Watu tulishamshtukia kitambo akaanza kututukanaHuyu jamaa nilikuwa namuona mstaarabu sana, kumbe mswahili kupitiliza.
Hakuna mstaarabu hapo,huyo jamaa ukitaka kumjua jaribu kumpiga swali kwenye mada zake au kumpinga,ataanza kukutumia vipicha vya mipasho badala ya kujibu hoja,hua hana akili ya kujibu hoja wala swali,Huyu jamaa nilikuwa namuona mstaarabu sana, kumbe mswahili kupitiliza.
Naomba tujadili kwa weledi ili tuweze kuelimika
Ila ww mzee ni ndezi sijapata kuona, Hii mada tayari unamjadili mtu afu ww ulivyo punguani hutaki tukujadili.Walisema akili ndogo hujadili watu!
Tuko JF tukijulikana kama GREAT THINKERS hivyo tutumie medulla zetu vizuri kusoma vitu na kuvielewa
Kama ukisoma kitu hujakielewa na kukimbilia kumshambulia mtoa mada ama kumjadili wewe ni mpuuzi fulani
Laana kabisa, huwa namuona kama mtu aliedata hivanawalisha kuku mbwa wakat huku kwetu kuku kula xmas labda mkuu
DuhIla ww mzee ni ndezi sijapata kuona, Hii mada tayari unamjadili mtu afu ww ulivyo punguani hutaki tukujadili.
Kwan ww n nani, c mpuuzi mmoja tuu.
Kajamaa kanaona aibu kwa huu upupu wa huu uzi wake,ndio maana unaona kanavyohangaika kujisafisha,it's too late,Ila ww mzee ni ndezi sijapata kuona, Hii mada tayari unamjadili mtu afu ww ulivyo punguani hutaki tukujadili.
Kwan ww n nani, c mpuuzi mmoja tuu.
Wewe king'asti hapa leo huchomokiTuko JF tukijulikana kama GREAT THINKERS hivyo tutumie medulla zetu vizuri kusoma vitu na kuvielewa
Kama ukisoma kitu hujakielewa na kukimbilia kumshambulia mtoa mada ama kumjadili wewe ni mpuuzi fulani tu na GREAT SINKER!
Wewe ni mtu mjinga sana hapa Jf,ni mtu flani ambaye unajifanya unajua kila kitu kumbe hamna chochote!Naomba tujadili kwa weledi ili tuweze kuelimika
1.Je unajua kwanini zilibwebwa kwenye breakdown all the way to Kenya? Kumbuka gari ya breakdown ni sawa na ambulance gari la kubebea wagonjwa.. Breakdown ni ambulance ya Magari mabovu( yanayoumwa)
Japo hawezi kukubali huu ukweli hayo yamepekwa hospital Nairobi kwakuwa wenzetu wanetuacha mbali kidogo
2. Unajua ni kwanini zimepigwa picha juu ya ambulance zikiwa zimewashwa double hazard? Hi yo ni kwa ajili ya kuonesha kwamba zinawaka.. Lakini kiuhalisia zinaumwq hazitembei mwendo mrefu
3. Hizo gari kuzitembeza Tz mpaka Kenya kwenye breakdown tena ya wazi zimeongezewa tatizo maanq zimekula vumbi la kutosha na jua na mvua.. Ziko highly sensitive na vumbi kwenye sensor zake
4. Unajua kwanini hajapendq kukodi madereva waziendeshe?
Tuchukulie hazina shida. Lakini zisingefika Kenya zikiwa hai kutokana na miundombinu na mafuta yetu
Kingine no kuogopa kilometers.. Hata kama mafuta yangekuwa sawa lakini zingekula kilometers za kutosha na service yake asingemudu asilani ama hakuna wataalam wa service zake
5. Vipi kuhusu gharama? Kawalisha watu matango pori kwamba katumia zaidi ya usd 20,000 kuzipeleka huko Kenya! Huu ni uongo uliopitiliza
Ukweli ni kwamba alikosa pesa za kukodi container moja ya forty feet ama 2 za twenty feet akazipakia humo ambapo zingekuwa salama zaidi na zingefika kama zilivyo bila kuchafuka na vumbi la njia nzima ama la angezikodia ndege ya mizigo
Container moja forty feet Dar to Nairobi haizidi usd 4000.. Kale ka breakdown kakubebea nagari magonjwa hakazidi usd 2000
6. Mzee Ruge na Davis Mosha waliwahi kuagiza Rolls roys ambazo zilikuja na cargo plane .. Raha yake ni kwamba zinapofika hupigwa picha na kuchukuliwa video zikifunguliwa na kuendeshwa kutoka kwenye ndege.. Hata wanaolipia Container maalum kwa gari zao watu huziona zikitolewa kisha kuendeshwa mpaka kwenye parking huku zikiwa zimewashwa taa zote ama double hazard
Hizi zinazigojeka tumeziona zikiwa juu ya ambulance halafu tukapakiwa kejeli matusi na kashfa za kutosha
Hatutaziona zikishushwa kwakuwa si vizuri kumpiga picha mgonjaa anayepelekwa wodini toka kwenye ambulance
7. Hizo gari zina engine kubwa sana nadhani ni V8 na V12 na ni petrol.. Na ni gari za kuchomoka hazitaki slow speed. Hizo hazinywi mafuta bali zinabwia. Kwa barabara zetu hizi za vibao vya 50 na 120 sijui zingekula full tank ngapi
Kiuhalisia hizo gari ni mzigo usiobebeka na bei anazotaja si halisi maana kanunua mitumba.
