YESU amenipa kazi UN

YESU amenipa kazi UN

Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
Mungu yeye hakuhusika kabisa? Au inakuwaje hapo, ila samahani kiongozi naulizatu.
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
hivi ushapata mwanaume hawakutendi tendi tena?
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
Amina!...mama mtumishi
 
Fungu la kumi Ni mafundisho ya agano la kale!
Unajiongopea, fungu la kumi ndio dhaka ambayo lazima umtolee Mungu, pamoja na shukrani. Hizo zinazobaki ni mbwembwe tu, za kukifanya uzidi kuwa karibu na Mungu. Ila nakushauri na zenyewe uzifanye.
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
hongera sana kwa Yesu hakuna lisilowezekana kuwa mwaminifu usiwe mla rushwa.
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu

Maombi ni muhimu sana. Na kuwa na Imani thabiti.

Hongera ni mfano mzuri wa kuigwa na wengine. kwa Kumtegemea Mungu na sasa Umemuinua juu kabisa Mungu wetu wa Yesu Kristo Mwana wake wa Pekee.
 
Ishu sio fungu la kumi tu, Yesu hayupo kwa ajili ya pesa za fungu lako la kumi, mtolee maisha yako sasa, ni vyema sana umeamini ni yeye ndio amekupa kazi na si nguvu zako binafsi, mtumikie sasa!

Kuna namna nyigi sana za kutoa fungu la kumi, sio lazima uchukue kalkuleta ukokotoe asilimia kumi ya mshahara wako mpya wa UN!
mpaka anamuomba ulifikiri hajampa maisha?
 
Yesu kakupa kazi?!!!
Haya bwana. Kwangu mimi naamini Mungu ni kila kitu. Siyo Yesu, siyo Muhammada, siyo Mussa,siyo Ibrahim
 
Hongera ila punguza makelele na kujisifu kuwa umewapita wengine wenye vyeti vingi na wao pia wapo wanaomtumainia na kumwomba huyohuyo Yesu! Angalia bado kuna probation period... Endelea kumwomba bwana Yesu ufanye vyema period hiyo muhimu then unaweza jihakikishia walau kwamba utapata mkataba wa muda mrefu. Mshukuru Mungu wako kwa sala na matoleo kimya kimya maana huyohuyo Yesu anaonya kuhusu kujisifu na kupayuka ni hilo tu
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu
hongera na barikiwa kushudia...endelea hivo hivo hata utakapoanza kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom