Ana kipi cha kuweza kushinda, kua na uzi mmoja tena wa kijinga kama ule ndio ashindee, kura zinapigwa za kimajukwaa sio kwa uzi,
Mwambie atulize chogo lake, Zawadi tushabebaaaaa



kye kyee kyee kyee kyee!zawadi za mitego
Usijali Mpiga Kura wangu na Ahsante.Nilikupigia kura unimegee hiyo zawadi na mie![]()
Mke wangu i'm so happy for you 😍nipo kutafuta vaziii hapa, nikiingia ukumbini watu wote jicho kwangu.
Cocaa kweli cocaaa,
Duuh!We nae na huo mkomwe wako kama parachichi la Mbeya hukomiiiiii!
Tuwashauri JF next time waweke kipengele cha mshindi upande wa watoa comment na likes pekee. Labda tutakuwa humoWengine tuko wapi?
Unaweza kushangaa tu mmoja kati ya wapokea zawadi ni miongoni mwa wale watu watatu wazito kwenye baraza la mawaziri.
Unaenda kupokea nae zawadi na uliwahi kumkejeli atafute maisha aache njaa.







Aka mama!°°!!Honger sana washindi wote, my bestfriend Bujibuji Simba Nyamaume you deserve it
Nimeikumbuka siku ile ya mwaka juzi. I miss you my sweet katotoHonger sana washindi wote, my bestfriend Bujibuji Simba Nyamaume you deserve it