Wengi mnatokwa povu tu ila huu ndio ukweli wa kwanini SA imeamua kutetea haki za wapalestina kwa kufungua kesi ya mauaji ya kimbari dhidi Israel

6 Pack

JF-Expert Member
Apr 17, 2022
1,826
4,076
Ni aje waungwana,

Ndugu waungwana hapa jakwaani kwetu kuna vijana wengi ambao wamekuwa waki comment ujinga katika thread za watu wenye akili, na elimu kubwa kushinda wao, lengo ni kutaka waonekane kuwa na wao ni miongoni mwa wale wanaowatetea, hata kama hao wanaowatetewa hakuna anaewajua hata mmoja.

Ndugu waungwana hapa jukwaani kuna watu wanashangaza sana, kwa kukimbilia kuishambulia SA kutokana na kitendo chao cha kufungulia Israel kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia wasiokuwa na hatia, kina mama, watoto wachanga wenye umri wa chini ya miaka mitano, vilema, vizee nk.

Washambuliaji hawa wa mitandaoni haswa hapa JF ambao wengi wao wanaongozwa na kundi la wayahudi wa huko chato na nachingwea, wameshindwa kujua sababu haswa zilizopelekea nchi hiyo ya ki afrika kujiingiza katika swala hilo na ukizingatia nchi hiyo ina asilimia ndogo sana ya wavaa kobaz ambao hata hao kidogo wenyewe hawapo serikalini na wala hawana maamuzi yoyote ndani ya serikali, chama tawala wala vile vya upinzani.

Swala hili limewaunganisha wa afrika kusini wote akiwemo mwanasiasa machachari Julius Malema, tena bila kujali utofauti wa vyama vyao.

Na sababu kuu za kuichukia na kuichukulia hatua za kuishtaki kwa ukatili Inayofanya Gaza ni hizi:

1. Afrika kusini ni moja kati ya nchi ambazo zilipitia changamoto kubwa ya kutawaliwa kimabavu, kufungwa bila hatia, kuadhibiwa bila kosa, na wengine kuuwawa kwa sababu ya kudai uhuru wao, ardhi yao na haki zao. Hili walilopitia waafrika kusini ndio wanalilopitia wapalestina kwa zaidi ya miaka 70. Hivyo waafrika kusini wanajua na kufahamu machungu wanayopitia wapalestina kule kwao.

Hili swala la watu wanaojaribu kutumia nguvu kudai haki zao walizonyimwa kwa zaidi ya miaka 70 kuitwa magaidi na nchi za magharibi (Hamas) hata wao wa afrika kusini walikumbana nalo hadi kupelekea baadhi ya vijana na wanachama wa anc kukimbilia Tanzania, Zambia, Zimbabwe na kwengineko ili kukwepa mkono wa sheria wa wazungu ambao waliwaona na kuwaita wapigania uhuru na haki zao, tena katika nchi yao wenyewe kuwa ni magaidi.

2. Pili wakati wa ubaguzi wa rangi, Israel ilikuwa ni moja ya nchi ambazo zilisupport utawala wa kibaguzi wa rangi, lakini pia makaburu wengi walienda Israel kusomea mbinu za kijeshi za kuja kupambana na vijana weusi wa afrika kusini bure bila malipo yoyote kwa wayahudi.

Yaani kwa kiswahili chepesi tunaweza kusema kuwa Israel ndio ilikuwa unadhamini askari hao kwenda kujifunza ukatili katika nchi yao ili waje wauwe wenzao kwa sababu tu ya utofauti wa kirangi nk.

Unaweza ukajiuliza inakuaje nchi nyingi zifanye ukatili na Afrika kusini isiguswe wala kufuatilia ukatili huo, lakini huu wa Israel umewagusa. Na hiyo ni kwa sababu ya historia ya kile walichowanyia kupitia makaburu na kilichowatokea.

