Wenzangu hali si hali nimekwama

Wenzangu hali si hali nimekwama

Kuna jamaa alikuwa na yeye anasema anasikia kama kichwani anapigwa na kitu kizito almanusura kupoteza fahamu, yaani akiwa anataka kusinzia kuna kitu kinatembea kutoka kwenye uti wa mgongo kinapanda hadi kichwani kinampiga kwa ndani hadi anapiga kelele kwa maumivu. alikuwa halali...

Baada ya kuzunguka kwenye vipimo ikaja kugundulika ni matatizo ya neva na uti wa mgongo, alipewa dawa akapona, lakini kabla kila mmoja alihisi jamaa amerogwa.

Ulishajaribu kupimwa Ct scan, MRI au vipimo ya damu?

Sijui Kama ameiona hii message.
 
kuna siku ulitoa thread namna fulan unajua kuhusu mambo ya upande wa pili nikimaanisha majini nilikoment ule uzi ulini jibu namna flani nikajua tu kuna nyuzi flani kichwani haijakaa vizur tatizo sio huo uzito mgongoni linaanzia kwenye akili, ubongo wako una tatizo umeona namna Watu8 amekujibu?? hilo n tatizo la akili jaribu kuona madaktra bingwa achana na huko unakoenda sababu wengine hutest dawa zao utapewa mazindiko yasiyo tiba yako ubebe mambo mapya yaje yakusumbue, ukifunguka zaidi utapata msaada, kama uneamua kuwa wwazi bas funguka zaidi utasaidika.
 
Ni kweli uyasemayo ila nitofauti nasikia hivi. Kitu kikubwa kizito mgongoni kinanilemea kinaninyonga kinashuka gadi mgongoni kinakaba mbavu sana hadi sipumui
Kuna mtu ulimtendea uovu? Na hukusuluhishana nae?
 
Aliyekuambia kakudanganya, tafadhali ishi maisha yako bila kutegemea Imani potofu....utashinda....
Hayo unayopitia ni ile hali umeaminishwa then umejitia woga...basi utaona mengi... please chochote unachoona hakipo sawa,ni hali ya kawaida kukupata maana huwezi kuwa na hali positively tu sikuzote,kupitia changamoto lazima
Kapata shambulio la negative energy atafute mtu amfundishe meditation ili apandishe mitetemo yake juu ajiponye mwenyewe ili hayo matakataka sijui uchawi yote yatakwisha
 
Siku ukifanikiwa kupuuza hii imani ndipo utakapo pona .

Ni tatizo la kiakili na la kidhania, lililozalishwa na kukuzwa na aina fulani ya imani.
Sio kila mtu ana ufahamu wa mambo ya kiroho thus shida na matatizo ni sehemu ya maisha yao
 
Pole dada angu Dunia sio mbaya ila walimwengu ndio wabaya,

Kuanzia Leo kila siku ahsubui wakati unaamka oga maji ndani yake weka chumvi ya mawe. Hivyo hivyo wakati wa Kulala oga maji yenye chumvi.

Fanya hivyo kwa siku saba, siku ya nane niambie mabadiliko alafu nitakupeleka Mimi mwenyewe kwa mtalaamu huko bagamoyo.

Note: sikupi namba ya simu ila ntakupeleka Mimi mwenyewe na tutaenda wote.

Nimeongea na mtalaamu amenipa hayo maelekezo Sasa yafuate ila baada ya siku saba nitafute. Usinitafute kabla ya siku Saba
Na usinitafute kama hutoweza kuoga maji hayo kwa siku saba.

Mwisho una jini ambalo umetupiwa na ndugu upande wa mama au upande wa ukweni.

Unaweza kupata stroke
Unaweza kufa
Au unaweza kuwa mwendawazimu.

Karibu nitakusiidia
Kukupeleka kwa mtalaamu.
 
Yaani napitia sana matatizo mengi ikiwemo afya yaani humu kwasababu hata hatujuani . Mtu anafungukaga tu. Ila haya matatizo sijui nayatatuaje nimechoka nimezunguka miji yote sipati tiba .

Yaani hadi nimechokaaa. Nikitu nakifahamu ila kutolewa niwe huru imeshindikana . Humu ukisaiduwa napo ni hela tu watu wanakula humu nimepigwa hela za kutosha.

Ila hali ni ile ile tu. Yaani nimechoka kwakweli sijui nitaenda wapi kutolewa hii hali . Maana nihali ambayo sio yakihospitali wala kimapenzi nikiasili zaidi.
hali gani hiyo? funguka usaidiwe
 
kama umetambua ni Hali ya kiakili wewe huna tatizo la akili labda sijakuelewa tu
 
Maisha ya kumwacha MUNGU MWENYEZI ni mabaya sana

Mrudie MUNGU wa kwa njia ya KRISTO

Tafuta kanisa la TAG ukaombewe upate kukombolewa

Pia tafuta wimbo wa Boaz danken unaitwa HAUFANANISHWI uwe unausikiliza kila siku mchana na usiku hao ndugu zako watakumbia wenyewe bila kupenda

Acha kutafuta wachungaji wanaomba hela acha kabisa
 
Back
Top Bottom