BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 7,996
- 20,080
Kwani kashinda kwa sababu ya uchoko wake au kwa sababu ya contents zake??mpaka machoko yanashinda dah
Huu wivu jamani ni shida.
Shinda na wewe basi! Alaah!
Kwani kashinda kwa sababu ya uchoko wake au kwa sababu ya contents zake??mpaka machoko yanashinda dah
Utakuwaje kwenye list na hujashinda? Watu wako wa kimasikhara hawajapiga kuraaa??
Ndo nimeshindaaa sasa, msiyempenda kaja, na kawafurahishaaaaa, hallowwwwww!!!!
Mbna pambeeeeeee!!!






Wao jf ndo wanawivuuAcheni wivu![]()


sema tuzo zimekaa kiajendaa..Unataka JF ikose pesa za wahisani?mpaka machoko yanashinda dah
pure talented and charismatic fellaSo what? GENTAMYCINE is not only famous, but also intelligent, intellectual, brilliant, understanding, humble..

Hahaha mbona hawajakupa tuzo wewe mwenye michango makini na tija kwa taifa!?Shangaa na wewe. Kuna watu wenye michango makini na tija kwa taifa unaenda kuokota Genta


Hongera sana Tuzo ni yetu sote... jua bila sisi na wewe si loloteNina Shani / Tunu nyingi ambazo Wapumbavu wengi hawana / hamna. Nitashinda mno tu Mkuu.
Watu watakufa kwa vihoro,Kwani kashinda kwa sababu ya uchoko wake au kwa sababu ya contents zake??
Huu wivu jamani ni shida.
Shinda na wewe basi! Alaah!



Nalitambua hilo Mkuu na ndiyo maana kila mara nimekuwa Nikiwashukuruni JamiiForums Members kwa Kuniheshimisha Kwenu huku.Hongera sana Tuzo ni yetu sote... jua bila sisi na wewe si lolote
Ahsanteeeee sana na ubarikiweeee mnoooo.Anaandika KENGE
Kwanza nitoe pongezi kwa team nzima ya JAMIIFORUM ikiwemo CEO,Moderators,Developers,operators na members wote waliopo humu JF kwa lugha isiyo rasmi(misimu) tunasema WAMEUPIGA MWINGIII SANA
Tuzo hizi zitasaidia watu kuanza kuandika vitu vyenye tija katika jamii.Nauhakika ndio tuzo zilizoanzishwa mwaka huu.Hapo miaka ya nyuma JF ilivamiwa na (Social media strangers)Mtu anaweza kuanzidha Uzi wa kuomba ushauri linatokea kundi la watu au mtu linaanza matusi/kejeli/masimango n.k
Sasa kupitia tuzo hizi zitafanya sisi Stranger(Akiwemo KENGE) tufahamu kwamba kumbe kila tuandikacho kinaangaliwa na kama kina Tija kinaweza kupelekea ukapigiwa kura na kuibuka mshindi.kwa mantiki hiyo basi ninauhakika MATUSI YATAPUNGUA,KEJELI,DHARAU NA CHUKI ZITAPUNGUA
Ni faraja sana (kutajwa/Kuibuka) mshindi kati ya member 600k na zaidi hii inamaanisha uliandika vitu vya maana(japo sio vyote) Vinavyoleta tija ktk jamii na kujenga hoja vilevile.
Maoni ya KENGE ni kwamba Nashauri wale mlionuna na mnaotema povu kwenye uzi rasmi wa TUZO tuache kupoteza muda na badala yake tuanze kufikiri kuweka bandiko/Nyuzi na Maandiko yenye kuleta tija na kujenga hoja.
Kuna kundi moja la Hacker(Wadukuzi) wajulikanao kama ANONYMOUS(Watu wasiojulikana) wanamsemo wao mmoja "POST SENSE UNTIL THEY RECOGNIZE YOU" ukiandika vitu vyenye akili utajulikana tu na utapendwa na kura utapigiwa tuache majungu ooh "Kapendelewa" "Mbona anapigwa Ban kila siku" "Hadi huyu kapata mbona fulani hajapewa" haya majungu yote wahenga wanayaita MANENO YA MKOSAJI
Once again
HONGERENI SANA WASHINDI sisi wenye kununa tunune na ZANDAANII KABISAA inasemekana washindi watapata pesa taslimu Millioni kadhaa na vizawadi kama PC,Simu n.k
S/O
Bujibuji Simba Nyamaume
GENTAMYCINE
UMUGHAKA
cocastic
DeepPond
Chief-Mkwawa
Na washindi wote
UZI TAYARI
NAWASILISHA
KENGE 01 View attachment 2564372




Punguza hasiraa, jitahidi mwakani nawee uwe mshindiii.Wao jf ndo wanawivuusema tuzo zimekaa kiajendaa..






Watu watakufa kwa vihoro,
Mie nawaonea hurumaaaaaaa![]()





yaan wee acha tyuuh.Nilikupigia kura unimegee hiyo zawadi na mieNalitambua hilo Mkuu na ndiyo maana kila mara nimekuwa Nikiwashukuruni JamiiForums Members kwa Kuniheshimisha Kwenu huku.
Hi ni Zawadi yenu kwa Kunipenda ila naichukua tu kwa Niaba yenu. Nisingekuwa maarufu hivi JamiiForums nzima bila ya nyie.
Mbarikiwe nyote na Ahsanteni sana.

Ana kipi cha kuweza kushinda, kua na uzi mmoja tena wa kijinga kama ule ndio ashindee, kura zinapigwa za kimajukwaa sio kwa uzi,Punguza hasiraa, jitahidi mwakani nawee uwe mshindiii.
Poleer kwa kutesekaaa,![]()
Ana kipi cha kuweza kushinda, kua na uzi mmoja tena wa kijinga kama ule ndio ashindee, kura zinapigwa za kimajukwaa sio kwa uzi,
Mwambie atulize chogo lake, Zawadi tushabebaaaaa





hapo sasa, analia km mjane kaporwa Mali za mumewee.