Afrika kusini ni nchi kubwa hivyo haiwezi kukurupuka tu kuanza kuichukia nchi nyingine tena ya mbali na mipaka yake bila sababu na ukizingatia nchi wanayoitetea ni ya kiarabu wakati wao sio waarabu, ni ya kiislamu wakati wao 95% sio waislamu.

Yani kwao ni bora hata baadhi ya nchi za kizungu zilionesha kuwasaidia na kuguswa na mateso waliyokuwa wanapitie enzi zile moja ya nchi hiyo ni Denmark kuliko Israel ambayo ilikuwa upande wa wazungu ili wawaangamize na kuwauwa wazawa.

Nina imani kama kungekuwa na ukaribu fulan wa kimipaka, basi wazee wa kazi wangepenyeza silaha kadhaa kwa Hamas ili kulipiza kisasi ya kile walichofanyiwa na wayahudi enzi hizo 😄😄😄

Wale wenye akili zilizojaa kichwa karibuni mjadili ki akili ili wale wasiofahamu sababu ya ufunguaji wa kesi waweze kufahamu na kujifunza. Lakini pia na wale watakaokuja kucheuwa povu lao kama mdomo wa kinda la ndege mnaruhusiwa kwa sharti la kutotukana watu hovyo.
 
Ni aje waungwana,

Ndugu waungwana hapa jakwaani kwetu kuna vijana wengi ambao wamekuwa waki comment ujinga katika thread za watu wenye akili, na elimu kubwa kushinda wao, lengo ni kutaka waonekane kuwa na wao ni miongoni mwa wale wanaowatetea, hata kama hao wanaowatetewa hakuna anaewajua hata mmoja.

Ndugu waungwana hapa jukwaani kuna watu wanashangaza sana, kwa kukimbilia kuishambulia SA kutokana na kitendo chao cha kufungulia Israel kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia wasiokuwa na hatia, kina mama, watoto wachanga wenye umri wa chini ya miaka mitano, vilema, vizee nk.

Washambuliaji hawa wa mitandaoni haswa hapa JF ambao wengi wao wanaongozwa na kundi la wayahudi wa huko chato na nachingwea, wameshindwa kujua sababu haswa zilizopelekea nchi hiyo ya ki afrika kujiingiza katika swala hilo na ukizingatia nchi hiyo ina asilimia ndogo sana ya wavaa kobaz ambao hata hao kidogo wenyewe hawapo serikalini na wala hawana maamuzi yoyote ndani ya serikali, chama tawala wala vile vya upinzani.

Swala hili limewaunganisha wa afrika kusini wote akiwemo mwanasiasa machachari Julius Malema, tena bila kujali utofauti wa vyama vyao.

Na sababu kuu za kuichukia na kuichukulia hatua za kuishtaki kwa ukatili Inayofanya Gaza ni hizi:

1. Afrika kusini ni moja kati ya nchi ambazo zilipitia changamoto kubwa ya kutawaliwa kimabavu, kufungwa bila hatia, kuadhibiwa bila kosa, na wengine kuuwawa kwa sababu ya kudai uhuru wao, ardhi yao na haki zao. Hili walilopitia waafrika kusini ndio wanalilopitia wapalestina kwa zaidi ya miaka 70. Hivyo waafrika kusini wanajua na kufahamu machungu wanayopitia wapalestina kule kwao.

Hili swala la watu wanaojaribu kutumia nguvu kudai haki zao walizonyimwa kwa zaidi ya miaka 70 kuitwa magaidi na nchi za magharibi (Hamas) hata wao wa afrika kusini walikumbana nalo hadi kupelekea baadhi ya vijana na wanachama wa anc kukimbilia Tanzania, Zambia, Zimbabwe na kwengineko ili kukwepa mkono wa sheria wa wazungu ambao waliwaona na kuwaita wapigania uhuru na haki zao, tena katika nchi yao wenyewe kuwa ni magaidi.

2. Pili wakati wa ubaguzi wa rangi, Israel ilikuwa ni moja ya nchi ambazo zilisupport utawala wa kibaguzi wa rangi, lakini pia makaburu wengi walienda Israel kusomea mbinu za kijeshi za kuja kupambana na vijana weusi wa afrika kusini bure bila malipo yoyote kwa wayahudi.

Yaani kwa kiswahili chepesi tunaweza kusema kuwa Israel ndio ilikuwa unadhamini askari hao kwenda kujifunza ukatili katika nchi yao ili waje wauwe wenzao kwa sababu tu ya utofauti wa kirangi nk.

Unaweza ukajiuliza inakuaje nchi nyingi zifanye ukatili na Afrika kusini isiguswe wala kufuatilia ukatili huo, lakini huu wa Israel umewagusa. Na hiyo ni kwa sababu ya historia ya kile walichowanyia kupitia makaburu na kilichowatokea.

Afrika kusini ni nchi kubwa hivyo haiwezi kukurupuka tu kuanza kuichukia nchi nyingine tena ya mbali na mipaka yake bila sababu na ukizingatia nchi wanayoitetea ni ya kiarabu wakati wao sio waarabu, ni ya kiislamu wakati wao 95% sio waislamu.

Yani kwao ni bora hata baadhi ya nchi za kizungu zilionesha kuwasaidia na kuguswa na mateso waliyokuwa wanapitie enzi zile moja ya nchi hiyo ni Denmark kuliko Israel ambayo ilikuwa upande wa wazungu ili wawaangamize na kuwauwa wazawa.

Nina imani kama kungekuwa na ukaribu fulan wa kimipaka, basi wazee wa kazi wangepenyeza silaha kadhaa kwa Hamas ili kulipiza kisasi ya kile walichofanyiwa na wayahudi enzi hizo 😄😄😄

Wale wenye akili zilizojaa kichwa karibuni mjadili ki akili ili wale wasiofahamu sababu ya ufunguaji wa kesi waweze kufahamu na kujifunza. Lakini pia na wale watakaokuja kucheuwa povu lao kama mdomo wa kinda la ndege mnaruhusiwa kwa sharti la kutotukana watu hovyo.

Kina KMK254 huu uzi watakuwa wanautazama kama wanavyomtazama mwendazake kwenye kutoa heshima za mwisho
 
Ni mpumbavu pekee anaye weza kushabikia kinacho fanywa na Israel dhidi ya wapalestina.
Majitu humu yakikatiwa umeme kwa masaa 6 tu yanashinda humu yamekaza shingo na kutoa matusi kwa CCM ila wakati huo yana shangilia dhruma dhidi ya binadamu wengine.




Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hayo mauaji unayoyazungumzia kwa wapalestina ni israel imeamua tu kushambulia gaza au israel ilichokozwa na sasa imeamua kutokomeza kabisa kikundi kilichofanya mashambulizi? SA imejitia wazimu kufungulia kesi huko ICJ itaangukia pua
 
Ni aje waungwana,

Ndugu waungwana hapa jakwaani kwetu kuna vijana wengi ambao wamekuwa waki comment ujinga katika thread za watu wenye akili, na elimu kubwa kushinda wao, lengo ni kutaka waonekane kuwa na wao ni miongoni mwa wale wanaowatetea, hata kama hao wanaowatetewa hakuna anaewajua hata mmoja.

Ndugu waungwana hapa jukwaani kuna watu wanashangaza sana, kwa kukimbilia kuishambulia SA kutokana na kitendo chao cha kufungulia Israel kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia wasiokuwa na hatia, kina mama, watoto wachanga wenye umri wa chini ya miaka mitano, vilema, vizee nk.

Washambuliaji hawa wa mitandaoni haswa hapa JF ambao wengi wao wanaongozwa na kundi la wayahudi wa huko chato na nachingwea, wameshindwa kujua sababu haswa zilizopelekea nchi hiyo ya ki afrika kujiingiza katika swala hilo na ukizingatia nchi hiyo ina asilimia ndogo sana ya wavaa kobaz ambao hata hao kidogo wenyewe hawapo serikalini na wala hawana maamuzi yoyote ndani ya serikali, chama tawala wala vile vya upinzani.

