Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,485
- 6,200
yule umbwa tangu afiwe na lile jamaa kule kitovuni sasahivi amekuwa wakike kabisaaaaaaa, neeanaaneeneeeerrrr zake
Na kwa kasi hii ya kukosa aibu sio yeye tuu hata Bashite pia.Usiwaamni CCM, kama wamempa Kingai u-DCI usishangae kusikia Siku Moja kateuliwa kuwa mbunge viti maalum
NILIMUONA ANALILIA NYUMBA YAKE SIJUI AMEPATWA NA MASWAHIBA GANI.
hahahahaaaaa, duuuh!!! haya maisha kweli ni karata. Kutoka kwenye LIVE TV, KUITISHA PRESS CONFERENCE SERENA, mpaka FACEBOOK!!???!!, loooh!!!, sasahuko anaongea na nani kuhusu harakati zake?!? bora hata angekuja humu na atumie jina lake halisi, tujadiliYupo huko facebook anajiita Veronika France