YESU amenipa kazi UN

YESU amenipa kazi UN

Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu

Ukianza kupata mshahara mnono, usimwache. Pia kumbuka kumshukuru kwa matendo.
 
Sifa na Utukufu apewe Mungu baba aliye asili ya vitu vyote
 
there is something about the name Jesus......it is sweetest name of all
 
asante ustaadh kwa ushauri wako.ngoja na mimi nikushauri kidoogo,
kwanza lengo la ndugu yetu sio kujifagilia,kijisifu au kujikweza kwani hajataja sifa yake hata moja bali alikuwa na lengo la kumsifu huyo aliyekuwa anamwomba muda wote wa interview.
Kuhusu kujua experiences za hao wenzake,kwenye interview sio kwamba huruhusiwi kuongea na wenzako,inawezekana kabla na baada ya interview walipata chance ya kupiga story mbili tatu na kufahamiana kidogo.
Pia ujue kujisifia kuhusu Yesu ni wajibu wa kila mkristu kama tulivyoagizwa tulitangaze jina lake na injili yake kwa mataifa na watu wote.
Umejiunga JF tar 9 Marchi(juzi) mwombe YESU akusaidie kushirikiana na wanajamii wenzako vizuri,kusoma posts za watu kwa makini,kuelewa na KUCHANGIA KWA UPEO.

sorry nilikuita ustaadh bahati mbaya,wewe utakuwa huna dini. KARIBU KWA MKOMBOZI WETU

mkuu nimecheka sana hapo uliposema kuwa mimi sina dini. ok thanks for the advice lakini ndio uhuru wa kuongea huo. lakini kumbuka several times Yesu aliwazuia wanafunzi wake wasitaje yale aliyotenda ama kwao moja kwa moja au kwa watu walioleta matatizo yao mbali mbali, logic behind ilikua nini?,

kuna mengi sana lakini unatakiwa kujifunza jinsi ya kuchukua utukufu wa Mungu kwa namna nyingi si rahisi tu kusema Yesu amenipa kazi ukaishia hapo. kwani main objective ya Yesu kuja duniani ilikua kuja kutoa Earthly things? kwani mwanzo wa kufanya kazi ulikua ni nini? je wote walio huko walimuomba Yesu? au wali-compete wao kwa wao pasipo followers wa Yesu?
Please try to go to the next level spiritually for both of us to be on the same page?
 
Hongerasana mtumishi hakika jina la bwana lihimidiwe.
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
ukimwomba Mungu anakupa. Hongera sana. Remember u are blessed to bless others. Never forget where u are coming from
 
mungu baba=mungu mwana(yesu)=roho mtakatifu. Jumla yake ni muumba wa mbingu na nchi. Na ndio atupaye vipaji hivi tukiomba kupitia kwa mwanae yesu christu ambaye ndo njia ya uzima wa milele bila yeye ur fineshed complete.
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
Nami ninakuomba umuombe YESU Unayemuamini anisaidie nifanikiwe ndoto zangu. Kila la Kheri, usimuache YESU.
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu

Hongera sana, kweli Yesu anaweza, jina lake lihimidiwe!
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu

Je upo, unaendeleaje,
Nami nisaidie kijana wangu anatafuta kazi,
ni mwalimu wa hesabu;
Fanya tendo la UNABII na UTUME mwema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom