Arrahmaan, hiyo ndiyo sifa ya mungu ya kuwapa hata wanaomkufuru kwa kusujudia binadamu wenzao(yesu), ila ipo siku utajuta na kuuma meno.
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
we Bujibuji Yesu anagawa kazi hukuNinasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
we Bujibuji Yesu anagawa kazi hukuNinasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
kumbuka lakini mpaka yesu akuonehongera sana, kumbe naweza kuapply hata kama sina experience kubwa.... Let's me try!
Mungu yupi huyo unayemsema uliyeanza kumuandika jina na herufi ndogo kwa sababu nasikia kuna miungu wengi ambao kila dhehebu lina taratibu zake za kumwabudu.yupo mungu anaye jibu na kama uwamini jaribu.
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
Nakupongeza itahwa kwa kutambua uwezo wa JINA LA YESU kuwa unapita majina yote. Tambua kazi yako mpya umepewa na Mungu aliye Mkuu ambaye hafungamani na aina zote za Ufisadi/Rushwa,wizi,n.k. Endelea kumwomba yeye akuepushe na hayo yote. Kumbuka pia kuendelea kuomba kwa ajili ya watanzania wenzako ili kupata kazi zilizotukuka,na kuendelea kufanikiwa Personally and professionally,Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
Arrahmaan, hiyo ndiyo sifa ya mungu ya kuwapa hata wanaomkufuru kwa kusujudia binadamu wenzao(yesu), ila ipo siku utajuta na kuuma meno.
Na siku Mkataba ukiisha pia usisahau kumshukuru Yesu kwa kuwaona wengine pia! Ubarikiwe!
hongera mkuu,
ndo shangaa na wewe...imani zingine bana..usikute hata kahonga then anakuja na habari fake eti kapewa kazi na yesu,wapi ?Dah,
Hizi imani hizi!!!
Tuseme hao uliowashinda kama na wao wangekua na Yesu logically hiyo kazi mngegawana????!!!!