Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Rais magufuli, huyu January atanyongwa kwa kuiuza nchi? Tafadhali fanya chini juu, jipu hili.
 
Uongo mwengine hauna hata mshiko.
Hata kama kuna voice note..watu wanateng.eneza kuchafuana
Bandari ya Bagamoyo inahusu nini Italy.
Mradi ule upo wazi ni katia ya Serikali ya TZ China na Oman funds...na contractor ni wachina wenyewe wanao fadhili....
Uongo mwengine bwana...na watu kwa chuki wanakubali kula ndoana ya uongo.
Basi hata hamutafuti historia ya kujengwa bandari ya bagamoyo?
Sasa huyo mtaliano anahusu nini ? Hata akilini haingIii.
Huyu mwanamke mange ni muongo sana na hupendda kutukana watu na kuchafua watu bure....anafanya hayo akiwa nje ya nchi....
Ni mjuba kweli kweli akianza kutukana basi utafikiri hana vocublary nyengine isipokua matusi.....namna alivo mtukana Hoyce Temu na kumdhalilisha hafai kabisa kushabikiwa...
Mkuu yani hapa JF ndio kipimo tosha cha IQ za wabongo huyu Mange ana stress zake za maisha basi kazi yeye ni kutukana tu mitandaoni na wabongo bila kuyapima wanayabeba kama yalivyo sasa Makamba na Bandari ya Bagamoyo vinahusiana nini? Kama maisha yamemshinda huko ughaibuni arudi tu bongo mbona LE MUTUZ karudi na maisha yanasonga kama kawaida.
 
Hata saa mbovu husema ukweli mara mbili katika saa 24
Huyo ana ugomvi wake binafsi na Mwamvita kwanini atoe izo siri baada ya kugombana? Hapa ndipo utajua kama ni majungu vyombo vya usalama awafanyii kazi majungu.
 
Usalama wake sasa, hivi huyo demu anaishi mtoni eeh? Maana kama yupo bongo ajiandae kupata kibano.
 
Mkuu yani hapa JF ndio kipimo tosha cha IQ za wabongo huyu Mange ana stress zake za maisha basi kazi yeye ni kutukana tu mitandaoni na wabongo bila kuyapima wanayabeba kama yalivyo sasa Makamba na Bandari ya Bagamoyo vinahusiana nini? Kama maisha yamemshinda huko ughaibuni arudi tu bongo mbona LE MUTUZ karudi na maisha yanasonga kama kawaida.
eti vinahusiana nini?subirini more evidences to come ,tulieni dawa iwaingie
 
Huyo ana ugomvi wake binafsi na Mwamvita kwanini atoe izo siri baada ya kugombana? Hapa ndipo utajua kama ni majungu vyombo vya usalama awafanyii kazi majungu.
Majungu katika muktadha upi??
Je ni uzushi hamna kitu ka hicho??
Je ni majungu sababu Mange kasnitch??
He ni majungu sababu Mange kasema baada ya kugombana na Mwamvita??
Nafkiri vyombo vichunguze kujiridhisha saa nyingine majungu ni ukweli!!
 
Mkuu inawezekana unajua sana. HEBU TUAMBIE UKWELI.
Ungesikiliza clips tu unajua huyo njemba sio mtaliano...lafdhi yake ya ki Nigeria au South Africa.
Tafuta wataliano wakiongea ki english utajua hizo cilps zime editiwa kuchafua watu.
Na sauti hizo mbili haziendani moja ya huyo njemba ni live na nyengine ni ya audio au simu.
Zaidi njemba he is not mtaliano....
Sauti tu inajulisha hilo ni tapeli fulani la nigeria .
 
Yaani kuna mtu mwenye akili timamu anayemuamini huyu mwanamke anayemshauri Wema kutafuta wanae wenye pesa badala ya kumshauri kutafuta pesa zake?

Huyu usikute ana ugomvi au wivu na huyo Mwamvita tu halafu watu wanaingia kichwakichwa

Maana oflate amekuwa mtu wa kutengeneza e-mail na akaunti fake kwenye mitandao na kudanganya watu na hata kutukana watu.

Kiufupi ni Psychiatric huyu haaminiki

Kipindi cha uchaguzi mkuu alkua akitukana watu kwa tuhuma za uongo.Ni mtu wa ovyo ovyo sana
 
Yaani kuna mtu mwenye akili timamu anayemuamini huyu mwanamke anayemshauri Wema kutafuta wanae wenye pesa badala ya kumshauri kutafuta pesa zake?

Huyu usikute ana ugomvi au wivu na huyo Mwamvita tu halafu watu wanaingia kichwakichwa

Maana oflate amekuwa mtu wa kutengeneza e-mail na akaunti fake kwenye mitandao na kudanganya watu na hata kutukana watu.

Kiufupi ni Psychiatric huyu haaminiki

Kipindi cha uchaguzi mkuu alkua akitukana watu kwa tuhuma za uongo.Ni mtu wa ovyo ovyo sana
Mkuu kwa hili la Makamba katoa na Audio jinsi Mtaliano anavyodai pesa zake baada ya kupigwa
 
Huyo ana ugomvi wake binafsi na Mwamvita kwanini atoe izo siri baada ya kugombana? Hapa ndipo utajua kama ni majungu vyombo vya usalama awafanyii kazi majungu.
hahahahaha Hata Sepp Blatter baada ya kugombana na MICHEL PLATIN,ilibidi Blatter nae ambalast Platin kuwa alimtumiaga euro milion moja,hiyo ikamfanya Platin nae achungunzwe na hata kufungiwa na hakugombea urais.Hapa kinachomatter ni kuwa habari ni ya kweli,ugomvi wao umerahisisha tu sisi tumepata kujua mauozo.March ni mpokea rushwa.
 
Ungesikiliza clips tu unajua huyo njemba sio mtaliano...lafdhi yake ya ki Nigeria au South Africa.
Tafuta wataliano wakiongea ki english utajua hizo cilps zime editiwa kuchafua watu.
Na sauti hizo mbili haziendani moja ya huyo njemba ni live na nyengine ni ya audio au simu.
Zaidi njemba he is not mtaliano....
Sauti tu inajulisha hilo ni tapeli fulani la nigeria .

Sawa......lakini vyombo husika vichunguze ili kupata ukweli......kwa nini wao.....?.....
 
Huyo sister alimkubal sana janu,alijitenga nae pale makamba aliposhikilia bango sheria ya mtandao,ukija kubainika ni kwel nadhan Sasa mnaotupinga watoto wa vigogo kuingizwa kwenye Siasa mtatuunga mkono,hawana mioyo ya kutumikia zaid ya kulinda maslahi yao,maguful anasemaga tumuombee,kimambe tumuomben pia haya kama majipu ikidhibitika yatumbuliwe tu.
 
Ungesikiliza clips tu unajua huyo njemba sio mtaliano...lafdhi yake ya ki Nigeria au South Africa.
Tafuta wataliano wakiongea ki english utajua hizo cilps zime editiwa kuchafua watu.
Na sauti hizo mbili haziendani moja ya huyo njemba ni live na nyengine ni ya audio au simu.
Zaidi njemba he is not mtaliano....
Sauti tu inajulisha hilo ni tapeli fulani la nigeria .
kWA NIGERIA UMENOWA,HAWANA LAFUDHI YA HIVYO.hUYO NI MUITALIANO KABISA?YAP SAUTI NYINGINE NI SIMU NI KWELI KABISA?MAANA WALIKUWA WANAWASILIANA KWA SIMU NA MZUNGU NDO AKAREKODI
 
Back
Top Bottom