Zina spare zake maalum
Zina mafuta yake maalum
Zina lubricants zake maalum
Na zinachagua sana njia
Kama Range rover ya 2015 service ya kawaida inaenda mpaka usd 3000 hayo madude je?
Kuna sababu nyingi za kumfanya mtu asafiri nje ya nchi na mojawapo ni ugonjwa na maradhi.. Usiondoke na ambulance halafu useme unaenda vacation!
LA mwisho mshaurini mwana.. Pesa hazitaki kelele wala kubwatukabatuka.. Ndio maana wenye hela zao huwa na timu professionals za
Wasemaji
Mavazi
Vyakula
Afya
Ulinzi nknk
Duhh🥵Naomba tujadili kwa weledi ili tuweze kuelimika
1.Je unajua kwanini zilibwebwa kwenye breakdown all the way to Kenya? Kumbuka gari ya breakdown ni sawa na ambulance gari la kubebea wagonjwa.. Breakdown ni ambulance ya Magari mabovu( yanayoumwa)
Japo hawezi kukubali huu ukweli hayo yamepekwa hospital Nairobi kwakuwa wenzetu wanetuacha mbali kidogo
2. Unajua ni kwanini zimepigwa picha juu ya ambulance zikiwa zimewashwa double hazard? Hi yo ni kwa ajili ya kuonesha kwamba zinawaka.. Lakini kiuhalisia zinaumwq hazitembei mwendo mrefu
3. Hizo gari kuzitembeza Tz mpaka Kenya kwenye breakdown tena ya wazi zimeongezewa tatizo maanq zimekula vumbi la kutosha na jua na mvua.. Ziko highly sensitive na vumbi kwenye sensor zake
4. Unajua kwanini hajapendq kukodi madereva waziendeshe?
Tuchukulie hazina shida. Lakini zisingefika Kenya zikiwa hai kutokana na miundombinu na mafuta yetu
Kingine no kuogopa kilometers.. Hata kama mafuta yangekuwa sawa lakini zingekula kilometers za kutosha na service yake asingemudu asilani ama hakuna wataalam wa service zake
5. Vipi kuhusu gharama? Kawalisha watu matango pori kwamba katumia zaidi ya usd 20,000 kuzipeleka huko Kenya! Huu ni uongo uliopitiliza
Ukweli ni kwamba alikosa pesa za kukodi container moja ya forty feet ama 2 za twenty feet akazipakia humo ambapo zingekuwa salama zaidi na zingefika kama zilivyo bila kuchafuka na vumbi la njia nzima ama la angezikodia ndege ya mizigo
Container moja forty feet Dar to Nairobi haizidi usd 4000.. Kale ka breakdown kakubebea nagari magonjwa hakazidi usd 2000
6. Mzee Ruge na Davis Mosha waliwahi kuagiza Rolls roys ambazo zilikuja na cargo plane .. Raha yake ni kwamba zinapofika hupigwa picha na kuchukuliwa video zikifunguliwa na kuendeshwa kutoka kwenye ndege.. Hata wanaolipia Container maalum kwa gari zao watu huziona zikitolewa kisha kuendeshwa mpaka kwenye parking huku zikiwa zimewashwa taa zote ama double hazard
Hizi zinazigojeka tumeziona zikiwa juu ya ambulance halafu tukapakiwa kejeli matusi na kashfa za kutosha
Hatutaziona zikishushwa kwakuwa si vizuri kumpiga picha mgonjaa anayepelekwa wodini toka kwenye ambulance
7. Hizo gari zina engine kubwa sana nadhani ni V8 na V12 na ni petrol.. Na ni gari za kuchomoka hazitaki slow speed. Hizo hazinywi mafuta bali zinabwia. Kwa barabara zetu hizi za vibao vya 50 na 120 sijui zingekula full tank ngapi
Kiuhalisia hizo gari ni mzigo usiobebeka na bei anazotaja si halisi maana kanunua mitumba.
Zina spare zake maalum
Zina mafuta yake maalum
Zina lubricants zake maalum
Na zinachagua sana njia
Kama Range rover ya 2015 service ya kawaida inaenda mpaka usd 3000 hayo madude je?
Kuna sababu nyingi za kumfanya mtu asafiri nje ya nchi na mojawapo ni ugonjwa na maradhi.. Usiondoke na ambulance halafu useme unaenda vacation!
LA mwisho mshaurini mwana.. Pesa hazitaki kelele wala kubwatukabatuka.. Ndio maana wenye hela zao huwa na timu professionals za
Wasemaji
Mavazi
Vyakula
Afya
Ulinzi nknk
Abeeeeeh
Habari yote iko hapa😃Abeeeeeh