Yusuf Makamba: Mokiwa muombee January aote nywele

Yusuf Makamba: Mokiwa muombee January aote nywele

Bado waha hatujasema rais wetu ni nani la sivyo tunajitenga kama sudan kusini - Nchi yetu itaitwa Tanganyika.

Rais atakuwa Dr Shen kisha pinda atakuwa makamu wa Rais Waziri Mkuu atakuwa magufuli na Zanzibar Rais atakuwa Husein mwinyi ingawa wanasema ikishindikana basi itabidi Rais awe Lowasa kisha Zenji atakuwa huyo huyo mwinyi makamu wa Rais atatoka pemba pinda atakuwa Waziri wa utawala bora.
 
Uwezo,uzalendo,hekima,busara Na uadilifu usio Na shaka utampekeka January Ikulu 2015

uzalendo upi na uadilifu upi wa mitandao ya kijamii au kuna mwingine au wa kupita korido za ikulu na kuwa karibu na mkuu wa kaya ndo uzalendo
 
Nyerere alikaa ikulu 25 yrs huenda Dr shein akaivunja rekodi yake Maana Tokea kwa mkapa sasa zenji na huenda akapewa Rais wa muungano ili kumkwepa Lowasa ambaye ndiye mtu pekee kwa ccm mwenye uwezo wa kupambana na chadema.
 
uzalendo upi na uadilifu upi wa mitandao ya kijamii au kuna mwingine au wa kupita korido za ikulu na kuwa karibu na mkuu wa kaya ndo uzalendo

Ni rahisi Serikali kuhamia Dodoma licha ya kuchemsha Miaka nenda ludi kuliko January Kuwa Rais.
 
We kweli minyoo shost, mpaka akili yako imejaa minyoo mitupu, katiba aloagiza urais ugawiwe kwa mising ya utanganyika na uzanzibar, uislamu na ukristo, umasai na makabila mengine.

Inaonekana wew hata somo la uraia ulifeli.

Katafute wapumbavu wenzako wa team lowasa uwadanganye

January president JMTZ

Minyoo nipo Tumboni kwako na mie ndio nimekuletea njaa mpaka ukaenda kupiga magoti kwa January kuomba pesa za Upambe Usijione na kudhani una Akili wakati upeo wako ni Ziro haujui hata kusoma Alama za nyakati? Hv kwa Akili yako ndogo January atakuwa Rais ? Kaa ukijua ni rahisi kwa Dr Husein mwinyi Kuwa Rais kuliko January Makamba.
 
Ni rahisi Serikali kuhamia Dodoma licha ya kuchemsha Miaka nenda ludi kuliko January Kuwa Rais.

hakuna cha maana alichokifanya makamba mpaka kama kukaa korido za ikulu ni kulipwa fadhila za baba yake ana uzoefu gani wa kutaka kuwa rais kama amepima uongozi wa jk akaona anaweza labda huu wa kupanda ndege na kuwa promota ndo anaouweza
 
Jogoo utakuwa ww shoga?

Makamba jr ndo jogoo la tanzania.

Minyoo nipo Tumboni kwako nakutia njaa kwa kwenda mbele ukimaliza kuomba omba kwa January lazima utahamia kwingine njaa mbaya ! Sasa umepagawa mpaka unawaza visivyowezekana ! Chezea njaa wewe....
 
Wakuu,

Aliyekuwa katibu mkuu wa CCM na akashindwa, amekuja na kiroja na kituko.

Eti amemtaka askofu Mokiwa amuombee mwanae January aote nywele kwa maana Mokiwa alitoa tamko kuwa hawatakuwa tayari kuongozwa na wanyoa unga.

