Anaandika KENGE
Kwanza nitoe pongezi kwa team nzima ya JAMIIFORUM ikiwemo CEO,Moderators,Developers,operators na members wote waliopo humu JF kwa lugha isiyo rasmi(misimu) tunasema WAMEUPIGA MWINGIII SANA
Tuzo hizi zitasaidia watu kuanza kuandika vitu vyenye tija katika jamii.Nauhakika ndio tuzo zilizoanzishwa mwaka huu.Hapo miaka ya nyuma JF ilivamiwa na (Social media strangers)Mtu anaweza kuanzidha Uzi wa kuomba ushauri linatokea kundi la watu au mtu linaanza matusi/kejeli/masimango n.k
Sasa kupitia tuzo hizi zitafanya sisi Stranger(Akiwemo KENGE) tufahamu kwamba kumbe kila tuandikacho kinaangaliwa na kama kina Tija kinaweza kupelekea ukapigiwa kura na kuibuka mshindi.kwa mantiki hiyo basi ninauhakika MATUSI YATAPUNGUA,KEJELI,DHARAU NA CHUKI ZITAPUNGUA
Ni faraja sana (kutajwa/Kuibuka) mshindi kati ya member 600k na zaidi hii inamaanisha uliandika vitu vya maana(japo sio vyote) Vinavyoleta tija ktk jamii na kujenga hoja vilevile.
Maoni ya KENGE ni kwamba Nashauri wale mlionuna na mnaotema povu kwenye uzi rasmi wa TUZO tuache kupoteza muda na badala yake tuanze kufikiri kuweka bandiko/Nyuzi na Maandiko yenye kuleta tija na kujenga hoja.
Kuna kundi moja la Hacker(Wadukuzi) wajulikanao kama ANONYMOUS(Watu wasiojulikana) wanamsemo wao mmoja "POST SENSE UNTIL THEY RECOGNIZE YOU" ukiandika vitu vyenye akili utajulikana tu na utapendwa na kura utapigiwa tuache majungu ooh "Kapendelewa" "Mbona anapigwa Ban kila siku" "Hadi huyu kapata mbona fulani hajapewa" haya majungu yote wahenga wanayaita MANENO YA MKOSAJI
Once again
HONGERENI SANA WASHINDI sisi wenye kununa tunune na ZANDAANII KABISAA inasemekana washindi watapata pesa taslimu Millioni kadhaa na vizawadi kama PC,Simu n.k
S/O
Bujibuji Simba Nyamaume
GENTAMYCINE
UMUGHAKA
cocastic
DeepPond
Chief-Mkwawa
Na washindi wote
UZI TAYARI
NAWASILISHA
KENGE 01 View attachment 2564372