YESU amenipa kazi UN

YESU amenipa kazi UN

Nani kakuita hapa wewe Mfilisti kizazi cha Eshmael....Naona imekuuma sana...Vipi na wewe uliomba kwa jina la Allah ukakosa nn...?

Tumsifu Yesu Kristu....

aminaaaaaaa na Yesu akutangulie na kukutia nguvu zaidi, ambao mnajifanya hamjaelewa mtajibeba cz mungu aishie na kutawala atawapigania wanaomwamin. Na nyie kaombeni kwa mungu wenu mbona mnawashwa na pilipili msioila?????
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu

itahwa
infact umenitoa machozi sana na kunifanya nizid kumuinua MUNGU WANGU hata mama Didy nae ameitwa kuanza kazi UN by theway atakuwa sehemu nje ya dar kwa Muda kwa ajili YA TRAINING THEN WANARUDI KUCHAPA KAZI UBARIKIWE UENDAKO MUNGU AKABARIKI KAZI YA MIKONO YAKOA AKALAANI WALE WAKULAANIAO
 
Ulijuaje wewe peke yako ndo huna utitiri wa experience? au tuseme ulijuaje wengine wana utitiri wa experience? Ukipata kazi usijikweze kwa kujificha nyuma ya jina la Yesu, hukutakiwa kuwabeza wenzako, mtu asie jua maandiko anaweza kuona kama unantukuza Yesu lakini sivyo. unajikweza. hata yesu laifanya interview sio kwamba wale waliochaguliwa walijisifu juu ya wale wengine. kwani maandiko yanasema yesu alichagua mitume kumi na wawili miongoni mwa wanafunzi wake. Sasa sidhani kama kuna sehemu hawa wanafunzi walijisifu. pia jitahidi kuwa spiritual sio kila kazi anatoa Yesu hata shetani anaweza kukupa kazi kwa sababu zake mwenyewe usipokua na macho ya roho. kuna watu huwa hata hawasomi wanabaki kushuhudia tu kwa kusema Yesu atanifanyia mtihani matokeo yake huwa ni kufeli. Pia Interview ina vigezo vingi inategemea wanataka mtu wa aina ipi. kazi zingine wanataka fresh Graduate hasa UN.

asante ustaadh kwa ushauri wako.ngoja na mimi nikushauri kidoogo,
kwanza lengo la ndugu yetu sio kujifagilia,kijisifu au kujikweza kwani hajataja sifa yake hata moja bali alikuwa na lengo la kumsifu huyo aliyekuwa anamwomba muda wote wa interview.
Kuhusu kujua experiences za hao wenzake,kwenye interview sio kwamba huruhusiwi kuongea na wenzako,inawezekana kabla na baada ya interview walipata chance ya kupiga story mbili tatu na kufahamiana kidogo.
Pia ujue kujisifia kuhusu Yesu ni wajibu wa kila mkristu kama tulivyoagizwa tulitangaze jina lake na injili yake kwa mataifa na watu wote.
Umejiunga JF tar 9 Marchi(juzi) mwombe YESU akusaidie kushirikiana na wanajamii wenzako vizuri,kusoma posts za watu kwa makini,kuelewa na KUCHANGIA KWA UPEO.

sorry nilikuita ustaadh bahati mbaya,wewe utakuwa huna dini. KARIBU KWA MKOMBOZI WETU
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu

Asifiwe sana! Endelea kushika neno na ufanye kazi kwa bidii, huo ni mwanzo tarajia zaidi na zaidi huku ukiendelea kusali na kuchapa kazi! Ubunifu, kujiamini na kutambua jinsi ya kufanya kazi katika jamii yenye watu wa tamaduni tofauti! Ll the best!
 
AMINA.Kumbuka kila goti litapigwa..... na kila alitajaye jina la YESU na auche uovu.ubarikiwe kwa jina la aliye hai.
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
Huko Juba nadhani siku zako za Yesu kuja kukuchukua zitakuwa zimekaribia...
Juba hawahitaji wafanyakzi wa UN uage kwenu kwaheri ya kuonana.
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu

Ainuliwe yy aliye juu!
Kiukweli hadi machozi yamenitoka na umenipa moyo kuendelea kumtegemea yy,naamini nitapata kazi pia kwa jina lake siachi kumuomba
 
Yeye ni Yehova Yire, Shalom, Ebenezer, Emmanuels!! Anaweza, jina lake kuu lipitalo majina yote lihimidiwe. Amen. Usisahau kutoa sadaka ya shukrani na kukumbuka kuwasaidia Wajane na Yatima kwani ndiyo sadaka iliyo njema.
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu

Mungu ni mwema, nakutakia kila la kheri.
 
Yehova yu hai
Mataifa yote tumsifu yeye
Yehova yu hai
Yehova anatenda
Tumtukuze kwa utukufu wake

hongera sana hata mimi nina imani kwamba siku moja nitakuja fanya kazi BOT sijui lini lakini nina imani kubwa kwa MUNGU
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu

well say thanx to GOD
Mungu ni mkubwa kama umepata basi hongera bado sisi tunasubiri siku Mungu atupatie job kweli Mungu ni MUNGU.
 
Mungu ndie kimbilio wa wanadamu wote,hongera sana na sasa usimsahau baada ya kupata neema ambayo hukuitarajia. Praise the GOD.
 
unajua, kuku na bata wote ni ndege,. kuku anataga na bata anataga vilevile,. kuku akitaga hupiga kelele sana kokokokoko kuashiria kwamba yai tayari jamani mkachukue,. bata yeye akitaga kimyakimya maana anaogopa bata dume asimuumize tena.. utakachojua kuwa kataga ni kuona yai,. kwani kuku asipopiga kelele hatutaona yai?
hongera sana kwa kupata kazi, ni wengi sana wanatafuta kazi, kwako wewe ni neema tu, si kwamba hao waliokosa hawana YESU hapana wakat wao bado haujafika, hakuna sababu ya wewe kuwa kuku, ningependa uwe bata ili basi matendo yako yaonekane kwa watu ili wakusifie na si wewe kujisifia hapo utauonja utamu wa YESU na utajua jinsi alivyo, kisha atakubeba uwe wake milele.. all the best
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom