Washindi wa wanachama bora wa JF 2022

Washindi wa wanachama bora wa JF 2022

cocastic Bwana Yesu asifiwe mtumishi.
Unakumbushwa kutuma fungu la kumi kwa mim mama mchungaji baada ya kupokea zawadi.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera dear
Fungu la kumi anatuma kwangu mama Pasta[emoji23][emoji23]
Nilianza kumuombea dogo tangu muda hadi tukawachamba mods maana walitaka kumnyima dogo kwa kumpambanisha na mtu ambaye hayupo duniani.
 
Naona wengi mnamdiss Coca na cerebrities hamuanzishi mada wala kuchangia
Na walitoa nafasi ya kupendekeza majina

Kwanini msipendekeze mnaowataka?
Zoeziimeendeshwa wazi kabisa.
Hii ndio Tanzania.
Kama mtu hajui kusoma ila anachukia Bango la Fundi umeme kwenye nguzo..... Unashangaa mtu kuchukia mtu
 
Hii ndio Tanzania.
Kama mtu hajui kusoma ila anachukia Bango la Fundi umeme kwenye nguzo..... Unashangaa mtu kuchukia mtu
Walitoa matangazo humu ya kupendekeza washiriki
Watu walikaa kimya
Wameleta kupiga kura wapo kimya..
Sasahivi wanatangaza washindi, watu wanatokwa povu,,mbaya zaidi wanaanza kumdiss kaka wa watu Melo.
 
Fungu la kumi anatuma kwangu mama Pasta[emoji23][emoji23]
Nilianza kumuombea dogo tangu muda hadi tukawachamba mods maana walitaka kumnyima dogo kwa kumpambanisha na mtu ambaye hayupo duniani.
Ubarikiweeeee dadaaaaa, nimeshindaaaaa
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] tutagawana chochote kituuu
 
Ubarikiweeeee dadaaaaa, nimeshindaaaaa
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] tutagawana chochote kituuu
Sisi zawadi yetu ni kumsindikiza Coca ofisi za Jf[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijui tutatimba na kijora gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sisi zawadi yetu ni kumsindikiza Coca ofisi za Jf[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijui tutatimba na kijora gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cha chui chui, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na bado shoss unazidi kupanda juu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama vipi wachambe tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipokeee kwan zawadi, ntadeal nao km watakavyokujaa.
 
Habari wana JF,

Jamii Forums inatambua mchango wa wanachama wake walioshiriki mijadala vizuri kwa mwaka 2022. Mchakato huo ulikuwa wa wazi na shirikishi. Kwa mujibu wa kura zilizopigwa hapa jukwaani washindi wetu ni kama ifuatavyo.

Jukwaa
Mshindi
Kura
Jokes​
47%​
Kilimo na Uvuvi​
68%​
Technology​
93%​
Celebrities​
28%​
MMU​
69%​
Siasa​
49%​
Michezo​
49%​
Afya​
58%​
Garage​
40%​
Lugha​
56%​
Elimu​
54%​
International & Kenyan​
62% & 83%​
Historia​
No competitor​
Photos & Habari na Hoja & Intelligence​
83% & 50% & 32%​
Biashara na uchumi​
42%​
Chef​
No competitor​
Sheria​
No competitor​
Entertainment​
82%​


Kwa wote ambao wametajwa katika orodha hii, mnaomba kuingia inbox ili kujua utaratibu wa kuchukua zawadi zenu Mtapokea ujumbe kutoka kwa ID official ya JamiiForums.

NB: Utaratibu wa kuchukua tuzo hautahusisha kufichua utambulisho wa mwanachama yeyote.

Hongereni sana.
Nashukuru I Sana wakuu!

Nimefarijika kushinda, Ila sipo dar naomba volunteer aje inbox akanichukulie "kibunda"
 
Back
Top Bottom