Hii kauli inadhihirisha uelewa mdogo wa wanaCCM

kwanza j makamba usiseme cho chote ndio ulikiua chama cha mapinduzi baba ukiwa hufai jua wanao hawafai
 
Mtoto uleamvyo ndivyo akuavyo. Hivi sasa kila mtu anafikiria kugombea uraisi ndo mwisho wa matatizo? Tatizo la kuwapa watu madaraka bado watoto, hawajawa na hekima ndo hii tunaanza kuiona sasa. Huyo apewe kwanza wizara ya ujenzi, maliasili na utalii na wizara ya nishati na madini tupime utendaji wake. Asikurupuke tu kugombea urahisi kwa vile JK alimtunukia hiyo nafasi aliyo nayo nayeye akafikiri anakubalika na watu. Hawa watu bwana wanashindwa kufanya kazi walizoteuliwa nazo matokeo yake kila kukicha wanatangaza kugombea uraisi tu.
 
Sio anadhani atakuwa rais January ni rais anaesubiri kuapishwa tu.

Minyoo nipo Tumboni kwako nimekutia njaa mpaka akili sasa imekariri kuwa January atakuwa Rais ! Hivi kwa Akili zako ndogo unadhani Wajumbe wa CCM watampitisha Makamba kuwa mgombea wa Urais ?
 
Mtoto uleamvyo ndivyo akuavyo. Hivi sasa kila mtu anafikiria kugombea uraisi ndo mwisho wa matatizo? Tatizo la kuwapa watu madaraka bado watoto, hawajawa na hekima ndo hii tunaanza kuiona sasa. Huyo apewe kwanza wizara ya ujenzi, maliasili na utalii na wizara ya nishati na madini tupime utendaji wake. Asikurupuke tu kugombea urahisi kwa vile JK alimtunukia hiyo nafasi aliyo nayo nayeye akafikiri anakubalika na watu. Hawa watu bwana wanashindwa kufanya kazi walizoteuliwa nazo matokeo yake kila kukicha wanatangaza kugombea uraisi tu.

Ni rahisi kwa Ngamia kupenya kwenye Tundu la sindano kuliko January Makamba Kuwa Rais wa Tanzania.
 
kwanza j makamba usiseme cho chote ndio ulikiua chama cha mapinduzi baba ukiwa hufai jua wanao hawafai

Ni kweli wakati wa Uongozi wake walikuwa wakichakachua Majina ya wagombea Ubunge kwa tiketi ya CCM matokeo yake wakahamia Upinzani na Kuwa wabunge,makamba alichangia sana kukidhoofisha chama.
 
Tuambie ww uyo mwenye busara na hekima ni nani.

Sura mbaya lione, wivu tu umekujaa janaume zima unatabia za kike

January president JMTZ

Bebi a.k.a mtoto wivu gani? Toa sifa za mgombea wako usiishi kwa Mazoea usizungumze kwa kukariri kila anachokuambia January Makamba , minyoo nipo Tumboni kwako nimekutia njaa hadi sasa Unafuga Kichwa kwa Ajili ya kufugia Nywele na Ndevu , kichwa hakiwazi ya Msingi kimekariri January atakuwa Rais tu !
 
Mkuu huyu amefanya biashara ikulu,alikuwa anatoza watu dola 500-1000 kuonana na JK ikulu.Akiwa mgombea ubunge alifadhili na shemeji zake wazungu wa GGM

Mh Sugu mbunge wa Mbeya Hana hamu nae juu ya kuporwa mladi wa mararia
 
Ushawai muona January akizungumza Na kujenga hoja? Ni mtulivu,hapwayuki,haongei Kwa jazba,anaongea Kwa man tiki.Anaushawishi Mkubwa sana katika hoja zake

Hicho si kigezo cha kumpa Urais kwani yeye na mapungufu yake mengi tu, mojawapo ni ile ya kumhujumu Mr Sugu juu ya mladi wa mararia na mengineyo mengi unapomsifia January ukumbuke na upande wa pili je? anakubalika Nchi nzima?
 
Hivi Mnyoa kipara ni Janiary peke yake?
Mbona hata mimi nimenyoa Kipara lakin Mzazi wangu kachuna tu na wala hajastushwa na kauli ya Askofu.
Wanasema ukisikia Paaa,basi jua limempata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom