Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,055
- 74,462
Umekuja mule mule nilimokwambia!... 1-$tar general.
Umekuja mule mule nilimokwambia!... 1-$tar general.
... wengi walielewa; wachache hawakuelewa. Kwa faida ya ambao hawakuelewa nilimaanisha hivyo since then; simple logic would suffice.Umekuja mule mule nilimokwambia!
Ni mmoja kati ya walioelewa ndipo nikataka uwaweke wazi na waliokuwa hwajaelewa pia, Alright then... wengi walielewa; wachache hawakuelewa. Kwa faida ya ambao hawakuelewa nilimaanisha hivyo since then; simple logic would suffice.
Yeah unatakiwa uwe specific kama hivi, pia inaweza kumchukua hata 15+years kufikia huko, vyeo havipandi hovyo kwa watu kama aina yake... 1-$tar general.
Mm nilimuelewa ila yeye alikuwa hana uelewa kupitia jf sasa amepata elimu kuwa kuna star generals na wenye nyota za kawaida, ie luten usu, luteni na captain.Ni mmoja kati ya walioelewa ndipo nikataka uwaweke wazi na waliokuwa hwajaelewa pia, Alright then
Njia rahisi ya vilaza wa kazini ni kujikomba ili wapate vyeo. Ndio ninachokiona kwa huyo ndugu.
Upo sahihi, liutenant lakini anaongea kwa udhaifu mkubwa kuliko hata hao raia kina Kibatala.
Nyie bado ni ma bush lawyers tu. Siwezi kulumbana kwa hoja na wapuuzi kwa sababu nami nitaonekana mpuuzi.unaita mtu bush lawyer wakati ameongea at least kitu. wewe hujaongea chochote, ni empty headed lakini unaamini una akili. weka hoja hapo tujibizane kwa hoja, sio kuleta porojo hapa.au la nenda vijiweni kabishane na walevi huko.
sasa wewe unajiita lawyer, unapigania watu waendelee kuishi mbugani na wanyama, hawachiimbi vyoo, wanadondosha tu nnya kama ngómbe, kwanini usipambanie jamii yako mjenge vyoo kwanza ndio uje kutukana watu wengine huku? kuna siku mbugani kule wazungu wataharisha balaa kwasababu ya maisha yenu ya kiporipori, mtaleta magonjwa hadi kwa wanyama.waacheni wanyama wakae peke yao ndo waliumbwa hivo, na ninyi mkae na wanadamu wengine mpate civilization.Nyie bado ni ma bush lawyers tu. Siwezi kulumbana kwa hoja na wapuuzi kwa sababu nami nitaonekana mpuuzi.
Bush lawyer umekuja na hoja nyingine ya wanoishi mbugani.Hoja ya kipuuzi kabisa. Wewe ni bush lawyer tu.sasa wewe unajiita lawyer, unapigania watu waendelee kuishi mbugani na wanyama, hawachiimbi vyoo, wanadondosha tu nnya kama ngómbe, kwanini usipambanie jamii yako mjenge vyoo kwanza ndio uje kutukana watu wengine huku? kuna siku mbugani kule wazungu wataharisha balaa kwasababu ya maisha yenu ya kiporipori, mtaleta magonjwa hadi kwa wanyama.waacheni wanyama wakae peke yao ndo waliumbwa hivo, na ninyi mkae na wanadamu wengine mpate civilization.