Wenzangu hali si hali nimekwama

Wenzangu hali si hali nimekwama

Aliyekuambia kakudanganya, tafadhali ishi maisha yako bila kutegemea Imani potofu....utashinda....
Hayo unayopitia ni ile hali umeaminishwa then umejitia woga...basi utaona mengi... please chochote unachoona hakipo sawa,ni hali ya kawaida kukupata maana huwezi kuwa na hali positively tu sikuzote,kupitia changamoto lazima
I second you..
Mambo mengine ni imani tu na ukiamini sana ndo unazidi kuumia!
 
Back
Top Bottom