Common rail direct fuel injection is a direct fuel injection system built around a high-pressure (over 2,000 bar or 200 MPa or 29,000 psi) fuel rail feeding solenoid valves, as opposed to a low-pressure fuel pump feeding unit injectors (or pump nozzles). High-pressure injection delivers power and fuel consumption benefits over earlier lower pressure fuel injection, by injecting fuel as a larger number of smaller droplets, giving a much higher ratio of surface area to volume. This provides improved vaporization from the surface of the fuel droplets, and so more efficient combining of atmospheric oxygen with vaporized fuel delivering more complete combustion.
Common rail injection is widely used in diesel engines. It is also the basis of gasoline direct injection systems used on petrol engines.
Wakuu JF amani iwe nanyi,
Baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kumkuta Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, na kesi ya kujibu kwenye mashtaka ya uhaini, mjadala mkubwa umehamia kwenye orodha ya mashahidi wa utetezi.
Katika uamuzi wake kuhusu maombi ya utetezi, Mahakama Kuu imeridhia waitwe viongozi...
Hata kama hamna Akili ya kutafakari, Embu Jiulizeni tu, kwann Serikali ya Samia, imehakikisha inawachomeka nyinyi kwenye KESI hii kama Mashahidi mloitwa na LISSU ?.
Kwa tafasiri ya Kawaida, Mmeunganishwa Moja kwa Moja na Matukio ya Mauaji ya Oktoba 29 2025.
Mara zote nmewaambia...
Ikumbukwe hao wote ni makada na watu wa kupokea maagizo tuu na maelekezo. Wengi wao wamepachikwa kwa utashi na shukrani kutoka namba moja pale kwenye wingi wa gogo, na watu ambao kumbukumbu zimeshaanza kuwaacha, sasa msije shangaa mtu anatoa siri za aliye mtuma.
Kiuhalisia wote wanaujua uwezo...
Mtambuka tarehe 21 Agosti 2026 Mahakama kuu masijala ndogo ya Dar es Salaam chini ya jopo la majaji watatu linaloongozwa na Jaji Dastani Ndunguru ilimkuta mhe Lissu na kesi ya kujibu kwenye kesi yake ya uhaini inayomkabili.
Soma pia: Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje...
Kurugenzi ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) imefichua mtandao mkubwa wa ulaghai ndani ya mfumo wa Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA), ambapo baadhi ya vituo vya afya vilivyokuwa vimefungwa au kutofanya kazi viliendelea kuwasilisha madai ya malipo kwa huduma ambazo hazikutolewa.
Uchunguzi...
Kurugenzi ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) imewafikisha mahakamani wakurugenzi watano wa vituo viwili vya afya kwa madai ya kuhusika katika mpango wa udanganyifu uliolenga Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA).
Washukiwa hao, ambao ni wakurugenzi wa Nissi Medical Centre na Dawa Front Healthcare...
Serikali kupitia Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) imeanzisha mfumo mpya wa Multi-Biometric Identification System (MBIS) ambao sasa unaruhusu waombaji kupata Cheti cha Police Clearance (Certificate of Good Conduct) ndani ya saa 24, badala ya kusubiri hadi wiki mbili kama ilivyokuwa awali.
Mfumo...
The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has launched investigations into the death of a Grade 9 student at CITAM Schools Ngong after the learner reportedly fell from the rooftop of one of the school's buildings on Monday morning.
According to a statement issued by the school, staff...
Mshukiwa mmoja anayehusishwa na tukio la armed robbery lililonaswa kwenye viral video akivamia restaurant moja eneo la Spring Valley, Westlands, ameuawa katika operesheni ya maafisa wa Directorate of Criminal Investigations (DCI) huko Joska, Machakos County.
Kwa mujibu wa DCI, detectives...
The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has arrested Embakasi East Member of County Assembly (MCA) Patrick Karani alongside two other suspects following the recovery of an illegally held firearm during a police operation in Nairobi.
According to the DCI, detectives raided the MCA's...
The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has linked the brutal killing of Reverend Julius Ndumia Ngari to a notorious armed gang believed to have been behind a series of violent robberies in Nakuru County.
According to investigators, the gang attacked the PCEA Tabuga Church compound in...
Mambo yanazidi kuwa moto mtandaoni baada ya Directorate of Criminal Investigations (DCI) kumkamata mshukiwa anayehusishwa na video iliyosambaa sana kwa madai ya hate speech.
Kwa mujibu wa DCI, mshukiwa huyo alikamatwa baada ya detectives kufanya review ya hiyo video na kubaini kuwa ilikuwa na...
Maafisa wa usalama nchini wameongeza juhudi za kukabiliana na ugaidi baada ya Directorate of Criminal Investigations (DCI) kugundua mtandao unaodaiwa kuhusishwa na kundi la Al-Shabaab katika eneo la Eastleigh, Nairobi.
Kwa mujibu wa wachunguzi, operesheni hiyo ilisababisha kukamatwa kwa...
The disappearance of former Cabinet Secretary Raphael Tuju has sparked national concern after his vehicle was found abandoned under suspicious circumstances in Nairobi’s Karen suburb.
According to the Directorate of Criminal Investigations (DCI), Tuju was officially reported missing by his...
The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has dismissed as fake a letter circulating on social media claiming that Farouk Kibet is a wanted criminal facing arrest. The agency clarified that the alleged arrest notice did not originate from them.
At the same time, the letter above...
A senior officer attached to the Directorate of Criminal Investigations has surrendered in Naivasha following the murder of his wife in Roysambu, Nairobi.
The 43 year old woman was found dead in her apartment along Lumumba Drive with multiple stab wounds. Police from Kasarani Police Station...
Law Society of Kenya na Amnesty International Kenya wametoa taarifa kuhusu kuokolewa kwa mwanaharakati wa Tanzania, Mshabaha Mshabaha Hamza, aliyedaiwa kutekwa nchini Kenya.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Hamza aliokolewa Februari 22, 2026 baada ya polisi kuingilia kati. Watu watatu walikamatwa...
".....Mafwele ndiye mratibu wa hayo yote unayoendelea kuyashuhudia. DCI wa sasa ni kama bosheni na hata mwenyewe haijui hatma yake"
"....Mafwele anapewa u DCI hivi karibuni."
Chanzo
Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu nchini Kenya, Boniface Mwangi ameachiliwa kwa dhamana baada ya kufunguliwa mashtaka ya kumiliki risasi kinyume cha sheria kuhusiana na madai ya kuhusika kwake katika maandamano hatari dhidi ya serikali yaliyofanyika Juni mwaka huu.
Mashitaka hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.