Wenzangu hali si hali nimekwama

Wenzangu hali si hali nimekwama

Mazingara hayaondolewi kwa mazingara ....Utapofushwa kwa kuondolewa uliloliona au kulifahamu utapandikizwa mengine ya ziada.
Hakuna nyeusi nzuri Wala Tiba Giza ni Giza Totoro.
 
Mazingara hayaondolewi kwa mazingara ....Utapofushwa kwa kuondolewa uliloliona au kulifahamu utapandikizwa mengine ya ziada.
Hakuna nyeusi nzuri Wala Tiba Giza ni Giza Totoro.
ungejua hadi wenye dini zao unao waamini wanatumia mazingara pia
 
Kuna jamaa alikuwa na yeye anasema anasikia kama kichwani anapigwa na kitu kizito almanusura kupoteza fahamu, yaani akiwa anataka kusinzia kuna kitu kinatembea kutoka kwenye uti wa mgongo kinapanda hadi kichwani kinampiga kwa ndani hadi anapiga kelele kwa maumivu. alikuwa halali...

Baada ya kuzunguka kwenye vipimo ikaja kugundulika ni matatizo ya neva na uti wa mgongo, alipewa dawa akapona, lakini kabla kila mmoja alihisi jamaa amerogwa.

Ulishajaribu kupimwa Ct scan, MRI au vipimo ya damu?
Hapana
 
Nakupenda sana,una majibu ya busara kuliko wasoma comments...
Mpenzi,hayo mambo ni ya kiroho yakatae kiroho...kitu kinachokuumiza afu hakionekani hicho hakijakaa kimwili hivyo kikemee kiroho...namaanisha nguvu ya Imani...utapona...
Naomba Mwenyezi Mungu akuponye mpenzi,uwe mzima dada🙏
I like it the way you're responding dia. Kama hujaolewa naomba niwe.....!

Kimtokacho mtu ndicho kile kilichoujaza moyo wake.
 
Unanisaidiaje
Kabla ya tatizo kukufika Taarifa huja kwa Jumbe tofauti zisizo rasmi.
Je ulipata Taarifa yoyote ukaipuuza na baadae kujua ilikuwa onyo ?
Ilipokufikia ulifanya Nini ?...... Ulichotamka Cha Kwanza kinaweza kuwa ndiyo cheque uliyoisaini kukubali au kukataa bila kujua .
 
True wengi wengi nisaidie niombewe ili initokee hii hali
Tafuta mtu 1 au 2 wale wakaribu ambao wanaweza kuwa na wewe katika nyakati kama hizi.
maombi ya vitu kama hivyo yanahitaji kujitoa sana maana ni vita. Yanahitaji watu active sana.
Vita ya imani inahitaji ujikane nafsi ya mwili. Maombi ya Kufunga na toba njia ya ukombozi. .
 
Tafuta mtu 1 au 2 wale wakaribu ambao wanaweza kuwa na wewe katika nyakati kama hizi.
maombi ya vitu kama hivyo yanahitaji kujitoa sana maana ni vita. Yanahitaji watu active sana.
Vita ya imani inahitaji ujikane nafsi ya mwili. Maombi ya Kufunga na toba njia ya ukombozi. .
Nimewakosa
 
Yaani napitia sana matatizo mengi ikiwemo afya yaani humu kwasababu hata hatujuani . Mtu anafungukaga tu. Ila haya matatizo sijui nayatatuaje nimechoka nimezunguka miji yote sipati tiba .

Yaani hadi nimechokaaa. Nikitu nakifahamu ila kutolewa niwe huru imeshindikana . Humu ukisaiduwa napo ni hela tu watu wanakula humu nimepigwa hela za kutosha.

Ila hali ni ile ile tu. Yaani nimechoka kwakweli sijui nitaenda wapi kutolewa hii hali . Maana nihali ambayo sio yakihospitali wala kimapenzi nikiasili zaidi.
Nifate pm tafadhali
 
Back
Top Bottom