Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Kuna Dada mmoja machachari sana asie Na hata lepe LA woga anaitwa mangekimambi hatimae Leo ameanza kutoa maelelzo yenye ushahidi huko Instagram kuhusu ufisadi WA January Makamba akishirikiana Na Dada yake Mwamvita Makamba
Inasemekana wamekua wakiwahadaa wawekezaji WA kimataifa kua watapata deal za kaz serikalini Na kuchukua pesa Na badae deal izo kufail....yapo mengi wengne wataongeza....ni hatari
Mleta mada unaonekana div 5 toa habari ya kueleweka na sio utuambie ooh mage kinambi sijui kafanyaje oh nn be straight. .....
 
Kama kuna mtu alitaka tenda ya ujenzi bandari ya bagamoyo kwa kufanya dili na Makamba tena kupitia simu huyo mtu ni mpuuuzi na anastahili kuibiwa. Hapo Makambas walitumia fursa. Hakuna mfanya biashara anaweza kuwa reckless kiasi hicho

Makamba akaupe tenda kama nani? Kuweka down payment ya 100mil USD kwa bandari ambayo itajengwa kwa over billion $$- kuna kitu hakipo sawa hapa. Bagamoyo port ipo wazi kwamba itajengwa na wachina tena kwa mkopo sasa hawa waitalinao ni wajinga kiasi gani kutojua kitu kama hicho kabla ya kuweka bid ya kutaka tenda halafu pesa mnawapa watu binafsi mtu na kaka yake!! Acha waibiwe kwa ujinga wao
 
Mleta mada unaonekana div 5 toa habari ya kueleweka na sio utuambie ooh mage kinambi sijui kafanyaje oh nn be straight. .....
Hahaa..amagusa penyewe ,mange kimambi ni kama samaki anaye mla samaki mwenzake...
 
Hivi kesi ya Mange iliyohusu uzushi mtandaoni iliisha??
 
Wakati ni mwamuzi wa haki!! At the end of the day itafahamika tu
Waswahili walisema Lisemwalo......
Na Adhana husikika misikitini
January walianza nae tangu kwenye uwaziri akawapiga 3-0 wakaja kwenye account yake ya IG Magufuri akampa shavu sasa wana haha kumchafua walifanya hivyo hata kwa Muhongo. Narudia akuna kazi za kiusalama zina fuatilia majungu.
 
January na Ombeni Sefue sasa wamenata kwenye viunga vya JamiiForums. Mnaso huu ni kutaka kuona kama kweli Majipu ni Stori tu ama inamanishwa kweli. Tunazidi kuchokonoa.

January Makamba na Mwamvita katika wameanikwa kwa kuweka sauti zilizo
rekodiwa wakipanga deal na mfanya biashara wa kiitaliano ambaye amelizwa dola milion 100 ili apewe deal lakujenga port Bagamaoyo.

Mitandao ya kijamii imeanika. Sasa Je, Ikulu itaibuka na kumsafisha kama ilivyofanywa kwa Ombeni Sefue mzee wa NSSF na MSD?
 
January walianza nae tangu kwenye uwaziri akawapiga 3-0 wakaja kwenye account yake ya IG Magufuri akampa shavu sasa wana haha kumchafua walifanya hivyo hata kwa Muhongo. Narudia akuna kazi za kiusalama zina fuatilia majungu.
Wait and see tutakuja kuufukua huu uzi kama ilvokuwa kwenye thread zingine watu wakadai ni majungu!! Mwishowe wanakuja kukataa maneno yao
Muda ni mwamwuzi wa Haki
 
short and clear kwa tukio la aina hii
huyu mtaliano wajanja husema { ALIPIGWA CHANGA LA MACHO}
cc:-
Papa muso..
muza...
etc.
style.
....conmen at public wear...
 
Kuna Dada mmoja machachari sana asie Na hata lepe LA woga anaitwa mangekimambi hatimae Leo ameanza kutoa maelelzo yenye ushahidi huko Instagram kuhusu ufisadi WA January Makamba akishirikiana Na Dada yake Mwamvita Makamba
Inasemekana wamekua wakiwahadaa wawekezaji WA kimataifa kua watapata deal za kaz serikalini Na kuchukua pesa Na badae deal izo kufail....yapo mengi wengne wataongeza....ni hatari
Sasa huyo nut kweli ndio wa kutoa ushahidi na maelezo ambayo yanaweza kuitwa ushahidi? Ushahidi utolewa instagram....!
Huyo ni Mgonjwa hasumbui mtu!
 
wewe acha hizo,huyo mzungu kaliwa hela zake,sio kwwamba hiyo tender alipata ila aliambiwa angepata so akatowa rushwa kwa March,hapo upo?
utumie akili binti, wazungu sio wajinga hivyo, dunia nzima inajua bandari ya bagamoyo ni ya wachina, labda ataje dili nyingine. sipo upande wa makambas lakini habari yenyewe haiingii akilini.
 
Back
Top Bottom