Swala hili limewaunganisha wa afrika kusini wote akiwemo mwanasiasa machachari Julius Malema, tena bila kujali utofauti wa vyama vyao.

Na sababu kuu za kuichukia na kuichukulia hatua za kuishtaki kwa ukatili Inayofanya Gaza ni hizi:

1. Afrika kusini ni moja kati ya nchi ambazo zilipitia changamoto kubwa ya kutawaliwa kimabavu, kufungwa bila hatia, kuadhibiwa bila kosa, na wengine kuuwawa kwa sababu ya kudai uhuru wao, ardhi yao na haki zao. Hili walilopitia waafrika kusini ndio wanalilopitia wapalestina kwa zaidi ya miaka 70. Hivyo waafrika kusini wanajua na kufahamu machungu wanayopitia wapalestina kule kwao.

Hili swala la watu wanaojaribu kutumia nguvu kudai haki zao walizonyimwa kwa zaidi ya miaka 70 kuitwa magaidi na nchi za magharibi (Hamas) hata wao wa afrika kusini walikumbana nalo hadi kupelekea baadhi ya vijana na wanachama wa anc kukimbilia Tanzania, Zambia, Zimbabwe na kwengineko ili kukwepa mkono wa sheria wa wazungu ambao waliwaona na kuwaita wapigania uhuru na haki zao, tena katika nchi yao wenyewe kuwa ni magaidi.

2. Pili wakati wa ubaguzi wa rangi, Israel ilikuwa ni moja ya nchi ambazo zilisupport utawala wa kibaguzi wa rangi, lakini pia makaburu wengi walienda Israel kusomea mbinu za kijeshi za kuja kupambana na vijana weusi wa afrika kusini bure bila malipo yoyote kwa wayahudi.

Yaani kwa kiswahili chepesi tunaweza kusema kuwa Israel ndio ilikuwa unadhamini askari hao kwenda kujifunza ukatili katika nchi yao ili waje wauwe wenzao kwa sababu tu ya utofauti wa kirangi nk.

Unaweza ukajiuliza inakuaje nchi nyingi zifanye ukatili na Afrika kusini isiguswe wala kufuatilia ukatili huo, lakini huu wa Israel umewagusa. Na hiyo ni kwa sababu ya historia ya kile walichowanyia kupitia makaburu na kilichowatokea.

Afrika kusini ni nchi kubwa hivyo haiwezi kukurupuka tu kuanza kuichukia nchi nyingine tena ya mbali na mipaka yake bila sababu na ukizingatia nchi wanayoitetea ni ya kiarabu wakati wao sio waarabu, ni ya kiislamu wakati wao 95% sio waislamu.

Yani kwao ni bora hata baadhi ya nchi za kizungu zilionesha kuwasaidia na kuguswa na mateso waliyokuwa wanapitie enzi zile moja ya nchi hiyo ni Denmark kuliko Israel ambayo ilikuwa upande wa wazungu ili wawaangamize na kuwauwa wazawa.

Nina imani kama kungekuwa na ukaribu fulan wa kimipaka, basi wazee wa kazi wangepenyeza silaha kadhaa kwa Hamas ili kulipiza kisasi ya kile walichofanyiwa na wayahudi enzi hizo 😄😄😄

Wale wenye akili zilizojaa kichwa karibuni mjadili ki akili ili wale wasiofahamu sababu ya ufunguaji wa kesi waweze kufahamu na kujifunza. Lakini pia na wale watakaokuja kucheuwa povu lao kama mdomo wa kinda la ndege mnaruhusiwa kwa sharti la kutotukana watu hovyo.

Naunga mkono hoja:

IMG_1567.jpg
 
Ni mpumbavu pekee anaye weza kushabikia kinacho fanywa na Israel dhidi ya wapalestina.
Majitu humu yakikatiwa umeme kwa masaa 6 tu yanashinda humu yamekaza shingo na kutoa matusi kwa CCM ila wakati huo yana shangilia dhruma dhidi ya binadamu wengine.




Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Watu hawafikiri au kujiweka katika viatu vya wapalestina. Wanachojua wao ni kupambana na kila anaejaribu kutetea haki za wapalestina.
 
Ni aje waungwana,

Ndugu waungwana hapa jakwaani kwetu kuna vijana wengi ambao wamekuwa waki comment ujinga katika thread za watu wenye akili, na elimu kubwa kushinda wao, lengo ni kutaka waonekane kuwa na wao ni miongoni mwa wale wanaowatetea, hata kama hao wanaowatetewa hakuna anaewajua hata mmoja.

Ndugu waungwana hapa jukwaani kuna watu wanashangaza sana, kwa kukimbilia kuishambulia SA kutokana na kitendo chao cha kufungulia Israel kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia wasiokuwa na hatia, kina mama, watoto wachanga wenye umri wa chini ya miaka mitano, vilema, vizee nk.

Washambuliaji hawa wa mitandaoni haswa hapa JF ambao wengi wao wanaongozwa na kundi la wayahudi wa huko chato na nachingwea, wameshindwa kujua sababu haswa zilizopelekea nchi hiyo ya ki afrika kujiingiza katika swala hilo na ukizingatia nchi hiyo ina asilimia ndogo sana ya wavaa kobaz ambao hata hao kidogo wenyewe hawapo serikalini na wala hawana maamuzi yoyote ndani ya serikali, chama tawala wala vile vya upinzani.

Swala hili limewaunganisha wa afrika kusini wote akiwemo mwanasiasa machachari Julius Malema, tena bila kujali utofauti wa vyama vyao.

Na sababu kuu za kuichukia na kuichukulia hatua za kuishtaki kwa ukatili Inayofanya Gaza ni hizi:

1. Afrika kusini ni moja kati ya nchi ambazo zilipitia changamoto kubwa ya kutawaliwa kimabavu, kufungwa bila hatia, kuadhibiwa bila kosa, na wengine kuuwawa kwa sababu ya kudai uhuru wao, ardhi yao na haki zao. Hili walilopitia waafrika kusini ndio wanalilopitia wapalestina kwa zaidi ya miaka 70. Hivyo waafrika kusini wanajua na kufahamu machungu wanayopitia wapalestina kule kwao.

Hili swala la watu wanaojaribu kutumia nguvu kudai haki zao walizonyimwa kwa zaidi ya miaka 70 kuitwa magaidi na nchi za magharibi (Hamas) hata wao wa afrika kusini walikumbana nalo hadi kupelekea baadhi ya vijana na wanachama wa anc kukimbilia Tanzania, Zambia, Zimbabwe na kwengineko ili kukwepa mkono wa sheria wa wazungu ambao waliwaona na kuwaita wapigania uhuru na haki zao, tena katika nchi yao wenyewe kuwa ni magaidi.

2. Pili wakati wa ubaguzi wa rangi, Israel ilikuwa ni moja ya nchi ambazo zilisupport utawala wa kibaguzi wa rangi, lakini pia makaburu wengi walienda Israel kusomea mbinu za kijeshi za kuja kupambana na vijana weusi wa afrika kusini bure bila malipo yoyote kwa wayahudi.

Yaani kwa kiswahili chepesi tunaweza kusema kuwa Israel ndio ilikuwa unadhamini askari hao kwenda kujifunza ukatili katika nchi yao ili waje wauwe wenzao kwa sababu tu ya utofauti wa kirangi nk.

Unaweza ukajiuliza inakuaje nchi nyingi zifanye ukatili na Afrika kusini isiguswe wala kufuatilia ukatili huo, lakini huu wa Israel umewagusa. Na hiyo ni kwa sababu ya historia ya kile walichowanyia kupitia makaburu na kilichowatokea.

