SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 5,181
- 9,796
Hapana nipo seriousAu unatania tu maana mpaka muda huu shida hatujui ni nini.
Asante ila ningempata huyu babamzee wa upako au kakobe hao ninafuuSweetyCandy Pole sana
Kama upo Dar es Salaam nenda kwa Mwalimu na Kuhani Mussa Richard Mwacha, yupo Kimara Temboni, utapata ufungulivu.
Kwamba wewe ni mtoto au...umezeeka🥸🥸🥸Hapana unataka tuyajenge umri pia unachangia
JAmani haya ngoja nikubaliKwamba wewe ni mtoto au...umezeeka🥸🥸🥸
Sasa kama mshana hali ya familia yake ni mbaya atakusaidiaje
Sikujua kama wewe ni familia ya Mshana Jr . Nenda kwa Mwamposa sasa.Sasa kama mshana hali ya familia yake ni mbaya atakusaidiaje
Hata Mwamposa siyo mbaya. Jitahidi kuliko kupoteza muda huko kwa waganga, saa nyingine wanakuwa hawakutibu bali ndiyo wanaendelea kukuingiza ndani zaidi kwenye madhabahu za kuzimu. Huwezi kuondoa nguvu ya giza uliyonayo kwa kutumia nguvu ya giza, utakuwa hufanyi kitu bali unazunguka hapohapo tu.Asante ila ningempata huyu babamzee wa upako au kakobe hao ninafuu
Sitibu naona matatizo ya watu ila steji ya kutibu sitibugi ila shida za watu wengi wameponea kwangu kwakuwaelezea niyaonayo au niotayoo.Mimi hua nina photographic memory Alhamdulillah nikiona kitu hakitoki kiurahisi, si wewe ulikuaga uzi wa Arsis ukisema wewe ni kiti unatibu watu imekuaje tena bibi kiti wamekugeuka wadau wakukalia kiti?
Hapo...ndipo pazuri...njoo pm sasa nikupe dawa...uache kutesekaJAmani haya ngoja nikubali
Eh hayabHapo...ndipo pazuri...njoo pm sasa nikupe dawa...uache kuteseka
Niambie boss ladyEh hayab
Mie maskini bado sina ubossy wowote napigwa vitq na majiniNiambie boss lady