Yuko wapi huyu tajiri wa mchongo?

Yuko wapi huyu tajiri wa mchongo?

How so? Huyu anaathiri vp maandamano? Outreach yake ni kubwa kiasi gani? Watanganyika ni wajinga kiasi cha kuwa distracted na utajiri wa mtu tu?
Yaani hao ambao wanajua ni project ya ccm ndio wako busy kumfuatilia na kuleta thread kwa tusiomjua wala kumfuatilia.
 
Yaani hao ambao wanajua ni project ya ccm ndio wako busy kumfuatilia na kuleta thread kwa tusiomjua wala kumfuatilia.
Halafu sasa na waliokuwa hawamjui nao wamemjua na kuendelea kuufuatilia uzi😀😀😀
 
Huyu mnyakyusa mwezangu nilikuwa namshangaa kwa mbwembe,, hatuna mbwembe kama hizo tutaonana kukaja kwa Kyela
 
Aliwaingiza vijana wengi kwenye mkenge wa mafanikio kupitia matarajio hewa
Alitukana kukejeli na kudhihaki watu wasiofanikiwa na wanaojitafuta
Huyu tuliwahi kusema ni mojawapo ya zile project kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Uchaguzi wa kiini macho ulipopita naona umepita naye! Zile fujo zake mitandaoni zitakuwa zilipendwa na hamtamuona tena!
Na si ajabu akakumbwa na madeni yasiyolipika

Just like many! Used and dumped!
Chief God love!
Mtu yeyote anaeteswk na watu wanamna hiyo anashida ya akili
 
Back
Top Bottom