Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Nimefikiria sana na muda wote nimewaza nikaja kujua Lowassa ni Mwanaume halisi.

Yote yanayopikwa ni propaganda za waswahili l.

Fikiria kwa makini utaelewa
Mkuu kuna usemi usemao MALIPO NI HAPA DUNIANI
 
Absolutely, dogo alivimba kichwa na kuanza kuongea upuuzi ila kwa sasa Political carrier yake imesha oza hana pa kujishikiza tena. He is finished.
He may not be totally finished but at least he is done
 
fuatilia maisha yako wewe..kama ni pesa zimepigwa na wewe tafuta mjinga wako kampige bwege we utakufa na ufukara wako
Bora kufa na ufukara kuliko kujipatia utajiri kwa njia za udanganyifu na utapeli..na aliyetoa pesa yake pia hakuwa bwege au mjinga kama unavyofikiria..aliwaamini hao jamaa zako mpaka kufikia kuwatumia fedha..kumbuka what goes around ,comes around..
 
Gift given in form of love,cannot enforced under the court of law(Zawadi iliotolewa katika mfumo wa hisia za mapenzi, kumsaidia mpenzi au walio karibu na Mpenzi, haina uhalari mbele ya mahakama za kisheria). Muitaliano Alimpa Mwamvita pesa katika nasaba ya Mapenzi, alaf Mwamvita akamsaidia Kaka katika siasa, hapo Muitaliano kapotea maana hawezi kuidai kisheria zaidi ya kumfata Mwamvita amsadie. Ata Mimi shemeji nilipokuwa nasoma, alimpa Dada ada, na Dada alinilipia, kwahiyo shemeji hawezi kuja kunidai Mimi ada alizolipa kwa sababu Dada amempiga chini, waongee na Dada wamalizane huko wasinichafue.Makamba piga kazi ,hayo ni mapito tu.
Unaweza ukawa sahihi lakini unasahau kuwa alipewa na muitaliano ili aje kupewa deal za ujenzi wa maeneo mbalimbali... mapenzi yalitumika kuwakutanisha
 
Makamba ana maadui wengi sana hasa nikiangalia jinsi UKAWA wanavyoshambulia jukwaa nahisi kuna kitu hapa. UKAWA wengi wanahisi Makamba ndio alie wapora ushindi..

Ndio maana hapa haijalishi kama tuhuma na za kweli ama la...ila ilimradi watu wapooze machungu...
 
Kilichotokea ni rahisi sana! Ndani ya ccm kuna kikundi cha kimafia na kilipata nguvu mno wakati wa utawala uliopita... Hiki kina siri za watu wengi sana wamekaa nazo kama asset
Few days ago January akasimama kuusema vibaya utawala wa Kikwete! Utawala ambao yeye ni sehemu yake!!! Akaunanga sana bila kujali maumivu waliyo nayo wale wenzake walioachwa na Magu
Yeye kachukuliwa na Magu Kama asante ya kufanikisha wizi wa kura kwahiyo alipaswa kukaa kimya, lakini akajiona msafi sana, mafia wale wakaingia kazini wakafanya yao wakamtupia chizi mange naye akafanya yake
Mkuu upo njema sana,salute
 
Niliingia chimbo kupata connection ya Mange na huyo mwitaliano na kinachoendelea.... Nimesikia na kubaini mengi....

January ktk hili bora angenyamaza coz wenzie wamekusanya furushi la taarifa na wapo tayari kwa pambano kuu!!!!
Sasa tumeanza kujua kuwa ndani ya ccm hakuna aliye msafi
 
Dogo hujifanya smart sana....

Huyo dadake alikuwa wa kina Rostam na anaonekana anapenda mno wenye PESA!!!

Ila mtendwa hutendwa hawa waswahili wakiumizana mi sijali coz ni watu wasio kuwa na shukrani...

Sikutegemea ukaribu uliokuwepo kati ya Makamba Family na Lowassa hii family imdhalilishe kiasi kile na mwenzao asijibu kitu!!!

Waswahili sina huruma kwao and I really hate them!!!
Lowasa again
 
Safari hii January kupatikana licha ya kukwepa Kipindi chote cha JK ambapo alitunga sheria za Mitandao ili kujilinda na maovu yake , mwaka huu atairoga mpaka JF akumbuke kifo cha nyani miti yoote huteleza.
He is fineshed na ukizingatia na UVCCM nao wamemvalia njuga yaani ndio Baasi tena.
 
Back
Top Bottom