Yuko wapi yule "Mwanaharakati Huru", Cyprian Musiba?

Ntovye

Senior Member
Apr 18, 2021
124
199
Habari Wana jamvi.

Ni muda sasa umepita, sijamsikia jamaa huyu anayejiita mwanaharakati, ndugu Cyprian Musiba. Mara ya mwisho nilimsikia kama sikosei miezi minne iliyopita.

Yawezekana, wasiojulikana wametokomea naye au harakati zake zilikuwa za mtu mmoja na sio masuala yanayogusa jamii.

Yuko wapi mbona, kimya kimezidi?
 
Jina jingine anajiita Mtoto wa Mkulima amekoma kabisa kutukana viongozi wastaafu kwenye vipeperushi vyake, ulinzi wake umeondoka bado haamini, tender za kutangaza matangazo ya serikali haipo tena, nadhani na ule ulinzi alowekewa na Mungu wake Jiwe umeondolewa
 
Jina jingine anajiita Mtoto wa Mkulima amekoma kabisa kutukana viongozi wastaafu kwenye vipeperushi vyake, ulinzi wake umeondoka bado haamini, tender za kutangaza matangazo ya serikali haipo tena, nadhani na ule ulinzi alowekewa na Mungu wake Jiwe umeondolewa
😂😂😂😂😂
 
Jina jingine anajiita Mtoto wa Mkulima amekoma kabisa kutukana viongozi wastaafu kwenye vipeperushi vyake, ulinzi wake umeondoka bado haamini, tender za kutangaza matangazo ya serikali haipo tena, nadhani na ule ulinzi alowekewa na Mungu wake Jiwe umeondolewa
Duuh, kumbe jamaa nafsi inahangaika! Kwanini alichagua kuwa chawa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom