Yuko wapi huyu tajiri wa mchongo?

Yuko wapi huyu tajiri wa mchongo?

Chef godlove naskia alikua anarusha miziki kwa simu
1768141148135.jpg
 
Kwahiyo kuna matajiri wanawapa watu magari yao, nyumba na fedha ili wajionyeshe tu? Hao matajiri wanapata nini in return?
Project za chama chawala kuwaweka watu busy wasifuatilie mambo ya msingi

 
Aliwaingiza vijana wengi kwenye mkenge wa mafanikio kupitia matarajio hewa
Alitukana kukejeli na kudhihaki watu wasiofanikiwa na wanaojitafuta
Huyu tuliwahi kusema ni mojawapo ya zile project kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Uchaguzi wa kiini macho ulipopita naona umepita naye! Zile fujo zake mitandaoni zitakuwa zilipendwa na hamtamuona tena!
Na si ajabu akakumbwa na madeni yasiyolipika

Just like many! Used and dumped!
Chief God love!
Cc Mbaga Jr
 
Back
Top Bottom