wa nchi. Na huyo alokutuma mwambie hoja ya udini apeleke kwao monduli

Kama lowasa anapigia chapuo ukristo sasa ameagiza tende kutoka uarabuni za kazi gani?

Kafie mbele wewe

January next president JMTZ

Atakuwa rais wa ile taasisi ya sheikh Ilunga
 
Mkuu unasema si mwislam je ni dini gani? maana nasikia ktk familia ya makamba mtu pekee ambaye si meslam ni mkewe tu wengine wote ni waislam labda kama kuna kitu ambacho sikijui hapa.

BACK TANGANYIKA
Ninavyojua mimi january alifuata dini ya mama yake ambayo ni ukristo.
Nipo tayari kukosolewa kama yupo anayemfahamu.
 
Aya mokiwa uyo anataka rais atakaye atakaeunga mkono sera ya ushoga ya kanisa anglikana

Na wehu bado mnamuamini mokiwa shoga.

Hivi kwanini askofu mokiwa alifukuzwa uongozi wa anglikana?ukiona hivyo ujue kuna tatizo kichwani kwa askofu huyo.hakustaafu uongozi kama mnavyodhani ni alihacha kwa shinikizo la waumini wa kanisa hilo kwa tabia zake za hovyo ndani ya kanisa hilo takatifu.
 
Wote watatu ni wasanii
- mokiwa
- makamba baba
- makamba mtoto
Wote ni kama wameshikiwa akili.
 
Wakuu,

Aliyekuwa katibu mkuu wa CCM na akashindwa, amekuja na kiroja na kituko.

Eti amemtaka askofu Mokiwa amuombee mwanae January aote nywele kwa maana Mokiwa alitoa tamko kuwa hawatakuwa tayari kuongozwa na wanyoa unga.

Hii kauli inadhihirisha uelewa mdogo wa wanaCCM

mokiwa yuko sahihi 101%. nchi hii haiwezi kuongozwa tena na wahuni kama JK.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom