Yusuf Makamba: Mokiwa muombee January aote nywele

Yusuf Makamba: Mokiwa muombee January aote nywele

kwamba January na Dr.Slaa ktk mdahalo wa urais,teh,teh hii itakuwa kejeli.amepiga bomu mtoto tu jana,asubui watu wanamzushia kifo

Ushawai muona January akizungumza Na kujenga hoja? Ni mtulivu,hapwayuki,haongei Kwa jazba,anaongea Kwa man tiki.Anaushawishi Mkubwa sana katika hoja zake
 
Mkwistu wa kwa gwajima...unawashwa eeh ..mchungaji kaacha kuwashugulikia nini..nchi haitaongozwa tena na muislam...ni bora tuongozwe na sokwe kuliko muislamu


Mbona unahamaki dogo! wewe unaangalia dini ya mtu au uwezo wake wa kuiongoza Tanzania na kutuletea maisha bora na maendeleo? Pale ikulu Rais anaongoza ibada hadi uangalie dini ya mtu!? achana na fikra mgando za kizamani dogo!
 
askofu upeo wake Ni mdogo mno

Swali dogo; hivi Nyerere alivyotoa comments zake kuhusu baadhi ya wagombea urais, alikuwa anamaanisha alichokisema au alikuwa anapeleka ujumbe tofauti..?

Ningeshauri tujaribu kuelewa kauli hiyo kabla ya kuanza kushutumu. I wish ingewezekana kumuhoji Askofu zaidi ili kujua maana halisi (kama yuko tayari kusema)..
 
Swali dogo; hivi Nyerere alivyotoa comments zake kuhusu baadhi ya wagombea urais, alikuwa anamaanisha alichokisema au alikuwa anapeleka ujumbe tofauti..?

Ningeshauri tujaribu kuelewa kauli hiyo kabla ya kuanza kushutumu. I wish ingewezekana kumuhoji Askofu zaidi ili kujua maana halisi (kama yuko tayari kusema)..

Naam,nakumbuka Nyerere alitumia neno dogs kuwaponda baadhi ya wagonbea urais kipindi kile 1995,watu walikuja na shutuma kama hizi zinazotolewa kwa Askofu,lakini mwisho wa yote kumbe Nyerere alikua ana maanisha wahuni na sio mbwa kama watu walivyokua wanatafsiri kabla
 
Huyu Makamba Snr badala ya kumtaka Mokiwa amuombee Makamba Jnr aote nywele, there is a simple solution. Makamba Snr amshauri Makamba Jnr avae WIG, problem solved!
 
Tatizo la viongozi wa dini na hasa wa madhehebu yetu ya kristo kutaka kutusemea sisi kondoo as if sisi hatuna akili na nivipofu....Ni hawa hawa 2005 walovyokua wabaguzi na kumoendelea mgombea mmoja na kutiaminisha SISI kondoo kua mgombea fulani ni CHAGUO LA MUNGU NA WENGINE NI YA SHETANI..LEO MOKIWA kwa makosa yaleyale ya ubaguzi anasema HATUWEZI kuongozwa na RAIS asiye na nywele huu ni mtizamo wake binafsi na hakuna aliyemtuma...MOKIWA acha dharau basi ungeendelea na kusema hatuwezi ongozwa na RAIS mwenye MAMVI au mwenye sura mfano wa SOKWE....mie nadhani km kiongozi wa dini ----------- na baadhi ya waliowachangia sana kwenye harambee ni vema ukajua kua watanzania sio wajinga km wewe MOKIWA ni nyie mliotuaminisha na KIKOMBE cha BABU so u bet a ---- up ur mouth km huna chakuongea acha demokrasia ifanye kazi..kwani mbona unaongozwa au kwavile wewe una nywele huna imvi wala sura yasokwe....
 
ndo maana nikasema CCM hawawezi kufikiria zaidi ya hapa.upo sahihi kaka

Sasa kati ya anaenyoa upara na anaezaa nje ya ndoa mbowe nani muhuni.

Jengeni hoja ya msingi mnasahau uwezo wa kiongozi january makamba katika kupambambanua mambo mbalimbali ya kitaifa?
 
