Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,195
- 1,417
Mikutano ya Magufuli saa 12 watu wamejaa uwanjani!! Mikutano ya Tundu Lisu haijawahi kufata muda maana anabembelezea wapita njia!! Wapita njia wakijaa ndio na picha zinapigwa na ndipo mgombea anaingia. Chezea CCM weweeee!! Halafu mseme mmeibiwa kwa kuvizia wapita njia.Wakuu ikiwa hii ni wiki ya lala salama , bado yule mgombea anayependwa nchi nzima na anayekadiriwa kushinda kwa zaidi ya 70% Tundu Lissu anaendelea kuomba kura kwa wananchi wenzake , ambapo leo atafanya mikutano kadhaa kwenye maeneo mbali mbali ya mikoa ya Pwani , Mtwara na Lindi .
Endelea kubaki hapahapa JF kwa Taarifa za uhakika
==========
Queen Esther