Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,652
- 18,746
Chief-Mkwawa hongera sana kwa ushindi yan usingeshinda ningeandamana, upo very helpful and humble,
Be blessed.
Be blessed.
Kama yule Greatest of all time. Jamaa snajitahidi sana kule kwenye jukwaa la michezoTuwaambia Moderator mnafanya Jukwaa lionekane kituko wakakaza shingo. Lakini Jukwaa la Sports bado lina watu makini wengi tu
Yule ndiyo mshindi wangu na wa kila mtu. Shangaa hata kwenye nominees hakuwepo.Kama yule Greatest of all time. Jamaa snajitahidi sana kule kwenye jukwaa la michezo
Kwangu mimi you deserve it bro tena sio hii, ilitakiwa ile waliyompa mzee said ya wao kama JF kumrecognise tokana na michango yake. Much love and respect kwako mchawi mstaafu. Natamani siku moja tuonane tupige story mbili tatu.Asanteni kwa kura zenu wote zilizonipa ushindi.. Kwa moyo wa shukrani nasema asanteni sana[emoji1545]View attachment 2564561
Inawezekana ni mods au mmojawapo wa viongozi wa JF. Kuna mengi hstuyajui nyuma ya pazia bro. Unaweza kuta ndiye melo yule mkuu but kwngu mimi, ali deserve achana na hilo lipopoma la SAUTYule ndiyo mshindi wangu na wa kila mtu. Shangaa hata kwenye nominees hakuwepo.
Bro mpaue utuachie😎Hapana hujui tulikotoka.. Judgement angekewepo angekwambia
Kwani nominations zilikuwa zinafanyikaje? Mtu aliweza kuji-nominate mwenyewe au ilikuwa lazima uwe nominated na wengine?Yule ndiyo mshindi wangu na wa kila mtu. Shangaa hata kwenye nominees hakuwepo.
Wengi wamekuzoea bro na wana kuprovoke ila huna baya bro. Hata mimi huwa nakuprovoke ili nione reaction yako.Nimecheka mpaka basi. Huwa mnafikiriaga nini?
Mods waliweka wao tukawaambia hapana. I stand to be correctedKwani nominations zilikuwa zinafanyikaje? Mtu aliweza kuji-nominate mwenyewe au ilikuwa lazima uwe nominated na wengine?
Thanks sana mkuu [emoji1752][emoji1545][emoji173]Kwangu mimi you deserve it bro tena sio hii, ilitakiwa ile waliyompa mzee said ya wao kama JF kumrecognise tokana na michango yake. Much love and respect kwako mchawi mstaafu. Natamani siku moja tuonane tupige story mbili tatu.
Weeee...weee...weee.. Never will happen [emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji35][emoji1550]Bro mpaue utuachie[emoji41]
Hahaha roho imekuumaHadi akina cocastic wanashinda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] zawadi za mitegoHizi ndio zile zawadi unashinda ila unaamua usiende kuchukua.
Mkuu ujoka Unataka Mtu Asiyejulikana anipoteze wewe![emoji23][emoji23][emoji23]UMUGHAKA for president 2025
Acha wivu [emoji12][emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanatuchezea akili hili jamaa linakuwaje celebrate [emoji28][emoji28][emoji28]
Jamaa kuimba kupokezana 😅😅😅Acha wivu [emoji12][emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acheni wivu [emoji12][emoji12][emoji12]Cocastic nae kashindaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bora sipo kwenye hiyo list...!!
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] hajawa recognized [emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa Rikiboy yupo wapi kwenye hiyo list? Hmauwezi kumuacha mtu ambae thread yake inaongozwa kwa kufatiliwa na comment. Mpeni hata tuzo ya heshima
Matusi [emoji12]Sasa mtu kama retired ana nini cha maana?