Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
Sifa na Utukufu apewe Mungu baba aliye asili ya vitu vyote
asante ustaadh kwa ushauri wako.ngoja na mimi nikushauri kidoogo,
kwanza lengo la ndugu yetu sio kujifagilia,kijisifu au kujikweza kwani hajataja sifa yake hata moja bali alikuwa na lengo la kumsifu huyo aliyekuwa anamwomba muda wote wa interview.
Kuhusu kujua experiences za hao wenzake,kwenye interview sio kwamba huruhusiwi kuongea na wenzako,inawezekana kabla na baada ya interview walipata chance ya kupiga story mbili tatu na kufahamiana kidogo.
Pia ujue kujisifia kuhusu Yesu ni wajibu wa kila mkristu kama tulivyoagizwa tulitangaze jina lake na injili yake kwa mataifa na watu wote.
Umejiunga JF tar 9 Marchi(juzi) mwombe YESU akusaidie kushirikiana na wanajamii wenzako vizuri,kusoma posts za watu kwa makini,kuelewa na KUCHANGIA KWA UPEO.
sorry nilikuita ustaadh bahati mbaya,wewe utakuwa huna dini. KARIBU KWA MKOMBOZI WETU
ukimwomba Mungu anakupa. Hongera sana. Remember u are blessed to bless others. Never forget where u are coming fromNinasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
Nami ninakuomba umuombe YESU Unayemuamini anisaidie nifanikiwe ndoto zangu. Kila la Kheri, usimuache YESU.Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
Fungu la kumi Ni mafundisho ya agano la kale!kumbuka kutoa fungu la kumi la kipato chako, pia sadaka.