Afrika kusini ni nchi kubwa hivyo haiwezi kukurupuka tu kuanza kuichukia nchi nyingine tena ya mbali na mipaka yake bila sababu na ukizingatia nchi wanayoitetea ni ya kiarabu wakati wao sio waarabu, ni ya kiislamu wakati wao 95% sio waislamu.

Yani kwao ni bora hata baadhi ya nchi za kizungu zilionesha kuwasaidia na kuguswa na mateso waliyokuwa wanapitie enzi zile moja ya nchi hiyo ni Denmark kuliko Israel ambayo ilikuwa upande wa wazungu ili wawaangamize na kuwauwa wazawa.

Nina imani kama kungekuwa na ukaribu fulan wa kimipaka, basi wazee wa kazi wangepenyeza silaha kadhaa kwa Hamas ili kulipiza kisasi ya kile walichofanyiwa na wayahudi enzi hizo 😄😄😄

Wale wenye akili zilizojaa kichwa karibuni mjadili ki akili ili wale wasiofahamu sababu ya ufunguaji wa kesi waweze kufahamu na kujifunza. Lakini pia na wale watakaokuja kucheuwa povu lao kama mdomo wa kinda la ndege mnaruhusiwa kwa sharti la kutotukana watu hovyo.
IMG-20240112-WA0035.jpg
 
Hayo mauaji unayoyazungumzia kwa wapalestina ni israel imeamua tu kushambulia gaza au israel ilichokozwa na sasa imeamua kutokomeza kabisa kikundi kilichofanya mashambulizi? SA imejitia wazimu kufungulia kesi huko ICJ itaangukia pua
Kwani chanzo cha mauaji ni Israel kuchokozwa au wale wanaokaliwa kimabavu kujaribu kutafuta njia nyingine ya kuwashinikiza wale wanaowakalia kimabavu wajue kwamba na wao wanaweza kutumia njia hata ya hatari kwao kupigania haki zao na uhuru wao.

Ni mara ngapi waisrael wamekuwa wakiendelea na ujenzi katika makazi ya wapestina, kuvamia nyumba zao usiku, kukamata vijana wadogo bila sababu na wale waliojaribu kuandamana ili kutaka dunia ifahamu kile wanachopitia wanajikuta wanaishia kupigwa risasi mchana kweupe wanajeruhiwa na wengine kuuwawa.

Hii ni sawa na yale waliokutana nayo wa Afrika kusini enzi za utawala wa wazungu. Yani wenye kudai haki zao ndo wanapewa jina la magaidi. Huku wale wanaowanyanganya wenzao haki zao na kuwatesa i mean makaburu na waisrael wakijiita wastaraabu.
 

Attachments

  • Screenshot_20240112-191823.png
    Screenshot_20240112-191823.png
    65.2 KB · Views: 2
Ni aje waungwana,

Ndugu waungwana hapa jakwaani kwetu kuna vijana wengi ambao wamekuwa waki comment ujinga katika thread za watu wenye akili, na elimu kubwa kushinda wao, lengo ni kutaka waonekane kuwa na wao ni miongoni mwa wale wanaowatetea, hata kama hao wanaowatetewa hakuna anaewajua hata mmoja.

Ndugu waungwana hapa jukwaani kuna watu wanashangaza sana, kwa kukimbilia kuishambulia SA kutokana na kitendo chao cha kufungulia Israel kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia wasiokuwa na hatia, kina mama, watoto wachanga wenye umri wa chini ya miaka mitano, vilema, vizee nk.

Washambuliaji hawa wa mitandaoni haswa hapa JF ambao wengi wao wanaongozwa na kundi la wayahudi wa huko chato na nachingwea, wameshindwa kujua sababu haswa zilizopelekea nchi hiyo ya ki afrika kujiingiza katika swala hilo na ukizingatia nchi hiyo ina asilimia ndogo sana ya wavaa kobaz ambao hata hao kidogo wenyewe hawapo serikalini na wala hawana maamuzi yoyote ndani ya serikali, chama tawala wala vile vya upinzani.

