Chica Gee
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 2,139
- 6,083
Mkoa wa RukwaSasa umefika Tanzania
Mkoa wa RukwaSasa umefika Tanzania
Ni kweli uyasemayo ila nitofauti nasikia hivi. Kitu kikubwa kizito mgongoni kinanilemea kinaninyonga kinashuka gadi mgongoni kinakaba mbavu sana hadi sipumuiAliyekuambia kakudanganya, tafadhali ishi maisha yako bila kutegemea Imani potofu....utashinda....
Hayo unayopitia ni ile hali umeaminishwa then umejitia woga...basi utaona mengi... please chochote unachoona hakipo sawa,ni hali ya kawaida kukupata maana huwezi kuwa na hali positively tu sikuzote,kupitia changamoto lazima
Una majini ama mapepo?Hapana nipo serious
Siku ukifanikiwa kupuuza hii imani ndipo utakapo pona .Nimerushiwa kitu kama kuvalishwa kitu mwilini dira zangu zikafutikaga
Sijui sasaUna majini ama mapepo?
Kweli howSiku ukifanikiwa kupuuza hii imani ndipo utakapo pona .
Ni tatizo la kiakili na la kidhania, lililozalishwa na kukuzwa na aina fulani ya imani.
Pole sana SweetCandy rudi kwa wazazi kama wapo au kama una kijini kwenu rudi kawaeleze utapata nafuu naamini.Sijui sasa
Unakuwa unajihisi hamu ya kufanya mapenzi?Sijui sasa
Aje pm kwa msaada wa hiloAya huyu mshughulikie mkuu
Piga pipe si ndiyo vitu vyako mzee
Nitafute uponeKweli how
No uniform No ErectionAje pm kwa msaada wa hilo
Wahun wapo kila mahaliN
Nitafute upone
Kama kawaida nakuona mzee wa sifongoUnakuwa unajihisi hamu ya kufanya mapenzi?
Mwenzio anahitaji msaada afu ww unaleta utani, acha hizo mkuu 😎No uniform No Erection
Achana na mishangaz mzee
Trump amekata misaada
Kuna jamaa alikuwa na yeye anasema anasikia kama kichwani anapigwa na kitu kizito almanusura kupoteza fahamu, yaani akiwa anataka kusinzia kuna kitu kinatembea kutoka kwenye uti wa mgongo kinapanda hadi kichwani kinampiga kwa ndani hadi anapiga kelele kwa maumivu. alikuwa halali...Ni kweli uyasemayo ila nitofauti nasikia hivi. Kitu kikubwa kizito mgongoni kinanilemea kinaninyonga kinashuka gadi mgongoni kinakaba mbavu sana hadi sipumui
Najaribu kujua mgonjwa anapitia nn ili nijue tibaKama kawaida nakuona mzee wa sifongo
Why usikibue ukichome? Nani kakurushianau unahisi umerushiwa?Nimerushiwa kitu kama kuvalishwa kitu mwilini dira zangu zikafutikaga
Sio huni nikweli kwani kusaidia mtu ni dhambiWahun wapo kila mahali
Yelewiii parakwiiii Haya ni maajabuu