Wenzangu hali si hali nimekwama

Wenzangu hali si hali nimekwama

Pole dada angu Dunia sio mbaya ila walimwengu ndio wabaya,

Kuanzia Leo kila siku ahsubui wakati unaamka oga maji ndani yake weka chumvi ya mawe. Hivyo hivyo wakati wa Kulala oga maji yenye chumvi.

Fanya hivyo kwa siku saba, siku ya nane niambie mabadiliko alafu nitakupeleka Mimi mwenyewe kwa mtalaamu huko bagamoyo.

Note: sikupi namba ya simu ila ntakupeleka Mimi mwenyewe na tutaenda wote.

Nimeongea na mtalaamu amenipa hayo maelekezo Sasa yafuate ila baada ya siku saba nitafute. Usinitafute kabla ya siku Saba
Na usinitafute kama hutoweza kuoga maji hayo kwa siku saba.

Mwisho una jini ambalo umetupiwa na ndugu upande wa mama au upande wa ukweni.

Unaweza kupata stroke
Unaweza kufa
Au unaweza kuwa mwendawazimu.

Karibu nitakusiidia
Kukupeleka kwa mtalaamu.
Unaukweli fulani
 
Yaani napitia sana matatizo mengi ikiwemo afya yaani humu kwasababu hata hatujuani . Mtu anafungukaga tu. Ila haya matatizo sijui nayatatuaje nimechoka nimezunguka miji yote sipati tiba .

Yaani hadi nimechokaaa. Nikitu nakifahamu ila kutolewa niwe huru imeshindikana . Humu ukisaiduwa napo ni hela tu watu wanakula humu nimepigwa hela za kutosha.

Ila hali ni ile ile tu. Yaani nimechoka kwakweli sijui nitaenda wapi kutolewa hii hali . Maana nihali ambayo sio yakihospitali wala kimapenzi nikiasili zaidi.
Wanaocheka ipo.siku yao
 
kuna siku ulitoa thread namna fulan unajua kuhusu mambo ya upande wa pili nikimaanisha majini nilikoment ule uzi ulini jibu namna flani nikajua tu kuna nyuzi flani kichwani haijakaa vizur tatizo sio huo uzito mgongoni linaanzia kwenye akili, ubongo wako una tatizo umeona namna Watu8 amekujibu?? hilo n tatizo la akili jaribu kuona madaktra bingwa achana na huko unakoenda sababu wengine hutest dawa zao utapewa mazindiko yasiyo tiba yako ubebe mambo mapya yaje yakusumbue, ukifunguka zaidi utapata msaada, kama uneamua kuwa wwazi bas funguka zaidi utasaidika.
Sio akili yangu inashida haina ila kama utaweza kuwa mwema sio unatania kama siku zote nitakuelekeza
 
Yaani napitia sana matatizo mengi ikiwemo afya yaani humu kwasababu hata hatujuani . Mtu anafungukaga tu. Ila haya matatizo sijui nayatatuaje nimechoka nimezunguka miji yote sipati tiba .

Yaani hadi nimechokaaa. Nikitu nakifahamu ila kutolewa niwe huru imeshindikana . Humu ukisaiduwa napo ni hela tu watu wanakula humu nimepigwa hela za kutosha.

Ila hali ni ile ile tu. Yaani nimechoka kwakweli sijui nitaenda wapi kutolewa hii hali . Maana nihali ambayo sio yakihospitali wala kimapenzi nikiasili zaidi.
Sema hioshida wengine humu ni waganga wa jadi usiogope hidinakwanza pesa baadaya matokeo
 
Ni kweli uyasemayo ila nitofauti nasikia hivi. Kitu kikubwa kizito mgongoni kinanilemea kinaninyonga kinashuka gadi mgongoni kinakaba mbavu sana hadi sipumui
Pole sana dunia inachangamoto sana hii
 
Tusaidiane basi wenyewe kwa wenyewe
Naomba basi utualike wawili watatu...at least tukomalie jina lako cute ...ukiwa na Imani utakaa sawa...ila jitahidi sana kujiombea hata kimoyomoyo,kemea kwa kutumia jina la Yesu utavuka cute
 
Yaani napitia sana matatizo mengi ikiwemo afya yaani humu kwasababu hata hatujuani . Mtu anafungukaga tu. Ila haya matatizo sijui nayatatuaje nimechoka nimezunguka miji yote sipati tiba .

Yaani hadi nimechokaaa. Nikitu nakifahamu ila kutolewa niwe huru imeshindikana . Humu ukisaiduwa napo ni hela tu watu wanakula humu nimepigwa hela za kutosha.

Ila hali ni ile ile tu. Yaani nimechoka kwakweli sijui nitaenda wapi kutolewa hii hali . Maana nihali ambayo sio yakihospitali wala kimapenzi nikiasili zaidi.
Una tatizo la imani hafifu katika Muumba wako.
Hakuna, nasema hakuna mwenye uwezo zaidi ya Muumba wako kukutatulia matatizo yako.
Kuna mahali umeboronga, tubu na jidhili.
Halafu omba kwa neema bila kuchoka.
Hali yako itakaa sawa.
 
Back
Top Bottom