Yusuf Makamba: Mokiwa muombee January aote nywele

Yusuf Makamba: Mokiwa muombee January aote nywele

Kwani Nywele za January zimenyonyoka zenyewe hadi aombewe ili ziote ? Kama kanyoa saloon basi aache ziote Maana inaelekea baba yake anadhani mwanae atakuwa Rais ndio Maana ameanza kukomaa mapema.

Sio anadhani atakuwa rais January ni rais anaesubiri kuapishwa tu.
 
WanaCCM wote huwa wanawaza badala ya kufikiri
 
Katika hali ya kukasirishwa na kitendo cha kauli ya askofu mokiwa ; kusema nchi aitaongozwa na wanyoa unga (watu wenye vipara); mzazi wa januari makamba kwa kutumia tafsida , ya kuwa kipara si ugonjwa au kilema na kama askofu akaona ni ugonjwa au kilema . Amfanyie maombi januari ili nywele ziotea .

Ushauri . Askofu najua kajua kauli yake imemchukiza mzazi . Ni wakati wa kuomba au kufuta kauli yake.
Mambo yaende

Unajua hawa viongozi wetu wa kidini wanatumia Falsafa zaidi na kama huna uelewa wa hizo falsafa zao utaingiza mgogoro kichwani mwako bure.
 
Asikofu aombe au kufuta kauli kwa kosa lipi. Mtu unapotangaza nia ya kufanya jambo fualani hata kama ni kuoa, kununua gari, kujenga nyumbani au kuingia vitani unataka kupima jamii inakuonaje ili uweze kujipima kama maamuzi yako ni sahihi. .Sasa inakuwaje mtu atangaee nia halafu awafunge watu midono wasiseme wanavyomwona kama analingana na aina ya jambo analikusudia kutenda.

Baadhi ya wanyoa upara ambao ni marais combred jacob zuma, josefu kabila na mtarajiwa wetu January makamba wote ni viongozi makini barani africa
 
Makamba atakuwa bize na tunguli ili mwanawe apate Urais...ni hivi nchi hii haitaongozwa na muislamu tena na hasa kama anayoa upara ndo kabisaaaa

Kati ya muislamu mzalendo na mkristo fisadi nani apewe nchi? Mbulula wewe hatutafuti rais wa kanisa tunatafuta rais wa nchi. Na huyo alokutuma mwambie hoja ya udini apeleke kwao monduli

Kama lowasa anapigia chapuo ukristo sasa ameagiza tende kutoka uarabuni za kazi gani?

Kafie mbele wewe

January next president JMTZ
 
Wakuu,

Aliyekuwa katibu mkuu wa CCM na akashindwa, amekuja na kiroja na kituko.

Eti amemtaka askofu Mokiwa amuombee mwanae January aote nywele kwa maana Mokiwa alitoa tamko kuwa hawatakuwa tayari kuongozwa na wanyoa unga.

Hii kauli inadhihirisha uelewa mdogo wa wanaCCM

Uelewa mdogo mnao nyie chadema na mwenyekit wenu mzinzi mbowe na katibu mgoni slaa
 
Mchungaji Christopher Mtikila amefungua kesi kumshitaki Askofu Dk. Valentino Mokiwa wa Anglican.

Msingi wa kesi ni kwamba Askofu Mokiwa alimshika makalio Mtikila na kwamba kitendo hicho kilichotokea Juni 25 mwaka jana walipokutana maeneo ya Ilala, kimemdhalilisha.

Mtikila alikuwa ameitwa na Askofu kujadili tamko la la Mtikila kwamba Kanisa la Anglican linajihusisha na ufisadi, ukiwemo ufisadi wa au wizi wa vifaa vya Hospitali ya Mission ya Millo iliyoko Ludewa mkoani Iringa.

Mtikila alivyoitwa na Askofu kujadili hilo alifika na wenzake watatu wa taasisi ya Liberty International Foundation na wakakaribishwa kwenye moja ya jengo la dayosisi ya St. Nocholas, usiku wa saa 03:00.

Muda mfupi baada ya kikao kuanza, Askofu Mokiwa ambaye alikuwa na wenzake saba, alisimama na kuwataka wajumbe wote wakaguliwe kama kuna mtu ana kinasa sauti, kazi ambayo aliifanya yeye baada ya kufunga mlango.

Katika upekuzi huo ndipo tuhuma hizo zilipopatikana kutokana na madai kwamba operesheni hiyo ilienda mbali zaidi ya lengo la kawaida.


"Mlalamikiwa alitangaza kuwa, kila mtu aliyekuwemo kwenye mkutano lazima apekuliwe na kwamba atakayekataa angetumia nguvu, kwa kuwa alikuwa na bastola, hakuna aliyebisha.

Alianza kupenyeza mikono yake kwenye shingo kuelekea chini kisha huko chini mikono ya mlalamikiwa ilionekana waziwazi ikipepesa sehemu za siri za mlalamikaji".

