Jeupe ili niringe nalo Mtaani na Watu ( hasa Haters wangu wa Ushindi wangu huu akina Greatest Of All Time na OKW BOBAN SUNZU ) walione vizuri.Liwe la rangi gan
Karibu Mpenzi. Njoo PM tupange zaidi.Hongereni sana washindi ila GENTAMYCINE naomba niwe msindikizaji wako twende wote tukachukue zawadi
Nina Shani / Tunu nyingi ambazo Wapumbavu wengi hawana / hamna. Nitashinda mno tu Mkuu.Ni wakati wa kujikita kwenye jukwaa la michezo sasa kama Popoma hutukana vile nakushinda
Kama sijashiriki unataka niseme nimeshiriki.Zoezi ndio nimeliona muda huu licha ya hivyo Bado tunaambiwa zawadi zitatolewa kimya kimya.Watu time shiriki kwa kupiga kura wewe unasema mchakato haukua wa wazi na shirikishi ili bidi uka simamie zoezi zima ofisi za Jf
Hahaha,Cocastic nae kashindaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bora sipo kwenye hiyo list...!!
Kwa kuniruka tu, aaah una tuzo yako.Sio kweli😀
wameona wapromote ajendaa 😀 😀 😀 😀Cocastic nae kashindaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bora sipo kwenye hiyo list...!!
Naomba nasisi litupitieKuna fungu la hela linakuja😀😃😄
Hakika hawakuwezi game changer wamekimbiaJeupe ili niringe nalo Mtaani na Watu ( hasa Haters wangu wa Ushindi wangu huu akina Greatest Of All Time na OKW BOBAN SUNZU ) walione vizuri...
Aliyebarikiwa amebarikiwa tu Mkuu.Hakika hawakuwezi game changer wamekimbia
Na aliyelaanika ni hivyo hivyoAliyebarikiwa amebarikiwa tu Mkuu.
Washindi wanaenda kukutana na wote hawa 😁😋View attachment 2563719
Hao wote ni Eye witnesses wa operation Sangara ( Kataa Ndoa) UNafkiri mwenyekiti angetoboa kwenye hz tuzo huku na wao wanaowaza ndoa.