cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,662
- 78,136
Nimeona clip kapigwa simu anaambiwa watu wanasema magari sio yake Or So...
Kwani kawaje ni kiongozi siku hizi au?
Hata mimi linanishangaza kidogo hili. Yaani mtu anayejitangaza social media kwamba tajiri huwa nampuuza tuBongo bado tuna shida Yan mtu unatenga muda kwa ajiri ya kuhangaika na content creator?
Yule bwana ndio unaita tajiri kwani kwenu mnalala kwenye ngozi za ng'ombe?Hakuna kitu kinampa furaha maskini kama kusikia tajiri kapata matatizo
mkuu huu uzi umeleta kujipa faraja kwa matatizo ya wenzako? ni kama vile huna habari ila furaha ya mwenzio kusadidika kufulia.Life paramiters
Aisee jamaa anajua sana kujitrendisha
Siwezi kamwe kufurahia maanguko ya wengine labda tu wawe na vinasaba na ccm. Hata hivyo kwa uelewa wangu mdogo pesa haitaki kelelemkuu huu uzi umeleta kujipa faraja kwa matatizo ya wenzako? ni kama vile huna habari ila furaha ya mwenzio kusadidika kufulia.
Matajiri wa Tanzania wanajulikana Forbes ni Mo Dewji na Bakhresa wengine ni matajiri wa shillings nyokooooooooo.
Happy new year rafiki.. You are missed💗
Umeshaambiwa ni project ya MO 29Kwahiyo kuna matajiri wanawapa watu magari yao, nyumba na fedha ili wajionyeshe tu? Hao matajiri wanapata nini in return?
It was very open..... Alikuja kimkakkati.... Ni watu nili waambiaAliwaingiza vijana wengi kwenye mkenge wa mafanikio kupitia matarajio hewa
Alitukana kukejeli na kudhihaki watu wasiofanikiwa na wanaojitafuta
Huyu tuliwahi kusema ni mojawapo ya zile project kuelekea uchaguzi mkuu 2025
Uchaguzi wa kiini macho ulipopita naona umepita naye! Zile fujo zake mitandaoni zitakuwa zilipendwa na hamtamuona tena!
Na si ajabu akakumbwa na madeni yasiyolipika
Just like many! Used and dumped!
Chief God love!
Wamatumbi katika moja na mbili za kufurahia kuwa mtu kafulia , na akuendelea kujifariji .