Mokiwa naona ni mjinga flani tu, kunyoa kipara kuna tatizo gani? ana mawazo ya kipmbavu tu!

-------- ni wewe ambae umeshindwa kung'amua alichomaanisha mokiwa. shame on you!
 
hivi huyu kakijana sio fisadi kweli....? maana tunataka raisi fisadi maana atakuwa amejitosheleza hawezi kuiba tena....
 
Sasa kati ya anaenyoa upara na anaezaa nje ya ndoa mbowe nani muhuni.
Mkuu unataka tuzungumzie kuzaa nje ya ndoa?Kwa uchache hawa ndio watoto wa JK, umri wao na mama zao walipo

1. Mustafa Jakaya 33-Kigoma
2. Mwanaharusi Jakaya-36-Kigoma
3. Isihaka Jakaya-34-Rukwa
4. Halfani Jakaya-31-Bagamoyo
5. Faudhia Jakaya-33-Dodoma
6. Siwema Jakaya-31-Mtwara
7. Faudh Jakaya -3-Iringa kwa Assas
8. Maulid Jakaya-18-Tabora
9. Salama Jakaya-33-Mama alifariki
10. Ridhiwani 36-Mama hajulikani
11. Miraji Kikwete 33- Mama hajulikani
12. Mwanaasha Jakaya- 18- Chalinzr
14. Pili-6-Ikulu
15. Havintishi-5-Ikulu
16. Mwalusembe-4-Ikulu
17. Hafidh 16-Ikulu
 
kwamba January na Dr.Slaa ktk mdahalo wa urais,teh,teh hii itakuwa kejeli.amepiga bomu mtoto tu jana,asubui watu wanamzushia kifo

Ndugu kuwa muelewa uyo slaa unaemsema hapa alikuwa anategemea hoja anazoandikiwa na dr kitila mkumbo yeye slaa anajua kukoroma tu januari anauwezo wa kuandika speech yeye mwenyewe na zikasilizwa na kueleweka katika mikutano ya kimataifa, sio mzee wako slaa anapiga makelele tu kwa hoja za kuandikiwa na kitila na ndo maana baada ya kumfukuza kitila slaa anarudi maneno yaleyale ya 2010 kila kukicha. Na watanzania wameshajua chadema ilikuwa inasafiria nyota ya zitto kabwe na kitila mkumbo.

Makamba anauwezo binafsi wa kuorganize na kuanalyze hoja zake.
 
hivi huyu kakijana sio fisadi kweli....? maana tunataka raisi fisadi maana atakuwa amejitosheleza hawezi kuiba tena....

Mkuu huyu amefanya biashara ikulu,alikuwa anatoza watu dola 500-1000 kuonana na JK ikulu.Akiwa mgombea ubunge alifadhili na shemeji zake wazungu wa GGM
 
...askofu alimaanisha nchi haiwezi
kuongozwa na muhuni...

Uhuni wa makamba jr upo wapi sasa? Kama makamba muhuni na mbowe atakuwa nani au sugu ni nani au lema, msigwa na lissu si ndo yatakuwa machizi kabisa
 
Ndugu kuwa muelewa uyo slaa unaemsema hapa alikuwa anategemea hoja anazoandikiwa na dr kitila mkumbo yeye slaa anajua kukoroma tu januari anauwezo wa kuandika speech yeye mwenyewe na zikasilizwa na kueleweka katika mikutano ya kimataifa, sio mzee wako slaa anapiga makelele tu kwa hoja za kuandikiwa na kitila na ndo maana baada ya kumfukuza kitila slaa anarudi maneno yaleyale ya 2010 kila kukicha. Na watanzania wameshajua chadema ilikuwa inasafiria nyota ya zitto kabwe na kitila mkumbo.

Makamba anauwezo binafsi wa kuorganize na kuanalyze hoja zake.
Kaka utahamisha magoli mara ngapi?unataka tujadili nini
 
Not unified nation/peoples,michango yenu inaonyesha kuwa wote waislam wanamshambulia askofu na wote wakristo wana muunga mkono askofu nahii ndio trend ya mwaka 2015.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom