Wenzangu hali si hali nimekwama

Wenzangu hali si hali nimekwama

Nimerushiwa kitu kama kuvalishwa kitu mwilini dira zangu zikafutikaga
Kwanini uvalishwe kwanza tuanzie hapo tu.
Maana kuna walioonewa na waliostahili kuvalishwa hayo mambo.
Mimi nilionewa je wewe mwenzangu ikoje?
 
Yaani napitia sana matatizo mengi ikiwemo afya yaani humu kwasababu hata hatujuani . Mtu anafungukaga tu. Ila haya matatizo sijui nayatatuaje nimechoka nimezunguka miji yote sipati tiba .

Yaani hadi nimechokaaa. Nikitu nakifahamu ila kutolewa niwe huru imeshindikana . Humu ukisaiduwa napo ni hela tu watu wanakula humu nimepigwa hela za kutosha.

Ila hali ni ile ile tu. Yaani nimechoka kwakweli sijui nitaenda wapi kutolewa hii hali . Maana nihali ambayo sio yakihospitali wala kimapenzi nikiasili zaidi.
Kama una nauli ya Tabora njoo uchukue namba free of charge. Utanishukuru badae.
 
Nimeona apa Kuna mwamba amenitag kwenye huu Uzi.
Pole sana ili nalo litapita mkuu🙏🏽
 
Back
Top Bottom