ndo huyo huyo.
askofu mweu...ndio maana walimtimua uongozi wa kanisa kwa akili yake mbovu na ya kifedhuri.
ndo huyo huyo.
Wazee mbona mnasapoti sana udini hata acheni kuchanganya mitazamo ya kisiasa na dini.
Ndo maana tunawaambia january anafaa kuwa rais na atamudu kuondoa iyo mentality ya udini mlokuwanayo coz yeye amezaliwa kwa baba muislam na mama mkatoliki, ukiacha ivyo yeye mwenyewe ni muislam lakini mke wake ni mlutheri.
Udini si sehemu ya january makamba
Umemezeshwa na nani iyo mineno inayokutoka?
January president JMTZ
Hivi kwanini askofu mokiwa alifukuzwa uongozi wa anglikana?ukiona hivyo ujue kuna tatizo kichwani kwa askofu huyo.hakustaafu uongozi kama mnavyodhani ni alihacha kwa shinikizo la waumini wa kanisa hilo kwa tabia zake za hovyo ndani ya kanisa hilo takatifu.
Mokiwa naona ni mjinga flani tu, kunyoa kipara kuna tatizo gani? ana mawazo ya kipmbavu tu!
mbona povu? umevurugwa au?
Mkuu unasema si mwislam je ni dini gani? maana nasikia ktk familia ya makamba mtu pekee ambaye si meslam ni mkewe tu wengine wote ni waislam labda kama kuna kitu ambacho sikijui hapa.
BACK TANGANYIKA
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.
yah..nimevurugwa na askofu mokiwa,naona anatafuta pa kufia.kanisa limemshinda siasa ndio ataiweza?
kuna haja ya kumpima akili askofu mokiwa maana vitendo
vyake na nyazfa aliyonayo ni tofauti kabisa,sijui ata huo
uwaskofu aliupataje labda alijipa mwenyewe ndio maana
tunaona matendo mabaya akiyafanya bila hofu yoyote.
Jamani tuondoeni udini utatuweka pabaya mbona sisi ni ndugu toka awali
tehe tehe tehe tehe kama wewe ulivyo m-pu-mbavu tu!
Wewe endelea na mfungo ila jua wazi kuwa mtambani team hawezi kushika nchi tena...mmeharibu vya kutosha better muendelee kupiga vidufu vya daku lakini sio kuongoza nchi