Swala hili limewaunganisha wa afrika kusini wote akiwemo mwanasiasa machachari Julius Malema, tena bila kujali utofauti wa vyama vyao.

Na sababu kuu za kuichukia na kuichukulia hatua za kuishtaki kwa ukatili Inayofanya Gaza ni hizi:

1. Afrika kusini ni moja kati ya nchi ambazo zilipitia changamoto kubwa ya kutawaliwa kimabavu, kufungwa bila hatia, kuadhibiwa bila kosa, na wengine kuuwawa kwa sababu ya kudai uhuru wao, ardhi yao na haki zao. Hili walilopitia waafrika kusini ndio wanalilopitia wapalestina kwa zaidi ya miaka 70. Hivyo waafrika kusini wanajua na kufahamu machungu wanayopitia wapalestina kule kwao.

Hili swala la watu wanaojaribu kutumia nguvu kudai haki zao walizonyimwa kwa zaidi ya miaka 70 kuitwa magaidi na nchi za magharibi (Hamas) hata wao wa afrika kusini walikumbana nalo hadi kupelekea baadhi ya vijana na wanachama wa anc kukimbilia Tanzania, Zambia, Zimbabwe na kwengineko ili kukwepa mkono wa sheria wa wazungu ambao waliwaona na kuwaita wapigania uhuru na haki zao, tena katika nchi yao wenyewe kuwa ni magaidi.

2. Pili wakati wa ubaguzi wa rangi, Israel ilikuwa ni moja ya nchi ambazo zilisupport utawala wa kibaguzi wa rangi, lakini pia makaburu wengi walienda Israel kusomea mbinu za kijeshi za kuja kupambana na vijana weusi wa afrika kusini bure bila malipo yoyote kwa wayahudi.

Yaani kwa kiswahili chepesi tunaweza kusema kuwa Israel ndio ilikuwa unadhamini askari hao kwenda kujifunza ukatili katika nchi yao ili waje wauwe wenzao kwa sababu tu ya utofauti wa kirangi nk.

Unaweza ukajiuliza inakuaje nchi nyingi zifanye ukatili na Afrika kusini isiguswe wala kufuatilia ukatili huo, lakini huu wa Israel umewagusa. Na hiyo ni kwa sababu ya historia ya kile walichowanyia kupitia makaburu na kilichowatokea.

Afrika kusini ni nchi kubwa hivyo haiwezi kukurupuka tu kuanza kuichukia nchi nyingine tena ya mbali na mipaka yake bila sababu na ukizingatia nchi wanayoitetea ni ya kiarabu wakati wao sio waarabu, ni ya kiislamu wakati wao 95% sio waislamu.

Yani kwao ni bora hata baadhi ya nchi za kizungu zilionesha kuwasaidia na kuguswa na mateso waliyokuwa wanapitie enzi zile moja ya nchi hiyo ni Denmark kuliko Israel ambayo ilikuwa upande wa wazungu ili wawaangamize na kuwauwa wazawa.

Nina imani kama kungekuwa na ukaribu fulan wa kimipaka, basi wazee wa kazi wangepenyeza silaha kadhaa kwa Hamas ili kulipiza kisasi ya kile walichofanyiwa na wayahudi enzi hizo 😄😄😄

Wale wenye akili zilizojaa kichwa karibuni mjadili ki akili ili wale wasiofahamu sababu ya ufunguaji wa kesi waweze kufahamu na kujifunza. Lakini pia na wale watakaokuja kucheuwa povu lao kama mdomo wa kinda la ndege mnaruhusiwa kwa sharti la kutotukana watu hovyo.
South Africa hapo hawawataki watu toka nchi za Afrika kama Tanzania, pamoja na juhudi zote za kuwasaidia kwenye vita vya ukombozi. South Africa hao hao, walitaka kujitoa ICC, kisa Putin alitaka kwenda kwao, na wao walitaka wasimshike. Hizi ni Siasa tu.
 
Back
Top Bottom