YESU amenipa kazi UN

YESU amenipa kazi UN

Tuwe na tabia ya kumshukuru Mungu si Yesu wala Mohammad sababu Mungu ndo mwanzo na mwisho na hao wengine ni Wajumbe wake.
 
Nani kakuita hapa wewe Mfilisti kizazi cha Eshmael....Naona imekuuma sana...Vipi na wewe uliomba kwa jina la Allah ukakosa nn...?

Tumsifu Yesu Kristu....

kwani wewe ukikosa utaona mungu wako hakupendi au kakuonewa?
 
lihimidiwe jina lake.
Ni somo kwetu ambao tunamahitaji mbali mbali kumshirikisha Yesu. He will make a way
 
Tuwe na tabia ya kumshukuru Mungu si Yesu wala Mohammad sababu Mungu ndo mwanzo na mwisho na hao wengine ni Wajumbe wake.

katika uislamu ni haram kumshukuru mtume mohammad s.a.w sasa hao wasomewa biblia ndio wamemfanya yesu mungu wao.
 
Hongera, endelea na imani mkuu ni jambo jema kurudisha shukrani na kutoa ushuhuda kama ulivyofanya wewe
 
Mungu ni mwaminifu siku zote.endelea kuliitia jina lake maisha yako yote.
 
Tukiomba chochote sawasawa na mapenzi yake atusikia!

Hongera Mkuu, glory is to God.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
YESU, Ametenda! Huyo Ndiye Yehova Hajawahi shindwa! Ubarikiwe sana na hongera sana. Uhimidiwe Yehova!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
SIKILIZA WIMBO UNAITWA "SHOW ME YOUR GLORY" BY JESUS CULTURE.,,,,,,,,,Glory be to God,coz he knows your name.
 
Bwana Yesu anaweza!. Muda si mrefu nami nitashuhudia humu namna anavyokwanda kunifanyia ajabu! Mungu wetu Jehova ni Mkuu sana. Hakuna kama yeye!
 
Wakuu,habari hii inanikumbusha pambano la ndondi la ubingwa wa juu wa dunia;alipopigwa Mike Tyson na Evander Holyfield.Je,unakumbuka tambo zao wote wawili ? ;na viapo vyao kila mmoja kupitia MUNGU aliyemwamini atampa kumshinda mwenzake kama ilivyokuwa mtu wa vita Goliati na kijana Daudi katika Biblia ?
 
Ninasema kwa sauti ya juu kuwa YESU amenipa kazi umoja wa mataifa, maana katika ile interview kulikuwa na wasomi waliobobea na experienced sana! mimi peke yangu tuu ndio nilikuwa sina utitiri wa experience! mda wote wa Interview nilikuwa nikimuomba yesu anisaidie nipate kazi, leo nimepata skype call kuwa nimeshinda ile nafasi, my working station will be in Nairobi Kenya then after 3 months nitahamia JUba Sudan. Asante sana Yesu


Utamrudishia nini Bwana kwa wema aliokutendea??????God is always great.....anatenda kwa wakati wake!!huu uwe ushuhda mzuri to all graduates out there seeking for employment,I am dedicating the song by Upendo Nkone unaitwa "Subiri" Bwana atakutendea,Mungu wetu hachelewiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,wewe subiriiiiiiiiiii,wewe subiriiiiiiiiii..Im happy for you mdau
 
Yesu aliona juhudi zako na maarifa uliyonayo akaweka tiki. Yesu hagawi kazi kama pipi kwa watoato. Kwanza kazi kisha taji. hongera sana
 
Komaa hivyo hivyo. Watu wakikutizama wamwon Yesu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom