Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,627
- 218,056
Wakuu ikiwa hii ni wiki ya lala salama, bado yule mgombea anayependwa nchi nzima na anayekadiriwa kushinda kwa zaidi ya 70% Tundu Lissu anaendelea kuomba kura kwa wananchi wenzake, ambapo leo atafanya mikutano kadhaa kwenye maeneo mbali mbali ya mikoa ya Pwani, Mtwara na Lindi.
Endelea kubaki hapahapa JF kwa Taarifa za uhakika
==========
Somanga :
Mabomu ya Machozi yapigwa , unyama huu umeongozwa na Jeshi la Polisi
Lindi :
Endelea kubaki hapahapa JF kwa Taarifa za uhakika
==========
Somanga :
Mabomu ya Machozi yapigwa , unyama huu umeongozwa na Jeshi la Polisi
Lindi :