Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Nasubiria tu kitakachotokea. Mungu nijalie Uzima.
 
January naye kakiri kupokea pesa lakini alimuomba dadaake...hii colabo tamu sana
Dada kakubali sauti ni yake
Kaka kakubali kupokea hela
Bado chorus tuu
Chorus huwa tunaimba sisi sasa wao huimba mashairi
 
Kama kuna mtu alitaka tenda ya ujenzi bandari ya bagamoyo kwa kufanya dili na Makamba tena kupitia simu huyo mtu ni mpuuuzi na anastahili kuibiwa. Hapo Makambas walitumia fursa. Hakuna mfanya biashara anaweza kuwa reckless kiasi hicho

Makamba akaupe tenda kama nani? Kuweka down payment ya 100mil USD kwa bandari ambayo itajengwa kwa over billion $$- kuna kitu hakipo sawa hapa. Bagamoyo port ipo wazi kwamba itajengwa na wachina tena kwa mkopo sasa hawa waitalinao ni wajinga kiasi gani kutojua kitu kama hicho kabla ya kuweka bid ya kutaka tenda halafu pesa mnawapa watu binafsi mtu na kaka yake!! Acha waibiwe kwa ujinga wao
U r ryt mfanyabiashara makini hawez kua mpuuzi kiasi hiki....
 
Yaani kuna mtu mwenye akili timamu anayemuamini huyu mwanamke anayemshauri Wema kutafuta wanae wenye pesa badala ya kumshauri kutafuta pesa zake?

Huyu usikute ana ugomvi au wivu na huyo Mwamvita tu halafu watu wanaingia kichwakichwa

Maana oflate amekuwa mtu wa kutengeneza e-mail na akaunti fake kwenye mitandao na kudanganya watu na hata kutukana watu.

Kiufupi ni Psychiatric huyu haaminiki

Kipindi cha uchaguzi mkuu alkua akitukana watu kwa tuhuma za uongo.Ni mtu wa ovyo ovyo sana

Leo namwamini japo naamini ametumia na watu kwa tabia take

Hata Mwamvita mwenyewe kakubali kuwa alirekodiwa kweli japo alikuwa anapewa Lead questions!
Makambaz wana hoja ya kujibu nadhani
 
Huu uhuni wa kiitaliano tuache, tujadiliane mambo ya Maendeleo
 
Nimefuatilia kidogo hili swala la makamba naona kama watu wanavuana nguo za ndani,

Sina cha kuongezea but ni chafu sana tena sana,
Huyu dada nilikuwa nampenda sana nimekumbuka wimbo wa power of a woman.
Hii hata isitoke kwenye magazeti ibakie hukohuko instagram.
weka mbali na watoto.

I am singing "All is falling down".
Mkuu unamaanisha kuwa hiyo ni mipasho tu au?hakuna harufu ya mchezo mchafu?
FYI ni kuwa habari hii ipo kwenye magazeti ya leo! Mara nyingi issue nzito huanza kwa mipasho ndipo baadae ukweli hutamalaki!...unakumbuka ishu ya "tumbiri" bungeni?

Wacha ukweli ujulikane na mwisho wa siku haki itendeke!
 
Ofcoz jamaa aliniudhi alipomsema JK siwezi mtete kamwe,,, ila naona UKAWA povu zinawatoka zaidi sijui kwanini?!
wewe umewaona
Ukawa tu,huoni kingine mange aligombea kwa tiketi ya ukawa.masikini unaukimbia ukweli kwa kujifunika blangeti la unafiq.
 
Kilichotokea ni rahisi sana! Ndani ya ccm kuna kikundi cha kimafia na kilipata nguvu mno wakati wa utawala uliopita... Hiki kina siri za watu wengi sana wamekaa nazo kama asset
Few days ago January akasimama kuusema vibaya utawala wa Kikwete! Utawala ambao yeye ni sehemu yake!!! Akaunanga sana bila kujali maumivu waliyo nayo wale wenzake walioachwa na Magu
Yeye kachukuliwa na Magu Kama asante ya kufanikisha wizi wa kura kwahiyo alipaswa kukaa kimya, lakini akajiona msafi sana, mafia wale wakaingia kazini wakafanya yao wakamtupia chizi mange naye akafanya yake
Kumbe ndio kilichotokea! Mh ! Safi wacha movie iendeleee
 
Katika hali isiyo ya kawaida, Mwanadada anayejulikana katika Mitandao ya Kijamii, Mange Kimambi, amewachana January Makamba na Mwamvita katika Instagram page yake kwa kuweka sauti zilizorekodiwa wakipanga deal na mfanyabiashara wa kiitaliano ambaye amelizwa dola milion 100 ili apewe deal la kujenga port Bagamaoyo.

