Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,926
Umeandika nini hapo ?Lissu ameji overdose sana na hii campaign. Ndio maana nadhani hataki wizi utanyike maana nguvu nyingi kapoteza na inaonekana km mpigania dini flani wale waliotayari kufa kwa haki.
Ndio maana haogopi.
Huyu jamaa kaamua aisee.