Kweli aisee. Mimi huwa nakumbuka hata matukio ambayao niliwahi kufanya udogoni mwangu.Hakuna kitu kinaniumiza kama kumuonea mtu! Ni dhahiri hata nikigundua ninemuonea hata mke wangu, huwa najuta sana.
Tuendelee kumwombea Jaji awe fair, kuwaombea akina Adamoo, Ling'wenya na Bwire pamoja Mbowe kwa Mungu ili kuwanusuru na dhuluma.
Wote tuseme kwa Ujasiri Waebrania 13:6
" Bwana ndiye Msaidizi wangu, sitasita, wanadamu (Bibi Michele, Siro, Kingai, Boaz & co) wanaweza kufanya nini kwangu"
Matukio ya kumpiga mdogo wangu kwa sababu tu namweza na hawezi kunirudishia kipigo. Huwa najuta kabisa. Sitaki tena dhambi hii ndio maana bora niwe keyboard warrior lakini ukweli niusemee. Uonevu ni mbaya sana.