Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Dogo hujifanya smart sana....

Huyo dadake alikuwa wa kina Rostam na anaonekana anapenda mno wenye PESA!!!

Ila mtendwa hutendwa hawa waswahili wakiumizana mi sijali coz ni watu wasio kuwa na shukrani...

Sikutegemea ukaribu uliokuwepo kati ya Makamba Family na Lowassa hii family imdhalilishe kiasi kile na mwenzao asijibu kitu!!!

Waswahili sina huruma kwao and I really hate them!!!
Wapende wakuchukiao
 
mapema ata nusu mwaka bado.rushwa.ccm na majipu yao.yasio isha.tuone sasa kama litaiva na litumbuliwe
 
... "watu wanavuana nguo za ndani", ... "but ni chafu sana tena sana",

Haaaaaaaa!
 
Pesa za mutaliano ndio zimegharamia kampeni ya Januari M. kiti cha bumbuli? Naona kesi ya uchaguzi muda sio mrefu.
Inawezekana kwani Sheria ya uchaguzi inataka kutoa ripoti na mahesabu ya pesa zilipotoka na ulivyozitumia baada ya kampeni
 
Uongo mwengine hauna hata mshiko.
Hata kama kuna voice note..watu wanateng.eneza kuchafuana
Bandari ya Bagamoyo inahusu nini Italy.
Mradi ule upo wazi ni katia ya Serikali ya TZ China na Oman funds...na contractor ni wachina wenyewe wanao fadhili....
Uongo mwengine bwana...na watu kwa chuki wanakubali kula ndoana ya uongo.
Basi hata hamutafuti historia ya kujengwa bandari ya bagamoyo?
Sasa huyo mtaliano anahusu nini ? Hata akilini haingIii.
Huyu mwanamke mange ni muongo sana na hupendda kutukana watu na kuchafua watu bure....anafanya hayo akiwa nje ya nchi....
Ni mjuba kweli kweli akianza kutukana basi utafikiri hana vocublary nyengine isipokua matusi.....namna alivo mtukana Hoyce Temu na kumdhalilisha hafai kabisa kushabikiwa...
Umepewa shilingi ngapi? Au ndio team makamba
 
Uongo mwengine hauna hata mshiko.
Hata kama kuna voice note..watu wanateng.eneza kuchafuana
Bandari ya Bagamoyo inahusu nini Italy.
Mradi ule upo wazi ni katia ya Serikali ya TZ China na Oman funds...na contractor ni wachina wenyewe wanao fadhili....
Uongo mwengine bwana...na watu kwa chuki wanakubali kula ndoana ya uongo.
Basi hata hamutafuti historia ya kujengwa bandari ya bagamoyo?
Sasa huyo mtaliano anahusu nini ? Hata akilini haingIii.
Huyu mwanamke mange ni muongo sana na hupendda kutukana watu na kuchafua watu bure....anafanya hayo akiwa nje ya nchi....
Ni mjuba kweli kweli akianza kutukana basi utafikiri hana vocublary nyengine isipokua matusi.....namna alivo mtukana Hoyce Temu na kumdhalilisha hafai kabisa kushabikiwa...
Haaa haaa sasa wewe umejuaje kwamba Mange ni muongo?Watu wangapi unajua wamepigwa hapa nchini?
 
Sasa January yupo na Ruge wamejichimbia sehemu na Utitiri wa waganga wa kienyeji wanapanga jinsi ya kupangua mawe na kumkomoa mange na umoja wa Vijana unasukiwa Zengwe pia , Makamba baba Yao na yeye yupo busy na Ndumba hii ni Hatari wameamua kukomaa na nguvu za giza wakidhani watakwepa hilo JIPU .
Hahahahaaa imebidi nicheke tu
 
Hili la kuwaita watu "waswahili" kwa negative tone kama linavyofanywa na akina Lusungo na wachangiaje wengine ni ubaguzi wa kipuuzi tena wenye viashiria vya ukanda na udini. Tuache maana inawezekana kuacha.
Tunaendekeza hii, lakini uchaguzi ukifika "Waswahili" wakaamua kuchagua Waswahili wenzao hatuelewi, tunabaki tunalialia.
Umewahi kujiuliza hao Waswahili unao wanyanyapaa wako wangapi nchini?
Back to Makamba.....
 
Kweli hapo sasa juhudi za familia zinahitajika ,, la sivyo kijana wa familia ananyofolewa faster pale karibu na Ikulu,, hapo mzee wa ,,Kikucha,, lazima aongeze ubani kunusuru kazi ya kijana,,

Swali je,, MSUKUMA atarogeka kwa ndumba za kule Bumbuli?
 
Ebwana wanaJF mzuka!

Imebaki wiki mbili tu uchaguz Zenji. Ndio lazima January awajibike kama hizi tuhuma ni za kweli. Ila kumbukeni chama tawala katika siasa za Tanzania ni smart sana kuvuruga na kuhamisha mawazo ya watu na ndio siasa ilivyo duniani kote. Hata republicans walishinda mid term election wakati hule 2014 kwa ishu ya kijinga kabisa ebola na wakaikomalia iyo iyo.

Nimeshachukua keton ya Pepsi na popcorn ya kumwaga ukizingatia Hii ishu imeangukia wikendi watu tuko makin kufuatilia. Habari kama hizi za kuchafuana za kashfa na kukomoana ziwe za kweli ama uwongo watanzania tunazipenda sana natunakuwa na mihemko na furaha na ndio hapo akili zetu zinakuwa rahis kuamishwa.

Nawakilisha!
 
kiujumla viongozi wetu wanafanya mambo ya ajabu sana wakiwa gizani. makamba ni mwakilishi tu....
 
Dogo hujifanya smart sana....

Huyo dadake alikuwa wa kina Rostam na anaonekana anapenda mno wenye PESA!!!

Ila mtendwa hutendwa hawa waswahili wakiumizana mi sijali coz ni watu wasio kuwa na shukrani...

Sikutegemea ukaribu uliokuwepo kati ya Makamba Family na Lowassa hii family imdhalilishe kiasi kile na mwenzao asijibu kitu!!!

Waswahili sina huruma kwao and I really hate them!!!


Wazungu wanasema you hate what you dont understand unasema unachukia Waswahili, je Waswahili ni nani? Wewe siyo Mswahili?
 
Back
Top Bottom