Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

mkuu huyo kijana ni Mshirikina hakuna mfano Kipindi cha kampeni aliwaleta mseto wa waganga wa kienyeji toka Gambia, Amazon, Mongolia , Senegal na Nchi nyinginezo kibao anajulikana kwenye anga hizo kamrithi baba yake .
Huo ni ukweli, wanasiasa wa gamba bila back up ya waganga nyota hazing'ai
 
Kilichotokea ni rahisi sana! Ndani ya ccm kuna kikundi cha kimafia na kilipata nguvu mno wakati wa utawala uliopita... Hiki kina siri za watu wengi sana wamekaa nazo kama asset
Few days ago January akasimama kuusema vibaya utawala wa Kikwete! Utawala ambao yeye ni sehemu yake!!! Akaunanga sana bila kujali maumivu waliyo nayo wale wenzake walioachwa na Magu
Yeye kachukuliwa na Magu Kama asante ya kufanikisha wizi wa kura kwahiyo alipaswa kukaa kimya, lakini akajiona msafi sana, mafia wale wakaingia kazini wakafanya yao wakamtupia chizi mange naye akafanya yake
Power games right?. Maskini sisi tumebaki kutafuta upande wakushabikia, watu wanafanya yao.
 
Wawakamate wasiwakamate kwangu mimi ni ukweli ujulikane asisingiziwe mtu wala asifichiwe mtu madhambi yake. Mimi namjua fika Makamba baba yake alishamfunga jela miaka ya nyuma kaulize Morogoro story yake utachoka ni mhuni anaepiga dili zake kwa akili tele.

I see ukweli mimi siwafahamu hata kidogo. Labda wale waliokua mawaziri enzi za 80s and early 90s basi. Hata kura sikupiga sababu sikuandikishwa hivyo mimi naona michezo inavyokwenda hapa nchini.
 
Duh! Dogo umeyataka sasa yanakutokea puani ! Kuwatukana wakubwa! Mwezio Nape alikuwa akurupuki na histoshe kipindi kile kilikuwa cha kampeni
 
Huyo jamaa naye ni jipu, anahela gani za kujenga Bagamoyo port! Tena hela ya ujenzi itoke china halafu wapewe kampuni ya kibongo/hindi!

Either jamaa yuko very shallow katika tender au ameamua kutumia hela nyingi kuchafua watu, overall huyo jamaa sio GT hata kiduchu!
 
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]
 
mange ni mgonjwa wa akili anajulikana..hatua anayotakiwa kuchukuliwa ni kupelekwa mirembe akatibiwe
Mtatukana sana, uzuri amewawekea na sauti kabisa. Mwamvita amekiri ni sauti yake, February amekiri kupokea pesa kutoka kwa dada yake, sasa kati ya mange na wewe chizi ni nani?
 
Hivi waswahili ni akina nani au ni watu wa aina gani?
Hii kitu kidogo inanipa shida aiseeee
mkuu hasa hasa mswahili ni mtu wa pwani awe mkristo ama muislamu. Kwa wakenya wanatufaham watanzania wote ni waswahili. Ndio maana mtanzania akikamatwa Kenya polis hawampi nafas kabisa ya kujitetea kwasabab ya saundi au kuongea mengiiii bila breki mpaka wanaweza kumuachia hata kama anakosa
 
Muda na ushahidi vikianza kuzungumza ghafla lazima upoteze muelekeo usipokuwa makini......
"Sumu nyingine zinaua na nyingine zinachakaza "
 
Waswahili utawajua kwa musemo yao wawapo majukwaani mfano,, watu wanasema safari hii mzee wa Msoga hachomoki,, kwani mimi nilichomeka nini?
Au utasikia Ukinda kula kula ipo siku nawe utaliwa alafu baadae atakanusha kuwa baada ya watu kuishangaa kauri hiyo kwa kusema ,,sina maana hiyo mnayoifikiria jamani,,

Hao ndio waswahili bhana wanajua kucheza na Lugha yao ya kiswahili,, mwingine aliwahi kusema ,, Uchumi mnao nyie mbaukalia tu,, uzeni vitumbua vyenu mpate pesa,,,haaaaaa,, teh teheeee hao ndio waswahili bhana neno lake moja linaleta maana zaidi ya tatu.
 
vita sio ya lowassa jamani.sasa hvi wamukutana waswahili tupu kutoka pwani.serikali ya wamu ya nne ilikua ovyo.sasa kwa matusi kama hayo nini kifuaya endelea kusikia mengi.......
 
Back
Top Bottom