Jaribu kupitia..

(Mazungumzo ya Sauti yameambatanishwa)

005b63a5fa8710a5ceac0c39f51af7d0.jpg

ForumsGeneral ForumsJukwaa la Siasa
Ukweli kuhusu ugomvi wa January Makamba na Lisa Rockefeller
Thread Status:

Not open for further replies.
Watch Thread
123456
  1. S
    SeacliffJF-Expert Member
    #1
    Dec 7, 2010

    Kuna rafiki yangu lawyer kwenye NGO moja hapa NY ambayo yule dada Lisa Rockefeller ni board member, amenidokeza kuhusu issue ya huyu dada na yule kijana wa Bumbuli – January Makamba. Hii issue imemkera sana huyu dada na anaichukulia serious sana. January na Lisa walikuwa na uhusiano mzuri sana ambao ulishamiri zaidi wakati alipokuwa Marekani kwenye safari na JK ya kuonana na investors na donors. Lisa pia ndiye aliye-organize na rafiki yake wa “The Economist” kuandika ile piece ya January Makamba ambayo ilikuwa na objective ya kumsaidia kukuza profile yake kwenye kampeni. Kwa Lisa, January alionekana ni mtu progressive anayependa maendeleo na quite possibly future leader wa Tanzania. Wakati Lisa alipokuja Tanzania mara ya mwisho akakuta mradi aliotolea hela nyingi kule Mbeya haujafanyika, wakati alipewa guarantee na rafiki yake January kuwa hela hiyo itatumiwa kwenye huo mradi, alikuja juu na kudai accountability. January apparently akamjia juu na kumtishia kuwa yuko Bongo asilete ukoloni wa Kimarekani. Apparently, alimpa threats nyingi zaidi na kwa sababu ya hizo threats dada Lisa alizipeleka nyumbani na familia ikapiga simu Homeland Security. Ilibidi wamarekani wa-launch formal investigation ambayo mpaka sasa inaendelea. Kuna matisho aliyoyatoa January bila kufikiria madhara yake na huyu dada akayachukulia serious na kwa hasira sana. Kumbuka yeye alikuwa anategemea appreciation huku na quite honestly sidhani kama alikuwa na mambo mengine mengi zaidi ya kusaidia. Sasa hiyo ndiyo inasemekana imemfanya Mkulu ashindwe kumpa ule uwaziri ambao kijana alikuwa ana uhakika wa kuupata. Kuna habari pia kwamba kijana January amewekwa kwenye list mbaya ya Homeland Security na itakuwa vigumu sana kusafiri huku mpaka hii issue iwe cleared.

    Report
    Like

  2. VoiceOfReasonJF-Expert Member
    #81
    Dec 8, 2010


    Be careful (VoiceOfReason), tuhuma inatakiwa iwe na evidence ndio iweze kukamilika...
    Ukishamtaja mtu kama ni mtuhumiwa, lazima ujiandae na ushahidi. Ninachotaka mimi ni kwamba, source ya hiyo taarifa iko wapi???? Elewa swali kaka, usije kuja fungwa kwa kutoelewa swali.

    Hapa ni sehemu ya kuchambua mambo kwa undani, na kwa ushahidi pia. Mtu mwenye busara hawezi kuwa naright ya kuongea kama hana evidence (that is how greaters thinkers do). Naomba na wewe ufikirie kwa mapana hayo...
    Click to expand...
    Even "no Comment" is a Comment....... as far as am concerned you have commented three times.....

    Now every story have got different angles.... there is a story about the accused and the accuser (that is true you can not comment about the aforesaid until you get the evidence, but its hard for the informer to disclose the source).

    There is the story about the beef btn the two... (if its true or not) and am sure you can comment on that... if you know otherwise you can comment on it....

    There are precedents what has happened before in the same lines of of what the informer said has happened here again you can comment on that.... Otherwise you can just ask do as you did commenting about validity of the story

    Report
    Like

  3. kmwemtsiJF-Expert Member
    #82
    Dec 8, 2010

    February Anawaaibisha watanzania

    Report
    Like

  4. KiherehereJF-Expert Member
    #83
    Dec 8, 2010


    We inaonekana una beef na January, how can we trust your words.
    Kama hujui hata ishu ilipoanzia SI UNGEULIZA??? Kwani unakimbizwa??? Kama huna comment.... SOMA ZA WENZIO ZITAKUJENGA UJUE MADA.
    Ni mgeni kwenye hili....

    Report
    Like

  5. MabelJF-Expert Member
    #84
    Dec 8, 2010

    Ka January nako kanatema cheche kwa wahisani? Kamesahau baba zake wanavyokwenda kule kuombaomba.
    Kazi kwelikweli, Tanzania na ufisadi, ndio maana wako tayari kufanya lolote kupambana na mawazo mbadala wanayoona yatawatoa kwenye sysytem na kuishi kama sasa (probably bila amani). Mazoea kweli ni mabaya, ka January kana fikiri huko nako ni Bongo?

    Kuna tofauti kubwa kati ya watu wa Iloganzala na New York.

    Report
    Like
  6. M
    MisterdennisJF-Expert Member
    #85
    Dec 8, 2010


    hawezi kuwa humu eti kwa sababu huu ni mtandao wa wachaga, chadema na wakatoliki. hivyo ndo asemavyo.. sijui kuna ukweli wowote
    Alikueleza hivyo face to face ?

    Report
    Like
  7. K
    kayumbaJF-Expert Member
    #86
    Dec 8, 2010

    Kazi ipo, kwasababu ya uchaguzi kuisha mengi mbona yatajulikana!

    Make election corruption free to avoid more scandalz!


    Report
    Like
  8. G
    Game TheoryJF-Expert Member
    #87
    Dec 8, 2010

    Naomba nijibwe maswali yangu

    Report
    Like

  9. EasymutantJF-Expert Member
    #88
    Dec 8, 2010


    Tuwekee link ya chanzo cha habari ili TUJANUARIKE huko :teeth:
    here is the link
    https://www.jamiiforums.com/jukwaa-l...i-wa-january-makamba-na-lisa-rockefeller.html

    Report
    Like

  10. RealManJF-Expert Member
    #89
    Dec 8, 2010


    Tanzania's election
    Promises, promises

    But they are too weak to topple the all-powerful CCM. Mr Kikwete and
    Tanzania will gently potter along. If the likes of Mr Makamba managed to
    take over the CCM, things might pick up a lot faster. But not, it seems,
    just yet.

    Source: The Economist
    Click to expand...
    So the boy is already eying 2015 Presidency. If he had the campaigns of that scale during primaries against Shelukindo, I bet he'll double JK's 2010 presidential campaign budget come 2015. My wary would be as it is now, "the source of all these monies"!
    If he wants to achieve his political career by hook and crook then its a concern of any well wisher.

    Otherwise I find the thread to have some correlation with Mr II's ongoing cry on "Malaria No More".

    Report
    Like

  11. MhafidhinaJF-Expert Member
    #90
    Dec 8, 2010

    Alishazoea kutishia vijana wa kinondoni akiafikiri Lisa ni type hio...! This time amegusa pabaya...! I am glad walau watu wapata accountability of their words and actions...!

    Mimi ningeshauri hao Homeland security wam-ban hata kikwete kabisa...!


    Report
    Like
  12. J
    JasusiJF-Expert Member
    #91
    Dec 8, 2010


    couple of things.

    1. Tunaomba jina la huo mradi ambao mwanzisha thread amesema uko Mbeya

    2. Tunaomba donors wa huo Mradi na una worth kiasi gani

    3. Tunaomba namba za simu za hapa Tanzania za wenye huo mradi ili tuwapigie simu ili wa veryfy hizi allegations dhidi ya January vs Lisa

    4. Tunaomba utueleze Lisa anaingiaje kwenye hii issue, nimetazama katika family tree ya Rockefeller lakini sijampata labda ungetuambia ana ofisi wapi huko US, na ofisi yake nashughulika na na nini ili tupate picha kamili

    5. Baada ya hapo si vibaya tukapata ukweli kuhusu chanzo cha kutokuelewana kwa hawa wawili (kama tusha establish) vilivyoulizwa hapo juu

    6. Si vibaya kucheki na Ubalozi wa USA hapa Dar ambao wanaweza kutupatia ukweli kama je JM ana travel ban au la.

    7. Hayo ya JK kutompa uwaziri etc sidhani kama yana umuhimu zaidi kwani nadhani Mbunge ana constituency kubwa zaidi na kama sikosei Jimbo la Bumbuli lina watu zaidi ya lasi 2 na nusu, na owte wanahitaji ahadi zote alizoziahidi J wakati wa Kampeni zitimizwe sasa eti kwa sababu hayupo kwenye baraza la mawaziri sidhani kama lina merit hata kidogo.

    haya JF na kikosi chenu cha CSI ingieni kazini ili tupate ukweli ama sivyo tutakuwa hatumtendei haki huyu bwana kwa kuanzisha mambo bila ya kuwa na ushahidi wowote ule
    Click to expand...
    Ukishapata majibu na details kwa maswali yako then what?

    Report
    Like

  13. VoiceOfReasonJF-Expert Member
    #92
    Dec 8, 2010


    Ukishapata majibu na details kwa maswali yako then what?
    True ndugu yangu.... mtu kapata tetesi kaleta Jamvini watu wanaanza kumuandama, kumkashifu na kumpa assignment za kutafuta habari zaidi.. utafikilia wanamlipa

    Report
    Like

  14. omarilyasJF-Expert Member
    #93
    Dec 8, 2010


    Men, it is not only the January Makamba on the black-book with the US but rather the list could be growing a little longer over time with the entire international community.

    The list could be longer than most us could imagine. With every foot-print they leave behind a magnifying glass is thoroughly scrutinising their schemes against Tanzanians for own good. It is NOT ONLY Makamba Junior but more so to do with his larger group of closer compatriots whod badly seeks to promote the Islamic Extremism in East Africa, syndicate of drug dealers, and traders in Uranium at best. Indeed, the blackbook will be soon catching up with every other person who may have directly or indirectly assisted the course could sooner be in for major suprises.

    For those who have had a hand in offering the Iranian Rostam Azizi luxuries of state-protection as he plunder natural wealth of the nation and furthers the LARGER IRANIAN INTERESTS to promote Islam by force and engage in SECRET EXPORTING of URANIUM. The rather too elaborate under-the-table deals in which DAR ES SALAAM is vigourously seen to be CLANDESTINELY ASSISTING TEHRAN to grow her MOST DANGEROUS NUCLEAR Capabilities yet on another hand, as it offers the Western World a false smile on another face is just so deeply hypocritical of the whole scene here.

    More still, it is very interesting to see a country as poor as our taking the business to sponsor nuclear projects in other nations against the expectations of many, exporting capital to build in other nations as a lot other keep buying buildings in the west.

    Sure, the black list may not so long from now cause REAL CONCERNS and reason to take practical action to permanently put the Rostam-Aziz-and -State rat-race under our pittiful glare to an unceremonious halt. The black business of trading in wrong frontiers and the suprising concerted urge since early 1990 to fast-track extention of Islamic Etremism and instances of terrorist activities along the larger COASTAL STRIP of African Continent (from Mozambique to Somalia) is much drawing closer interests at unravelling the bigger underlying motive.

    The major plans courtesy help of Rostam Aziz and assisted by the selfish extremist Islamic sections of State-organs of our country that seeks to Sponsor his Terrorist Mastermind activities under the FALACIOUS HOPE of getting financial assistance to BUY every other election to stay in power forever and enjoy inreased influence over other religions is just so disgusting to note.

    The world is also fast becoming impatient with Dar es Salaam's siphoning of public funds to build the most glittering city of Dubai as poverty levels escalates in our midsts.
    Click to expand...
    Hivi Rutashobanyuma yuko wapi....Hili zengwe linafanana na lile la kabla ya 2005 waliopelekewa "BWANA WaKUBWA"

    Report
    Like
  15. T
    taritaJF-Expert Member
    #94
    Dec 8, 2010

    Unfortunately wewe unaitwa shetani. Lazima uutetee ushetani hata kama unachafua heshima ya Taifa hili. Sorry unatia kinyaa!!!Keep quite shetani.

    Report
    Like

  16. QuinineJF-Expert Member
    #95
    Dec 8, 2010


    Naomba nijibwe maswali yangu
    Bwana mkubwa unaagiza ka chips ongeza kachumbari na pilipli kwa mbaaali..... shame.

    Report
    Like

  17. IzaJF-Expert Member
    #96
    Dec 8, 2010

    Washaambiana kuwa uongozi wa taifa hili ni mali ya familia zao,watafanya kila waliwezalo ikiwa ni kukwiba mifedha ya miradi ili tu wakapunge upepo Ikulu,,..

    Report
    Like

  18. VoiceOfReasonJF-Expert Member
    #97
    Dec 8, 2010


    Bwana mkubwa unaagiza ka chips ongeza kachumbari na pilipli kwa mbaaali..... shame.
    An ungrateful man is like a hog under a tree eating acorns, but never looking up to see where they come from

    Report
    Like
  19. S
    SelemaniJF-Expert Member
    #98
    Dec 8, 2010

    Just because this is an open forum, hatupewi sababu ya kujadili a made up story. Hii ishu ya Lisa Lokafela na January Makamba is made up when facebook was mashed with Jambo Forum fueled with allegations on folks anonymity. At the end of the day, we discussing a non story.

    Yaani JM is banned to US because some Lokafela daughter "speculated" that this Ernesto Sheka's character who abused her ON FACEBOOK is January. And that will be sufficient crime and evidence kumfanya JM asikanyage States. That is silly.

    And Sugu is incompetent. So as Ezekiah Wenje, how do u get paid all that MPs money halafu unachangisha wananchi wakununulie furnitures. Seriously, wananchi wachange kujenga visima vya maji or something, sio fenicha zako. And these ****** in Mwanza wakachanga. Unbelievable! Bongo tambarare.

    Report
    Like
  20. F
    FITINA ZA KWELINew Member
    #99
    Dec 8, 2010

    hivi januari ndiye yule mtoto aliyetokana na ule ushetani uliofanywa na baba yake kwa yule mwanaffunzi?

    Report
    Like

  21. SUNGUSIAJF-Expert Member
    [HASHTAG]#100[/HASHTAG]
    Dec 8, 2010

    duuhh sasa kazi imeanza ngoja tuone mwisho utakuwa nini..

    Report
    Like
(You have insufficient privileges to reply here.)
123456

Similar Threads Forum Date
Tweets za January Makamba na Zitto kuhusu Hotuba ya Warioba KATIBA Mpya Mar 18, 2014
Lisa Rockefeller revisited Habari na Hoja mchanganyiko May 31, 2012
January na Mwamvita Makamba Habari na Hoja mchanganyiko May 5, 2012
January makamba aanzisha SMS na wananchi wa Bumbuli Jukwaa la Siasa Feb 1, 2011
January Makamba threatens Lisa Rockeffeller Jukwaa la Siasa Oct 31, 2010
Thread Status:

Not open for further replies.
ForumsGeneral ForumsJukwaa la Siasa



  • WHO ARE WE?
    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic. You are always welcome!
    Read more...
  • WHERE ARE WE?
    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually. For anything related to this site please Contact us.
    Contact Us Now...
  • DISCLAIMER
    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..
    Read more...
  • FORUM RULES
    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you. You MUST read them and comply accordingly
    Read more...
  • PRIVACY POLICY
    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one. Read our Privacy Policy.
    Proceed here...
Style Chooser
 
Kilichotokea ni rahisi sana! Ndani ya ccm kuna kikundi cha kimafia na kilipata nguvu mno wakati wa utawala uliopita... Hiki kina siri za watu wengi sana wamekaa nazo kama asset
Few days ago January akasimama kuusema vibaya utawala wa Kikwete! Utawala ambao yeye ni sehemu yake!!! Akaunanga sana bila kujali maumivu waliyo nayo wale wenzake walioachwa na Magu
Yeye kachukuliwa na Magu Kama asante ya kufanikisha wizi wa kura kwahiyo alipaswa kukaa kimya, lakini akajiona msafi sana, mafia wale wakaingia kazini wakafanya yao wakamtupia chizi mange naye akafanya yake
Absolutely, dogo alivimba kichwa na kuanza kuongea upuuzi ila kwa sasa Political carrier yake imesha oza hana pa kujishikiza tena. He is finished.
 
Nimefuatilia kidogo hili swala la makamba naona kama watu wanavuana nguo za ndani,

Sina cha kuongezea but ni chafu sana tena sana,
Huyu dada nilikuwa nampenda sana nimekumbuka wimbo wa power of a woman.
Hii hata isitoke kwenye magazeti ibakie hukohuko instagram.
weka mbali na watoto.

I am singing "All is falling down".
Ulikuwa unanpenda sasa unamchukia?nakama unamchukia nikwanini unamchukia?kuanika maovu yanayofanywa na viongozi wanaojiita malaika huku ni mafisadi papa ndio umchukie?
 
Dogo hujifanya smart sana....

Huyo dadake alikuwa wa kina Rostam na anaonekana anapenda mno wenye PESA!!!

Ila mtendwa hutendwa hawa waswahili wakiumizana mi sijali coz ni watu wasio kuwa na shukrani...

Sikutegemea ukaribu uliokuwepo kati ya Makamba Family na Lowassa hii family imdhalilishe kiasi kile na mwenzao asijibu kitu!!!

Waswahili sina huruma kwao and I really hate them!!!
Wamesahau kuwa muosha daima uoshwa
 
Acha the bald head asemwe na avuliwe nguo. Yani malipo ni hapa hapa duniani. Alivyokuwa mstari wa mbele kumuaibisha mzee wetu ngoyai kipenzi cha wote yeye na kampani yake alizan yuko salama. Wametumia mabilioni ya walipa kodi kumtukana EL.
Magufuli ebu fukuza huyu makamba mara moja maana ametoa siri ya kilichomo ndani ya serikali yako,
 
hii taarifa ni ya kipuuzi inayojadiliwa na wapuuzi kama nyie pesa apewe dada lawama ziende kwa kaka nyie punguani kweli
Bora ukae kimya mkuu.
1.Umekiri kuwa hela ilitolewa kwa dada wa january
2. Je, huyo dada wa January ana influence ya moja kwa moja katika kupatikana kwa tender?
3. Lazima amepitia kwa mtu wa kati. Nani huyo?
 
Hii Vita ni ya urais ya 2025 ndio imeanza ndani ya ccm usishange Na ya uda yakawekwa hapa Na watu kupelekwa mahakamani hiyo ndiyo ccm lazima wachafuane kwa uchafu wao waliofanya kweli kufikia kwenye urais mpaka 2025 tutaona mengi
 
Sikuwahi mpenda lowassa ila matusi ya hao waswahili yalinifanya nianze kuwa na sympathy kwake....

Nikikumbuka Makamba alivyobebwa na kuwa karibu na Lowassa kiasi cha kuwahi tamka hadharani huko nyuma kuwa yeye mgombea wake Lowassa sikuamini alivyomdhalilisha kiasi kile....

Hata kama ni tofauti za siasa mbona Magufuli... Mkapa etc hawakutoa mashambulizi personal kiasi kile zaidi ya hao waswahili JK...na Makambas?

Nimejifunza sitofanya urafiki tena na mswahili for the rest of my life....

Ni wanyama!!!
Hapa dawa ni kumfukuza kazi huyo makamba na kumpandisha kwa pilato ila imetupa na kutufungua macho kuwa Magufuli amezungukwa na kundi la mafisadi hivyo basi awache kujitapa kuwa ameunda serikali adilifu.....ccm ni ileile
 
Wapi Manguruwe ya Lumumba? Wapi yale mavijana 46 ya makamba?
 
Back
Top Bottom