Mchungaji Mtikila ameiomba Mahakama imwamuru Askofu Mokiwa alipe fidia ya shs. bilioni moja kwa kumdhalilisha. Madhara zaidi ya kitendo hicho ni pamoja na mfadhaiko, masikitiko, wasiwasi, aibu katika jamii na kupata shinikizao la damu la mara kwa mara na matatizo ya moyo

Kesi inataarifiwa kuwa kwenye Mahakama ya Kisutu, chini ya Hakimu Mchome.

SOURCE: AMANI
DATE: TODAY
PAGE: 02,03
MHARIRI: 0714-895555,

Mokiwa anamatatizo gani?sasa anashtakiwa Kwa kumshika Mtikila makalio

kuna haja ya kumpima akili askofu mokiwa maana vitendo vyake na nyazfa aliyonayo ni tofauti kabisa,sijui ata huo uwaskofu aliupataje labda alijipa mwenyewe ndio maana tunaona matendo mabaya akiyafanya bila hofu yoyote.
 
Nilishasema! January Makamba atakua Raisi wa Bumbuli tu!

naunga mkono hoja akaongozwe huko kwao atuwezi kuongozwa na mtu mwenye tamaa ya kuwa kiongozi alijefikishwa kwa kulipwa fadhila za baba yake na kupewa vyeo awe uko uko bumbuli
 
kuna haja ya kumpima akili askofu mokiwa maana vitendo
vyake na nyazfa aliyonayo ni tofauti kabisa,sijui ata huo
uwaskofu aliupataje labda alijipa mwenyewe ndio maana
tunaona matendo mabaya akiyafanya bila hofu yoyote.
 
Baadhi ya wanyoa upara ambao ni marais combred jacob zuma, josefu kabila na mtarajiwa wetu January makamba wote ni viongozi makini barani africa

January yuko smart na atakua kiongozi bora sana
 
Katika hali ya kukasirishwa na kitendo cha kauli ya askofu mokiwa ; kusema nchi aitaongozwa na wanyoa unga (watu wenye vipara); mzazi wa januari makamba kwa kutumia tafsida , ya kuwa kipara si ugonjwa au kilema na kama askofu akaona ni ugonjwa au kilema . Amfanyie maombi januari ili nywele ziotea .

Ushauri . Askofu najua kajua kauli yake imemchukiza mzazi . Ni wakati wa kuomba au kufuta kauli yake.
Mambo yaende

Usijitoe akili mzee Kunyoa unga si kuwa na kipara bali ni fasheni za minyowo ya kihuni. Kafieni mbele na mnyoa unga wenu.
 
Du ! Hii Kali umejuaje Kama Mzee makamba ni muumini wa Tunguli ? Thibitisha tuone kisha hapo kwenye Udini pamekaaje? Awamu ya kwanza Rais alitoka Tanganyika,ya pili akatoka Zenji,tatu akatoka Tanganyika na awamu ya Nne Tanganyika ,Sasa ni Zamu ya Zanzibar Kutoa Rais Uisilamu hauepukiki na kama ikishindikana Zenji Rais lazima awe Mmasai wanasema Sokoine aliishia Kuwa Waziri Mkuu tu,Pia Sumaye na Lowasa wanashukulu hivyo vyeo lakini wanata Rais sasa atoke Umasaini Mzee Makamba jiandae kupambana na Wazanzibar na wamasai .

Aaaaah aaaaah umeona eeeh! Na safari hii rais lazima atoke pande zile alizosema Nyerere hawezi kutoka raisi. Tunavunja huo mwiko wa kibaguzi juu ya wazaliwa wa kaskazini.
 
Du ! Hii Kali umejuaje Kama Mzee makamba ni muumini wa Tunguli ? Thibitisha tuone kisha hapo kwenye Udini pamekaaje? Awamu ya kwanza Rais alitoka Tanganyika,ya pili akatoka Zenji,tatu akatoka Tanganyika na awamu ya Nne Tanganyika ,Sasa ni Zamu ya Zanzibar Kutoa Rais Uisilamu hauepukiki na kama ikishindikana Zenji Rais lazima awe Mmasai wanasema Sokoine aliishia Kuwa Waziri Mkuu tu,Pia Sumaye na Lowasa wanashukulu hivyo vyeo lakini wanata Rais sasa atoke Umasaini Mzee Makamba jiandae kupambana na Wazanzibar na wamasai .

We kweli minyoo shost, mpaka akili yako imejaa minyoo mitupu, katiba aloagiza urais ugawiwe kwa mising ya utanganyika na uzanzibar, uislamu na ukristo, umasai na makabila mengine.

Inaonekana wew hata somo la uraia ulifeli.

Katafute wapumbavu wenzako wa team lowasa uwadanganye

January president JMTZ
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom